Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo …
Bado siku 18 ili ifikie January 11 2016, siku ambayo tutashuhudia historia mpya ikiandikwa katika ulimwengu wa soka, kwani ndio siku ambayo tutamfahamu mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia kwa mwaka 2015, November 30 2015 yalitangazwa majina ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Neymar kuwa ndio waliofanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ya […]
The post Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo … appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Kuelekea Ballon d’Or January 11, haya ni mafanikio ya Ronaldo na Messi kwa mwaka 2015 …
Kuelekea fainali ya tuzo za mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015 zitakazofanyika Zurich Uswiss January 11 2016, naomba nikusogezee mafanikio ya washindani wa jadi wa tuzo hizo. Kwa mwaka 2015 wachezahi watatu waliofanikiwa kuingia katika fainali ya tuzo hizo ni Messi, Neymar na Ronaldo. Kwa kiasi kikubwa washindani wakuu ni Messi na Ronaldo hao […]
The post Kuelekea Ballon d’Or January 11, haya ni mafanikio ya Ronaldo na Messi kwa mwaka 2015 … appeared first on...
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
9 years ago
TheCitizen20 Oct
Ronaldo, Messi in 23-man Ballon d´Or shortlist
9 years ago
Bongo501 Dec
Ronaldo, Messi na Neymar kuwania Ballon d’Or 2015
![151130172052_ballon_640x360_d_nocredit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/151130172052_ballon_640x360_d_nocredit-300x194.jpg)
Majina ya wachezaji watatu watakaowania tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka duniani yametajwa.
Wanaowania tuzo hiyo ni mshambuliaji wa Real Madrid na Ureno, Cristiano Ronaldo, Lionel Messi wa Barcelona na Argentina na nyota wa Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior, anayeingia katika kinyang’anyiro hicho kwa mara ya kwanza.
Wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kike ni kiungo wa timu ya taifa ya Marekani, Carli Lloyd, Aya Miyama wa Japan pamoja na Celia Sasic wa Ujerumani.
Jiunge na Bongo5.com...
10 years ago
TheCitizen12 Jan
Ronaldo hopes to hold off Messi, Neuer to retain Ballon d’Or
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Wanaofanana na wanasoka, anachukua warembo kwa kufanana na Ronaldo, mwingine alimuweka Messi kwenye headlines
Kwa upande wa Tanzania tumezoea kuona team ya XXL ya Clouds FM kuandaa show ya mwisho wa mwaka kwa ajili ya wanafunzi kuenjoy baada ya kupata muda wa kupumzika kutoka shule au chuo, show hii huwa inaitwa After School Bash, huwa ina vitu vingi, tukiachana na Perfomance za wasanii kuna time watu waliofanana na mastaa […]
The post Wanaofanana na wanasoka, anachukua warembo kwa kufanana na Ronaldo, mwingine alimuweka Messi kwenye headlines appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ballon d'Or:Bale na Ronaldo waorodheshwa
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-Ayg4dape5UY/VX7_GdgpaFI/AAAAAAAACD8/ZEMuT8dM9IY/s72-c/130813_SNUT_MessiNeymarBarca.jpg.CROP.original-original.jpg)
NEYMAR: MESSI DESERVES TO WIN THIS YEAR'S BALLON D'OR
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ayg4dape5UY/VX7_GdgpaFI/AAAAAAAACD8/ZEMuT8dM9IY/s400/130813_SNUT_MessiNeymarBarca.jpg.CROP.original-original.jpg)
Neymar believes that Barcelona team-mate Lionel Messi deserves to win this year's Ballon d'Or.Cristiano Ronaldo has won the last two awards and is coming off the back of a season in which he netted a personal-best 61 goals.However, Messi netted 58 times in 57 appearances in all competitions as he inspired Barca to a historic treble, with the Catalans claiming La Liga, the Copa del Rey and the Champions League.
Consequently, Neymar believes that there is only one possible winner of the Ballon...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA FIFA BALLON D'OR 2013