Kuelekea Ballon d’Or January 11, haya ni mafanikio ya Ronaldo na Messi kwa mwaka 2015 …
Kuelekea fainali ya tuzo za mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015 zitakazofanyika Zurich Uswiss January 11 2016, naomba nikusogezee mafanikio ya washindani wa jadi wa tuzo hizo. Kwa mwaka 2015 wachezahi watatu waliofanikiwa kuingia katika fainali ya tuzo hizo ni Messi, Neymar na Ronaldo. Kwa kiasi kikubwa washindani wakuu ni Messi na Ronaldo hao […]
The post Kuelekea Ballon d’Or January 11, haya ni mafanikio ya Ronaldo na Messi kwa mwaka 2015 … appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo …
Bado siku 18 ili ifikie January 11 2016, siku ambayo tutashuhudia historia mpya ikiandikwa katika ulimwengu wa soka, kwani ndio siku ambayo tutamfahamu mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia kwa mwaka 2015, November 30 2015 yalitangazwa majina ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Neymar kuwa ndio waliofanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ya […]
The post Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo … appeared first on...
9 years ago
Bongo501 Dec
Ronaldo, Messi na Neymar kuwania Ballon d’Or 2015
![151130172052_ballon_640x360_d_nocredit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/151130172052_ballon_640x360_d_nocredit-300x194.jpg)
Majina ya wachezaji watatu watakaowania tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka duniani yametajwa.
Wanaowania tuzo hiyo ni mshambuliaji wa Real Madrid na Ureno, Cristiano Ronaldo, Lionel Messi wa Barcelona na Argentina na nyota wa Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior, anayeingia katika kinyang’anyiro hicho kwa mara ya kwanza.
Wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kike ni kiungo wa timu ya taifa ya Marekani, Carli Lloyd, Aya Miyama wa Japan pamoja na Celia Sasic wa Ujerumani.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
TheCitizen20 Oct
Ronaldo, Messi in 23-man Ballon d´Or shortlist
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
10 years ago
TheCitizen12 Jan
Ronaldo hopes to hold off Messi, Neuer to retain Ballon d’Or
9 years ago
Bongo506 Nov
Temba adai mwaka 2015 umekuwa wa mafanikio kwa muziki wa Bongo
![10919100_282718041852156_79790684_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10919100_282718041852156_79790684_n1-300x194.jpg)
Mheshimiwa Temba amesema mwaka 2015 ni mwaka ambao wasanii wengi wamewekeza zaidi kwenye muziki wao.
Temba ameiambia Bongo5 kuwa anauona mwaka huu kama wa mapinduzi kwenye muziki.
“Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwenye muziki wetu, video nyingi za wasanii wa ndani zimepata airtime kwenye TV kubwa za nje ambapo ni tofauti na miaka iliyopita,” amesema.
“Yaani wasanii wamejaribu ku-invest zaidi kwenye muziki wao. Ukiangalia kama sisi ‘Kaunyaka’ tumeifanyia Afrika Kusini, Chege bado yupo Afrika...
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ballon d'Or:Bale na Ronaldo waorodheshwa
10 years ago
VijimamboBODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO YAKE NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-Ayg4dape5UY/VX7_GdgpaFI/AAAAAAAACD8/ZEMuT8dM9IY/s72-c/130813_SNUT_MessiNeymarBarca.jpg.CROP.original-original.jpg)
NEYMAR: MESSI DESERVES TO WIN THIS YEAR'S BALLON D'OR
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ayg4dape5UY/VX7_GdgpaFI/AAAAAAAACD8/ZEMuT8dM9IY/s400/130813_SNUT_MessiNeymarBarca.jpg.CROP.original-original.jpg)
Neymar believes that Barcelona team-mate Lionel Messi deserves to win this year's Ballon d'Or.Cristiano Ronaldo has won the last two awards and is coming off the back of a season in which he netted a personal-best 61 goals.However, Messi netted 58 times in 57 appearances in all competitions as he inspired Barca to a historic treble, with the Catalans claiming La Liga, the Copa del Rey and the Champions League.
Consequently, Neymar believes that there is only one possible winner of the Ballon...