Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Messi, Ronaldo, Soton gumzo

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameandika upya vitabu vya soka Ulaya kwa kufunga mabao mengi ya mwanzo wa msimu huku hasimu wake, Lionel Messi akikaribia rekodi mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ronaldo v Messi at Old Trafford

and Lionel Messi, will go head-to-head in Manchester on Tuesday when Portugal take on Argentina at Old Trafford (kick-off 19:45 GMT).

 

10 years ago

Mtanzania

Ronaldo apania kumfikia Messi

Picha ya tatuZURICH, USWISI
NYOTA waReal Madrid, Cristiano Ronaldo, usiku wa kuamkia jana alifanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia ‘Ballon d’Or’ kwa mara ya pili mfululizo, huku mwaka huu akipanga kuchukua tena na kumzidi nyota wa Barcelona, Lionel Messi aliyeitwaa mara nne.

Nahodha huyo wa timu ya Taifa ya Ureno aliwapiku wapinzani wake, Messi na kipa wa Bayern Munich, Manuel Neuer, waliokuwa wakishindanishwa kuwania tuzo hiyo.

Nyota hao watatu pia walifanikiwa kuorodheshwa kwenye kikosi bora...

 

11 years ago

Mwananchi

Ronaldo, Messi wanyimana kura

>Wakati wote kushinda tuzo ya Ballon d’Or inatokana na ushindani wa hali ya juu nje ya uwanja kuwa nani mwenye mvuto na kipaji binafsi.

 

10 years ago

Habarileo

Shibuda ajifananisha na Messi, Ronaldo

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema kwamba hajakihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo bali amekosana na mfumo wa utumishi wa ndani ya chama hicho.

 

10 years ago

Mtanzania

Kikwete kuwaleta Ronaldo, Messi

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam

BAADA ya ujio wa magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid kufanyika kwa mafanikio makubwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameeleza kuwa anafanya uwezekano wa kuileta timu halisi ya Real Madrid yenye nyota, Cristiano Ronaldo au Barcelona yenye staa, Lionel Messi.

Magwiji hao walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya magwiji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania Eleven’, iliyoisha kwa Real Madrid kushinda kwa mabao 3-1,...

 

11 years ago

Mwananchi

Si Messi wala Ronaldo ni Atletico

>Kwa mara ya kwanza si Lionel Messi wa Barcelona au Cristiano Ronaldo wa Real Madrid aliyekalia usukani wa Ligi ya Hispania, La Liga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ronaldo avunja rekodi ya Messi

Christiano Ronaldo amevunja rekodi ya ufungaji mabao mengi katika ligi ya mabingwa barani Uropa

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon

Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon d'Or

 

9 years ago

TheCitizen

Ronaldo, Messi in 23-man Ballon d´Or shortlist

Real Madrid forward Cristiano Ronaldo and Barcelona’s Lionel Messi are among the 23 players shortlisted for 2015 Fifa Player of the Year famously known as Ballon d'Or.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani