Messi, Ronaldo, Soton gumzo
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameandika upya vitabu vya soka Ulaya kwa kufunga mabao mengi ya mwanzo wa msimu huku hasimu wake, Lionel Messi akikaribia rekodi mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRonaldo v Messi at Old Trafford
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Ronaldo apania kumfikia Messi
ZURICH, USWISI
NYOTA waReal Madrid, Cristiano Ronaldo, usiku wa kuamkia jana alifanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia ‘Ballon d’Or’ kwa mara ya pili mfululizo, huku mwaka huu akipanga kuchukua tena na kumzidi nyota wa Barcelona, Lionel Messi aliyeitwaa mara nne.
Nahodha huyo wa timu ya Taifa ya Ureno aliwapiku wapinzani wake, Messi na kipa wa Bayern Munich, Manuel Neuer, waliokuwa wakishindanishwa kuwania tuzo hiyo.
Nyota hao watatu pia walifanikiwa kuorodheshwa kwenye kikosi bora...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Ronaldo, Messi wanyimana kura
10 years ago
Habarileo04 Sep
Shibuda ajifananisha na Messi, Ronaldo
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema kwamba hajakihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo bali amekosana na mfumo wa utumishi wa ndani ya chama hicho.
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Kikwete kuwaleta Ronaldo, Messi
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
BAADA ya ujio wa magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid kufanyika kwa mafanikio makubwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameeleza kuwa anafanya uwezekano wa kuileta timu halisi ya Real Madrid yenye nyota, Cristiano Ronaldo au Barcelona yenye staa, Lionel Messi.
Magwiji hao walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya magwiji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania Eleven’, iliyoisha kwa Real Madrid kushinda kwa mabao 3-1,...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Si Messi wala Ronaldo ni Atletico
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Ronaldo avunja rekodi ya Messi
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
9 years ago
TheCitizen20 Oct
Ronaldo, Messi in 23-man Ballon d´Or shortlist