Azam yang’ara, Simba kwa KCC
Mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC imeanza vyema mashindano hayo baada ya kuichapa Spice Stars kwa mabao 2-0, wakati leo Simba wataonyeshana kazi na KCC kwenye Uwanja wa Amaan.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Simba yang’ara, Yanga, Azam pabichi
10 years ago
Mwananchi20 Feb
LIGI KUU BARA: Yanga yang’ara, Azam yashikwa
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Simba, KCC vitani leo .Azam yaua 2-0, Chuoni vs URA sare
c WEKUNDU wa Msimbazi, Simba baada ya juzi kuanza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuifunga AFC Leopards ya Kenya kwa bao 1-0, leo inajitupa tena dimba la Amaan...
9 years ago
Habarileo26 Aug
PPF yang’ara kwa mafanikio
MAFANIKIO makubwa na ya kujivunia yamefikiwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF na kuwezesha mfuko huo kukuza thamani yake kutoka Sh bilioni 859.5, Septemba 2011 hadi kufikia Sh trilioni 2.1 Juni, mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh trilioni moja.
10 years ago
Habarileo26 Jan
Repoa yang’ara kwa utafiti duniani
TAASISI inayoshughulika na mambo ya Utafiti wa Kupunguza Umasikini (Repoa) ni miongoni mwa taasisi nne za Tanzania ambazo zimeorodheshwa kwenye ripoti ya dunia kuwa ni taasisi zinazofanya vizuri katika masuala ya utafiti, ufuatiliaji na ushauri.
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Azam, Simba zang’ara
11 years ago
Habarileo16 Jan
Tanzania yang’ara mpango wa UN
TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
CCM yang’ara Chalinze
MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa ubunge wa Chalinze, uliofanyika jana. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Tanzania yang’ara kuogelea