Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Poulsen alimpa Messi, Kaseja akampa Ronaldo

>Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen amemchagua Lionel Messi kuwa  mwanasoka bora wa dunia wakati nahodha wake, Juma Kaseja  amempa kura yake Cristiano Ronaldo aliyeibuka mshindi wa tuzo ya  Mwanasoka Bora wa Dunia 2013.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …

December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Ronaldo v Messi at Old Trafford

and Lionel Messi, will go head-to-head in Manchester on Tuesday when Portugal take on Argentina at Old Trafford (kick-off 19:45 GMT).

 

11 years ago

BBCSwahili

Ronaldo avunja rekodi ya Messi

Christiano Ronaldo amevunja rekodi ya ufungaji mabao mengi katika ligi ya mabingwa barani Uropa

 

11 years ago

Mtanzania

Kikwete kuwaleta Ronaldo, Messi

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam

BAADA ya ujio wa magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid kufanyika kwa mafanikio makubwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameeleza kuwa anafanya uwezekano wa kuileta timu halisi ya Real Madrid yenye nyota, Cristiano Ronaldo au Barcelona yenye staa, Lionel Messi.

Magwiji hao walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya magwiji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania Eleven’, iliyoisha kwa Real Madrid kushinda kwa mabao 3-1,...

 

10 years ago

Mtanzania

Ronaldo apania kumfikia Messi

Picha ya tatuZURICH, USWISI
NYOTA waReal Madrid, Cristiano Ronaldo, usiku wa kuamkia jana alifanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia ‘Ballon d’Or’ kwa mara ya pili mfululizo, huku mwaka huu akipanga kuchukua tena na kumzidi nyota wa Barcelona, Lionel Messi aliyeitwaa mara nne.

Nahodha huyo wa timu ya Taifa ya Ureno aliwapiku wapinzani wake, Messi na kipa wa Bayern Munich, Manuel Neuer, waliokuwa wakishindanishwa kuwania tuzo hiyo.

Nyota hao watatu pia walifanikiwa kuorodheshwa kwenye kikosi bora...

 

11 years ago

Mwananchi

Ronaldo, Messi wanyimana kura

>Wakati wote kushinda tuzo ya Ballon d’Or inatokana na ushindani wa hali ya juu nje ya uwanja kuwa nani mwenye mvuto na kipaji binafsi.

 

11 years ago

Habarileo

Shibuda ajifananisha na Messi, Ronaldo

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema kwamba hajakihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo bali amekosana na mfumo wa utumishi wa ndani ya chama hicho.

 

11 years ago

Mwananchi

Messi, Ronaldo, Soton gumzo

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameandika upya vitabu vya soka Ulaya kwa kufunga mabao mengi ya mwanzo wa msimu huku hasimu wake, Lionel Messi akikaribia rekodi mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Si Messi wala Ronaldo ni Atletico

>Kwa mara ya kwanza si Lionel Messi wa Barcelona au Cristiano Ronaldo wa Real Madrid aliyekalia usukani wa Ligi ya Hispania, La Liga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani