Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam, Simba zang’ara

Wakati mabingwa wa Kombe la Mapinduzi, Simba wameendeleza furaha ya mashabiki wao kwa kuilaza Ndanda ya Mtwara mabao 2-0, huku watani zao, Yanga wakibaniwa na Ruvu Shooting kwa sare tasa ya 0-0 na Azam kukaa kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Timu za ukanda wa Cecafa zang’ara

Yanga imeweka rekodi ya kufunga mabao saba na kuziongoza klabu za Ukanda wa Afrika Mashariki kuanza kwa kishindo michuano ya Ligi ya Mabingwa  na Kombe la Shirikisho Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Arusha, HYAC zang’ara Bagamoyo Marathon

WANARIADHA Ismail Juma na Jackline Sakilu wametwaa taji la mbio za kihistoria za Bagamayo Half Marathon 2014 zilizofanyika mjini Bagamoyo mwishoni mwa wiki. Juma kutoka Arusha alishinda kwa wanaume kilomita...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya,Ethiopia zang'ara London marathon

Eliud Kipchoge mwanariadha kutoka Kenya ameibuka kuwa bingwa wa mbio za London Marathon mwaka huu muda mchache uliopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yang’ara, Simba kwa KCC

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC imeanza vyema mashindano hayo baada ya kuichapa Spice Stars kwa mabao 2-0, wakati leo Simba wataonyeshana kazi na KCC kwenye Uwanja wa Amaan.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yang’ara, Yanga, Azam pabichi

Azam imeing’ang’ania Yanga kileleni mwa ligi baada ya kuilazimisha sare 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa, huku Simba ikivunja mwiko Mbeya kwa kuinyuka Mbeya City 1-0 kwenye Uwanja wa Sokoine.

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Manchester City zang’ara Ligi Kuu England

 Chelsea imeendelea kujiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu England ikiwa na pointi 32 bila mpinzani baada ya kuilaza West Brom kwa mabao 2-0.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA: Yanga yang’ara, Azam yashikwa

>Baada ya miaka sita Yanga imepata ushindi  wa kwanza kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya  kwa kuichakaza Prisons mabao 3-0 wakati  Azam ikilazimishwa sare ya 0-0 na Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini, Pwani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigundula, Meddy, Lutiginda wang’ara Simba

WAGOMBEA nafasi ya ujumbe wa Klabu ya Simba, Asha Kigundula, Ahmed Mlanzi ‘Meddy’ na Ramson Lutiginda, jana waliteka hisia za wanachama na mashabiki waliojitokeza makao makuu ya klabu hiyo kuwapa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki Yanga wang’ara kwa Simba

Wakati shindano la ‘Nani Mtani Jembe 2’ baina ya mashabiki wa Yanga, Simba likiendelea nchini kote, upande wa Yanga umeendelea kufanya vyema katika kampeni hiyo ya kuwania Sh80 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani