Si Messi wala Ronaldo ni Atletico
>Kwa mara ya kwanza si Lionel Messi wa Barcelona au Cristiano Ronaldo wa Real Madrid aliyekalia usukani wa Ligi ya Hispania, La Liga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Messi afurahia mtoto kwa kuiua Atletico
BARCELONA, HISPANIA
MSHAMBULIAJI wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, juzi alifurahia kupata mtoto wa pili wa kiume huku akiipa ushindi klabu yake dhidi ya Atletico Madrid katika michuano Ligi Kuu nchini Hispania.
Mke wa Messi, Anonella Roccuzzo, mwishoni mwa wiki iliyopita alifanikiwa kupata mtoto wa kiume na kumpa jina la Mateo, hivyo alishindwa kufanya mazoezi ya mwisho na klabu yake kwa ajili ya kuangalia afya ya mke na mtoto wake.
Hata hivyo, katika mchezo wa juzi alitokea benchi katika...
10 years ago
VijimamboRonaldo v Messi at Old Trafford
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Ronaldo avunja rekodi ya Messi
10 years ago
Habarileo04 Sep
Shibuda ajifananisha na Messi, Ronaldo
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema kwamba hajakihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo bali amekosana na mfumo wa utumishi wa ndani ya chama hicho.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Messi, Ronaldo, Soton gumzo
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Ronaldo, Messi wanyimana kura
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Ronaldo apania kumfikia Messi
ZURICH, USWISI
NYOTA waReal Madrid, Cristiano Ronaldo, usiku wa kuamkia jana alifanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia ‘Ballon d’Or’ kwa mara ya pili mfululizo, huku mwaka huu akipanga kuchukua tena na kumzidi nyota wa Barcelona, Lionel Messi aliyeitwaa mara nne.
Nahodha huyo wa timu ya Taifa ya Ureno aliwapiku wapinzani wake, Messi na kipa wa Bayern Munich, Manuel Neuer, waliokuwa wakishindanishwa kuwania tuzo hiyo.
Nyota hao watatu pia walifanikiwa kuorodheshwa kwenye kikosi bora...
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Kikwete kuwaleta Ronaldo, Messi
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
BAADA ya ujio wa magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid kufanyika kwa mafanikio makubwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameeleza kuwa anafanya uwezekano wa kuileta timu halisi ya Real Madrid yenye nyota, Cristiano Ronaldo au Barcelona yenye staa, Lionel Messi.
Magwiji hao walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya magwiji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania Eleven’, iliyoisha kwa Real Madrid kushinda kwa mabao 3-1,...
9 years ago
TheCitizen20 Oct
Ronaldo, Messi in 23-man Ballon d´Or shortlist