Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wacheza bao Mlandege wapewa 100,000/-

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini, Mahamudu Madenge ametoa mchango wa Sh 100,000 kwa kikundi cha wacheza bao wa Mlandege. Kikundi hicho chenye wanachama 154, kina Sh 264,000 benki. Fedha hiyo inatokana na mchango wa Sh 1,000 unaotolewa kwa mwezi na kila mwanachama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wajasiriamali wacheza bao wapigwa jeki

MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu amekichangia Sh 500,000 kikundi cha wajasiriamali wa Mlandege mjini Iringa kinachoundwa na wacheza bao 154.

 

5 years ago

VentureBeat

HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation

HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation  VentureBeatOnetime hit app HQ Trivia resurrected by anonymous investor  MarketWatchHQ Trivia is actually back for real, just when we need it most  MashableHQ Trivia is back less than two months after the app was shut down  The VergeHQ Trivia Returns Thanks to Anonymous Investor  The Wall Street JournalView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

Kaka apiga bao 100, Ronaldo 400

>Kiungo wa Brazil, Kaka ameweka rekodi ya kufunga bao 100 alipofunga mabao mawili wakati AC Milan iliposhinda 3-0 Atalanta,  huku Cristiano Ronaldo akifunga bao 400 kwa Real Madrid ilipoinyuka Celta Vigo 3-0.

 

11 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA DANCE 100 WAPEWA SOMO NA BASATA

 Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu,akiongea na vijana wanaoshiriki katika robofainali ya  Dance 100 wakati wa semina iliyoanandaliwa na EastTV kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la sanaa(BASATA) shindano hilo limedhaminiwa na Vodacom Tanzania ambapo vikundi 16 vimeingia robo fainali itakayoanza Agosti 23 na kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5. Washiriki wanaoshiriki katika robofainali ya  Dance 100 wakiwa katika...

 

11 years ago

GPL

DANCE 100 WAPEWA SOMO NA BASATA‏

Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu,akiongea na vijana wanaoshiriki katika robofainali ya  Dance 100 wakati wa semina iliyoanandaliwa na EastTV kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la sanaa(BASATA) shindano hilo limedhaminiwa na Vodacom Tanzania ambapo vikundi 16 vimeingia robo fainali itakayoanza Agosti 23 na kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5.
...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkinga wapewa saruji mifuko 1,000

KAMPUNI ya saruji Tanga imekabidhi mifuko 1,000 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara za sayansi shule za Sekondari wilayani Mkinga mkoani hapa. Msaada huo wenye thamani ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wageni 7,000 wapewa vibali vya kazi

SERIKALI imesema wageni 7,037 wamepatiwa vibali vya kazi kwa kuwa na sifa stahiki katika kipindi cha mwaka 2012/13. Hayo yalibainishwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro...

 

9 years ago

GPL

TYGA, KYLIE WAPEWA ZAWADI YA MBWA WA DOLA 50,000

Staa wa muziki wa kufoka Tyga akiwa na mpenzi wake Kylie Jenner. New York, Marekani
UHUSIANO ya staa wa muziki wa kufoka Tyga, 25, na Kylie Jenner, 18, umezidi kukolea baada ya wapendanao hao kuongezewa rafiki mwingine ambaye ni mbwa waliyepewa kama zawadi na Jeremy Greene, ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya PingTank, ambayo inajihusisha na mitandao ya kijamii. Wawili hao wamempa mbwa huyo jina la Rolly, wamekuwa wakizunguka...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani