Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon

Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon d'Or

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ronaldo, Messi na Neymar kuwania Ballon d’Or 2015

151130172052_ballon_640x360_d_nocredit

Majina ya wachezaji watatu watakaowania tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka duniani yametajwa.

151130172052_ballon_640x360_d_nocredit

Wanaowania tuzo hiyo ni mshambuliaji wa Real Madrid na Ureno, Cristiano Ronaldo, Lionel Messi wa Barcelona na Argentina na nyota wa Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior, anayeingia katika kinyang’anyiro hicho kwa mara ya kwanza.

Wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kike ni kiungo wa timu ya taifa ya Marekani, Carli Lloyd, Aya Miyama wa Japan pamoja na Celia Sasic wa Ujerumani.

Jiunge na Bongo5.com...

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEYMAR: MESSI DESERVES TO WIN THIS YEAR'S BALLON D'OR


Neymar believes that Barcelona team-mate Lionel Messi deserves to win this year's Ballon d'Or.Cristiano Ronaldo has won the last two awards and is coming off the back of a season in which he netted a personal-best 61 goals.However, Messi netted 58 times in 57 appearances in all competitions as he inspired Barca to a historic treble, with the Catalans claiming La Liga, the Copa del Rey and the Champions League.

Consequently, Neymar believes that there is only one possible winner of the Ballon...

 

9 years ago

TheCitizen

Ronaldo, Messi in 23-man Ballon d´Or shortlist

Real Madrid forward Cristiano Ronaldo and Barcelona’s Lionel Messi are among the 23 players shortlisted for 2015 Fifa Player of the Year famously known as Ballon d'Or.

 

10 years ago

TheCitizen

Ronaldo hopes to hold off Messi, Neuer to retain Ballon d’Or

>Cristiano Ronaldo is the favourite to win the Ballon d’Or for the second year in succession at Monday’s gala ceremony in Zurich ahead of Manuel Neuer and Lionel Messi.

 

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea Ballon d’Or January 11, haya ni mafanikio ya Ronaldo na Messi kwa mwaka 2015 …

Kuelekea fainali ya tuzo za mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015 zitakazofanyika Zurich Uswiss January 11 2016, naomba nikusogezee mafanikio ya washindani wa jadi wa tuzo hizo. Kwa mwaka 2015 wachezahi watatu waliofanikiwa kuingia katika fainali ya tuzo hizo ni Messi, Neymar na Ronaldo. Kwa kiasi kikubwa washindani wakuu ni Messi na Ronaldo hao […]

The post Kuelekea Ballon d’Or January 11, haya ni mafanikio ya Ronaldo na Messi kwa mwaka 2015 … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo …

Bado siku 18 ili ifikie January 11 2016, siku ambayo tutashuhudia historia mpya ikiandikwa katika ulimwengu wa soka, kwani ndio siku ambayo tutamfahamu mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia kwa mwaka 2015, November 30 2015 yalitangazwa majina ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Neymar kuwa ndio waliofanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ya […]

The post Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …

December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ballon d'Or:Bale na Ronaldo waorodheshwa

Mshambuliaji wa Wales Gareth Bale ndio mchezaji wa kipekee wa Uingereza kuorodheshwa kati tuzo la mchezaji bora zaidi duniani

 

11 years ago

GPL

CHRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA FIFA BALLON D'OR 2013

Christiano Ronaldo. MCHEZAJI wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ureno, Christiano Ronaldo ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia 2013 (Ballon d'O 2013) usiku huu jijini Zurich, Switzerland na kuwabwaga wenzake Lionel Messi na Frank…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani