Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Neymar apiga nne, Ronaldo ampiku Raul

Real Madrid na Barcelona zimeng’ang’ania kileleni mwa La Liga wakati Cristiano Ronaldo akiweka rekodi Real ikishinda 3-0 dhidi ya Levante, huku Neymar akifunga bao manne wakati Barca ikichapa Rayo Vallecano 5-2.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kasi ya Ronaldo yakaribia kuvunja rekodi ya Raul

Uswisi. Tofauti na mechi za Jumanne zilizokuwa na mabao mengi kupindukia, usiku wa Jumatano ulishuhudia matokeo ya kustaajabisha.

 

9 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aifikia rekodi ya Raul, Real ikishinda 2-0

Mwanasoka Cristiano Ronaldo amefikia rekodi ya mabao ya Raul katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kuifungia mabao yote, Real Madrid ikishinda 2-0 ugenini dhidi ya Malmo FF dakika ya 29 na 90 Uwanja wa Swedbank mchezo wa Kundi A. Ronaldo anakuwa amefikisha mabao 82 katika mechi za Ligi ya Mabingwa na mabao 501 jumla […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon

Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon d'Or

 

11 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY RONALDO, NEYMAR, TEVEZ NA BROWN

Cristiano Ronaldo. MASTAA wa soka duniani Cristiano Ronaldo,  Neymar da Silva, Carlos Tevez pamoja na mwanamuziki Bobby Brown leo wanasherehekea sikukuu za kuzaliwa kwao. Cristiano Ronaldo
Mwanasoka Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro mwenye umri wa miaka 28, alizaliwa Februari 5, 1985 Santo António, Ureno. Ronaldo ni mshambuliaji wa Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno. Hivi karibuni alitwaa Tuzo ya...

 

9 years ago

Bongo5

Ronaldo, Messi na Neymar kuwania Ballon d’Or 2015

151130172052_ballon_640x360_d_nocredit

Majina ya wachezaji watatu watakaowania tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka duniani yametajwa.

151130172052_ballon_640x360_d_nocredit

Wanaowania tuzo hiyo ni mshambuliaji wa Real Madrid na Ureno, Cristiano Ronaldo, Lionel Messi wa Barcelona na Argentina na nyota wa Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior, anayeingia katika kinyang’anyiro hicho kwa mara ya kwanza.

Wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kike ni kiungo wa timu ya taifa ya Marekani, Carli Lloyd, Aya Miyama wa Japan pamoja na Celia Sasic wa Ujerumani.

Jiunge na Bongo5.com...

 

10 years ago

BBCSwahili

Neymar apigwa marufuku ya mechi nne

Mshambuliaji wa Brazil Neymar atakosa michuano yote ya kombe la Copa America baada ya kupigwa marufuku ya mechi nne.

 

11 years ago

Mwananchi

Kaka apiga bao 100, Ronaldo 400

>Kiungo wa Brazil, Kaka ameweka rekodi ya kufunga bao 100 alipofunga mabao mawili wakati AC Milan iliposhinda 3-0 Atalanta,  huku Cristiano Ronaldo akifunga bao 400 kwa Real Madrid ilipoinyuka Celta Vigo 3-0.

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass …

Sikukuu ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu kubwa sana duniani, hususani kwa bara la Ulaya shamrashamra za sikukuu hii zinakuwa kubwa sana tofauti na Afrika, Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyopost au kusherehekea sikukuu ya Chrismass na familia, watu wao wa karibu na hata na wapenzi wao. Miongoni […]

The post Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani