Kaka apiga bao 100, Ronaldo 400
>Kiungo wa Brazil, Kaka ameweka rekodi ya kufunga bao 100 alipofunga mabao mawili wakati AC Milan iliposhinda 3-0 Atalanta, huku Cristiano Ronaldo akifunga bao 400 kwa Real Madrid ilipoinyuka Celta Vigo 3-0.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Neymar apiga nne, Ronaldo ampiku Raul
11 years ago
Habarileo09 Jan
Wacheza bao Mlandege wapewa 100,000/-
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini, Mahamudu Madenge ametoa mchango wa Sh 100,000 kwa kikundi cha wacheza bao wa Mlandege. Kikundi hicho chenye wanachama 154, kina Sh 264,000 benki. Fedha hiyo inatokana na mchango wa Sh 1,000 unaotolewa kwa mwezi na kila mwanachama.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-awek_PkN0wA/Vlh5dl4GVAI/AAAAAAAIIpc/GydcGwIgVrk/s72-c/unnamed.jpg)
The BBC hosts debates throughout Africa as part of the 100 Women season More than 100 conversations across the world will discuss what it means to be a “good girl†or an “ideal womanâ€
![](http://3.bp.blogspot.com/-awek_PkN0wA/Vlh5dl4GVAI/AAAAAAAIIpc/GydcGwIgVrk/s640/unnamed.jpg)
The BBC will host debates throughout the day at BBC Broadcasting House in London, while more than 100 conversations will happen across the globe in eight languages. In Africa, many groups across the continent will...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Kaka auawa na mdogo wake
MKAZI wa Kijiji cha Kapele, wilayani Momba, Adamu Silumbe (27), amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi baada ya kuchomwa kisu mgongoni na mdogo wake. Kamanda...
10 years ago
Vijimambo30 Nov
WEMA AMPONGEZA DIAMOND AMUITA KAKA
![](http://api.ning.com/files/Ov90wJC7zCwW5NEI-hh97AM3L6O74SHLn3L*V2mLMpmEXlxMGHQq3zYEy56e9EHzjuDD*H9HEY3Lg3FuOhSgYFkdEIk7V68n/07diamondtuzo7.jpg?width=650)
Miongoni mwa watu waliompongeza kwa ushindi huo ni Wema Sepetu ambaye tumezoea akimuita staa huyo ‘my baby’, awamu hii ameitwa ‘kaka’. “Gnyt Instagramers… And Hongera tele ziende kwa kaka platnumz… I must say he did Tanzania proud,” aliandika Wema kwenye Instagram muda mfupi baada ya tuzo hizo kuisha ikimaanisha kuwa alikuwa...
10 years ago
StarTV20 Oct
Serena Williums akerwa kuitwa ”kaka’.
Bingwa wa mchezo wa tenisi kwa upande wa akina dada duniani Serena Williams amekosoa matamshi aliyoyataja kuwa ya kibaguzi na kutojali ujinsia yaliotolewa na rais wa shirikisho la Tenisi nchini Urusi Shamil Tarpischev dhidi yake na dadaake Venus Williams.
Katika mazungumzo yake Tarpischev aliwaita kina dada hao wawili kama ”kaka wawili” .
Hatahivyo afisa huyo alipigwa faini ya pauni 15,500 na kupigwa marufuku ya mwaka moja kwa kutoa matamshi hayo aliyoyataja kama ya mzaha.
”Nadhani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQkBwHEfG2iS0w83qpUcQA884s3p0tOX96DyT2tlIsNBHrHNwbUL*QFq6hqcSeKRTb4s88iIbjByMAjy8UP6Z1mh/kaka.jpg)
KAKA ASIMAMIA FUMANIZI LA DADA'KE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBua807hsiiP3HMBaKb6Ima6k2KBZX4JehaMawOfzGW7kw4tfb315k3nEahxppRpdgipi6KxRSRa4WE5jHHIAqOh/bongelademu.jpg?width=650)
KAKA BADILIKA, UTAFIKIRI TAA YA TRENI