TP MAZEMBE YATUA KWA MESSI
![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl--PZkFx45NTex1k0pKtWUJR8TSq46dO6IzXuBMt*mT6PBbO-Zv*vS0C1AAwqCc9MjNmNlgdI4CbFmW-tPVFolB/messi.jpg?width=650)
Kiungo nyota wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’. Na Waandishi Wetu MAMBO yamekucha kwa kiungo nyota wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ baada ya klabu tajiri ya TP Mazembe ya Lubumbashi, DR Congo kuonyesha wazi kuwa inamtaka. TP Mazembe tayari imetuma mtu ambaye amekuja nchini kwa ajili ya kumshuhudia Messi akiichezea Simba na ameeleza nia ya klabu hiyo. Shushu huyo wa usajili wa TP Mazembe alikuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuB-mBJ*MZfEAQyxLZNZewryRoeKVpDCxJjWNng16SEbXmVvKjaqu9Nz9jWrdqtz4DxQAXorRUjcMVX*BZlXHYDt/okpkl.gif?width=650)
Yanga yatua kwa Wawa
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mapendekezo posho Bunge yatua kwa JK
KAMATI iliyoteuliwa kushughulikia nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, imewasilisha mapendekezo kwa Rais Jakaya Kikwete, ikisubiri maelekezo ya kuongezwa au la.
10 years ago
Mtanzania08 Jan
TRA yatua kwa Chenge, Tibaijuka
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetua kwa vigogo waliopata mgawo wa fedha za Escrow na kuwataka kulipa kodi ya mapato kwa mujibu wa sheria.
Maofisa wa mamlaka hiyo walikwenda kwa vigogo hao na kuwasilisha mahesabu ya kodi walizochukua Januari Mosi mwaka huu ambapo kila aliyepata mgawo huo ametakiwa kulipa fedha hizo kabla ya Januari 30.
Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam jana na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema msimamo wa...
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Dreamliner yatua Glasgow kwa dharula
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuvP6VK0kLj9XhV2EmdPpM5cA9CCNEG3aRAhXSEbYUpoqZ20tHsZ*7mX0e2EczV0164MndP-oseJLD43XAcleliP/simba.gif?width=650)
Simba yatua kwa kiungo Azam
10 years ago
VijimamboNDEGE YA AL-SALAAM YATUA PEMBA KWA DHARURA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BMX2CDnBHSIEczhAg73wJQDyGGYfq6Jewza7PfKfwvqZDQk7gNbxH8Rc2x42zNXwG3gYzHtRZHtaZOAJEvG2ZFTcBa1RJ8uT/12.gif?width=650)
Yanga noma, yatua kwa ndugu wa Adebayor
10 years ago
Habarileo17 Dec
Kampeni ya Polisi, Voda kwa madereva yatua Arusha
KAMPENI ya kuwataka madereva nchini, kuzingatia sheria za usalama barabarani inayoendeshwa na Jeshi la polisi kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania na Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, iliyozinduliwa wiki iliyopita na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe, imeingia mkoani Arusha.
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Ndege ya Ufaransa yatua kwa dharura Mombasa kuhofia bomu
Ndege ya Air France ikiwa imetua
Mombasa, Kenya
Ndege kubwa ya abiria, Boeing 777 AF463, mali ya Shirika la Ndege la Ufaransa (Air France) iliyokuwa ikitokea Visiwa vya Mauritius kuelekea Uwanja wa Ndege wa Charles de Gaulle, Paris, Ufaransa, imelazimika kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Mombasa baada ya kuhofiwa kuwa ndani yake kulikuwa na bomu.
Taarifa kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, Jenerali Joseph Boinnet kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, imeeleza kuwa...