Simba yatua kwa kiungo Azam

Kiungo wa ulinzi wa timu ya soka ya Azam FC, Jabir Aziz Stima (kulia) Na Hans Mloli USAJILI Simba unazidi kuwa na sura mpya kila kukicha baada ya sasa uongozi wa timu hiyo kuulizia huduma ya kiungo aliyeachwa na Azam FC hivi karibuni, Jabir Aziz ‘Stima’. Stima pamoja na wachezaji wenzake, Samir Nuhu na Malika Ndeule, waliachwa na Azam baada ya kumaliza mikataba yao klabuni hapo mwishoni mwa msimu uliopita...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Kiungo wa Azam arudishwa India
11 years ago
GPL
KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC
10 years ago
Mwananchi14 Aug
Kiungo Mzimbabwe asaini Simba
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kiungo Mzimbabwe atua Simba
KIUNGO mkabaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Justice Majabvi aliwasili jana na kwenda moja kwa moja katika kambi ya Simba iliyopo Zanzibar.
10 years ago
Michuzi.jpg)
DRFA,YAMLILIA KIUNGO WA ZAMANI WA SIMBA NA TAIFA STARS-CHRISTOPHER ALEX
.jpg)
Mwenyekiti wa DRFA,Almas Kasongo,amemuelezea marehemu Christopher kuwa ni mchezaji aliyevuma enzi za uhai wake na kuiletea heshima kubwa klabu yake ya Simba na Taifa Kwa ujumla,pale walipofanikiwa kuisukumiza nje ya...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Azam yang’ara, Simba kwa KCC
10 years ago
Vijimambo
AZAM FC YAKUBALI KICHAPO CHA MABAO 2 - 1 KUTOKA KWA SIMBA


