Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Messi afurahia mtoto kwa kuiua Atletico

MessiBARCELONA, HISPANIA

MSHAMBULIAJI wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, juzi alifurahia kupata mtoto wa pili wa kiume huku akiipa ushindi klabu yake dhidi ya Atletico Madrid katika michuano Ligi Kuu nchini Hispania.

Mke wa Messi, Anonella Roccuzzo, mwishoni mwa wiki iliyopita alifanikiwa kupata mtoto wa kiume na kumpa jina la Mateo, hivyo alishindwa kufanya mazoezi ya mwisho na klabu yake kwa ajili ya kuangalia afya ya mke na mtoto wake.

Hata hivyo, katika mchezo wa juzi alitokea benchi katika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Si Messi wala Ronaldo ni Atletico

>Kwa mara ya kwanza si Lionel Messi wa Barcelona au Cristiano Ronaldo wa Real Madrid aliyekalia usukani wa Ligi ya Hispania, La Liga.

 

10 years ago

Mwananchi

Makipa wazindua umoja wao kwa kuiua Taswa

Ivo Mapunda wa Simba, Shaaban Kado wa Coastal Union na Saleh Malande wa Ndanda juzi waliiongoza timu yao ya Chama cha Makipa Tanzania (Taga FC) kuiadhibu timu ya Waandishi wa Habari za Michezo (Taswa FC), kwa mabao 3-0, kwenye mchezo maalumu wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Bora, Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Atletico Madrid yafuzu kwa robo fainali

Atletico Madrid ilimeishinda AC Millan na kufuzu kwa robo fainali ya kuwania kombe la Ulaya kwa mara ya kwanza tangu 1997

 

9 years ago

Michuzi

Dk Massaburi afurahia kuanza kwa huduma ya mabasi ya DART jijini Dar es salaam

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, Mkuu wa Mkowa wa Dar es salaam, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi na viongozi wa UDART wakikagua mabasi yaendayo kasi, baada ya kuzinduliwa kwa mafunzo ya madereva  Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi akifurahia kutimia kwa ndoto ya kuanza kwa mabasi yaendayo kasi, baada ya kuzinduliwa kwa mafunzo ya madereva   Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi...

 

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo …

Bado siku 18 ili ifikie January 11 2016, siku ambayo tutashuhudia historia mpya ikiandikwa katika ulimwengu wa soka, kwani ndio siku ambayo tutamfahamu mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia kwa mwaka 2015, November 30 2015 yalitangazwa majina ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Neymar kuwa ndio waliofanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ya […]

The post Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo … appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Messi nje kwa majuma 8

Mshambulizi hodari zaidi duniani Lionel Messi wa Barcelona hatashiriki mashindano yeyote kwa majuma 8 yajayo kufuatia jeraha la goti

 

11 years ago

GPL

TP MAZEMBE YATUA KWA MESSI

Kiungo nyota wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’. Na Waandishi Wetu
MAMBO yamekucha kwa kiungo nyota wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ baada ya klabu tajiri ya TP Mazembe ya Lubumbashi, DR Congo kuonyesha wazi kuwa inamtaka. TP Mazembe tayari imetuma mtu ambaye amekuja nchini kwa ajili ya kumshuhudia Messi akiichezea Simba na ameeleza nia ya klabu hiyo. Shushu huyo wa usajili wa TP Mazembe alikuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Bayern, Real, Atletico juu kwa juu

Ujerumani. Vinara wa Bundesliga, Bayern Munich wameweka rekodi ya kutofungwa mechi 50 za mashindano yote msimu huu baada ya kushinda mabao 2-1 dhidi ya Bayer Leverkusen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yamtaka Messi kwa £200m

Lionel Messi ameambiwa kwamba kuna mkataba wa miaka sita kutoka kwa kilabu ya Chelsea unaomngojea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani