LIGI KUU BARA: Yanga yang’ara, Azam yashikwa
>Baada ya miaka sita Yanga imepata ushindi  wa kwanza kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa kuichakaza Prisons mabao 3-0 wakati Azam ikilazimishwa sare ya 0-0 na Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini, Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Apr
LIGI KUU BARA: Yanga, Azam mshikemshike
>Waswahili husema, hakuna kulala hadi kieleweke. Hivyo ndivyo unavyoweza kuzungumzia mbio za kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu ambazo dhahiri zimekuwa za Yanga na Azam.
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Yanga wasusa Sh300 mil za udhamini wa Azam wa Ligi Kuu Bara
Uongozi wa Yanga umetakiwa kuandika barua iwapo hawazihitaji fedha za udhamini wa Azam ambazo hadi sasa zimefika Sh300 milioni ili zielekezwe kwenye masuala mengine.
10 years ago
Mwananchi25 Oct
LIGI KUU BARA: Kumekucha Simba, Yanga, Azam vitani leo
>Miamba ya soka nchini, Yanga na Simba baada ya kushindwa kutambiana wiki iliyopita leo itasaka ushindi wa ugenini dhidi ya Stand United na Prisons huku mabingwa watetezi Azam wakiwa nyumbani kuwavaa JKT Ruvu.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s72-c/MMGL0780.jpg)
YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s1600/MMGL0780.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w8qZvZaS9us/VUpReV155nI/AAAAAAAHVwM/cByfPFyn_2g/s1600/IMG_9943.jpg)
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iY0FeOWICQU/VUpReAtC49I/AAAAAAAHVwE/kH01q9iQUHo/s1600/IMG_9925.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Ubelgiji yang’ara, Brazil yashikwa
Kipa Guillermo Ochoa ameiongoza Mexico kulazimisha suluhu na Brazil, huku Ubelgiji wakichapa Algeria 2-1 jana.
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Simba yang’ara, Yanga, Azam pabichi
Azam imeing’ang’ania Yanga kileleni mwa ligi baada ya kuilazimisha sare 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa, huku Simba ikivunja mwiko Mbeya kwa kuinyuka Mbeya City 1-0 kwenye Uwanja wa Sokoine.
9 years ago
Mwananchi20 Dec
LIGI KUU: Tambwe aipaisha Yanga, Simba yashikwa
Baada ya ukame wa mabao katika michezo miwili mfululizo, mshambuliaji Amissi Tambwe jana alifunga mabao matatu ‘hat trick’ ya kwanza msimu huu na kuisaidia Yanga kupata ushindi mnono wa mabao 4-0 na kuendelea kuongoza ligi kwa kufikisha pointi 30.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJjw3GPHyVIC*ApGRxMIPqGBPvVFg6HZIKwYacdMPf9cHBjst0Yaupl6tk3zcRQSwR-qceH0bF4lDTt-I0aE*j4/azam.jpg?width=650)
Azam bingwa Ligi Kuu Bara
Mshambuliaji wa Azam Fc, Gaudence Mwaikimba akishangilia bao huku akifuatwa na mwenzake, Kipre Tchetche(kulia), nyuma yao ni mwenzao, Himid Mao katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, jana. Azam bingwa ligi kuu Na Martha Mboma, Mbeya
ILIKUWA kama vita lakini hatimaye mechi imefanyika, matokeo yamepatikana na rekodi imewekwa kwenye… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TgHj0KqUN*uQ4sPidTibq0cPgCtn-JjlCOabedDIwUj2Y0WWfRSJsOV1ENykIphkLeGdzdUKlevANbxfq3tdcb2qqEQKQp5O/potrait_preview_whitespace_reduced.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania