Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yang’ara, Simba kwa KCC

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC imeanza vyema mashindano hayo baada ya kuichapa Spice Stars kwa mabao 2-0, wakati leo Simba wataonyeshana kazi na KCC kwenye Uwanja wa Amaan.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Simba yang’ara, Yanga, Azam pabichi

Azam imeing’ang’ania Yanga kileleni mwa ligi baada ya kuilazimisha sare 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa, huku Simba ikivunja mwiko Mbeya kwa kuinyuka Mbeya City 1-0 kwenye Uwanja wa Sokoine.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA: Yanga yang’ara, Azam yashikwa

>Baada ya miaka sita Yanga imepata ushindi  wa kwanza kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya  kwa kuichakaza Prisons mabao 3-0 wakati  Azam ikilazimishwa sare ya 0-0 na Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini, Pwani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba, KCC vitani leo .Azam yaua 2-0, Chuoni vs URA sare

c WEKUNDU wa Msimbazi, Simba baada ya juzi kuanza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuifunga AFC Leopards ya Kenya kwa bao 1-0, leo inajitupa tena dimba la Amaan...

 

9 years ago

Habarileo

PPF yang’ara kwa mafanikio

MAFANIKIO makubwa na ya kujivunia yamefikiwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF na kuwezesha mfuko huo kukuza thamani yake kutoka Sh bilioni 859.5, Septemba 2011 hadi kufikia Sh trilioni 2.1 Juni, mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh trilioni moja.

 

10 years ago

Habarileo

Repoa yang’ara kwa utafiti duniani

Mkurugenzi Mtendaji wa Repoa Profesa Samuel Wangwe TAASISI inayoshughulika na mambo ya Utafiti wa Kupunguza Umasikini (Repoa) ni miongoni mwa taasisi nne za Tanzania ambazo zimeorodheshwa kwenye ripoti ya dunia kuwa ni taasisi zinazofanya vizuri katika masuala ya utafiti, ufuatiliaji na ushauri.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, Simba zang’ara

Wakati mabingwa wa Kombe la Mapinduzi, Simba wameendeleza furaha ya mashabiki wao kwa kuilaza Ndanda ya Mtwara mabao 2-0, huku watani zao, Yanga wakibaniwa na Ruvu Shooting kwa sare tasa ya 0-0 na Azam kukaa kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yang’ara mpango wa UN

TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yang’ara Chalinze

MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa ubunge wa Chalinze, uliofanyika jana. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yang’ara kuogelea

Muogeleaji  wa Tanzania, Ammaar Ghadiyali amefanikiwa kuingia hatua 16 bora ya  Michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya kuongoza kwenye mbizi za mita 50 hapo jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani