Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …
December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz)
Kipute cha Ligi Kuu Uingereza kimeendelea tena leo January 2 kwa michezo kadhaa kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini humo, Man United walikuwa wenyeji wa Swansea City katika dimba la Old Trafford, wakati Arsenal walikuwa wenyeji wa Newcastle United katika dimba la Emirates. Mchezo ambao ulikuwa na nafasi ya kutazamwa na watu wengi ni mchezo kati […]
The post Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass …
Sikukuu ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu kubwa sana duniani, hususani kwa bara la Ulaya shamrashamra za sikukuu hii zinakuwa kubwa sana tofauti na Afrika, Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyopost au kusherehekea sikukuu ya Chrismass na familia, watu wao wa karibu na hata na wapenzi wao. Miongoni […]
The post Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Poulsen alimpa Messi, Kaseja akampa Ronaldo
9 years ago
Bongo501 Dec
Ronaldo, Messi na Neymar kuwania Ballon d’Or 2015

Majina ya wachezaji watatu watakaowania tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka duniani yametajwa.
Wanaowania tuzo hiyo ni mshambuliaji wa Real Madrid na Ureno, Cristiano Ronaldo, Lionel Messi wa Barcelona na Argentina na nyota wa Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior, anayeingia katika kinyang’anyiro hicho kwa mara ya kwanza.
Wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kike ni kiungo wa timu ya taifa ya Marekani, Carli Lloyd, Aya Miyama wa Japan pamoja na Celia Sasic wa Ujerumani.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 ..
Ikiwa ni siku ya kwanza katika mwaka 2016 yaani mwaka mpya, kila mtu amesherehekea kwa namna yake. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyosherehekea sikukuu ya mwaka mpya. Wengine walisherehekea sikukuu ya mwaka mpya wakiwa majumbani kwao na wapenzi wao na wengine kwa vinywaji flani hivi. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 .. appeared first on...
5 years ago
MillardAyo10 Mar
PICHA 10: Mastaa wa soka Bongo Niyonzima, Kaseja, Okwi, Manula na Himid wakiwa na wake zao
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Tetesi za soka: Alhamisi 18.06.2020: : Messi, Ronaldo, Pedro, Fraser, Chilwell, Alaba