LIGI KUU BARA: Yanga, Azam mshikemshike
>Waswahili husema, hakuna kulala hadi kieleweke. Hivyo ndivyo unavyoweza kuzungumzia mbio za kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu ambazo dhahiri zimekuwa za Yanga na Azam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Feb
LIGI KUU BARA: Yanga yang’ara, Azam yashikwa
>Baada ya miaka sita Yanga imepata ushindi  wa kwanza kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa kuichakaza Prisons mabao 3-0 wakati Azam ikilazimishwa sare ya 0-0 na Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini, Pwani.
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Yanga wasusa Sh300 mil za udhamini wa Azam wa Ligi Kuu Bara
Uongozi wa Yanga umetakiwa kuandika barua iwapo hawazihitaji fedha za udhamini wa Azam ambazo hadi sasa zimefika Sh300 milioni ili zielekezwe kwenye masuala mengine.
10 years ago
Mwananchi25 Oct
LIGI KUU BARA: Kumekucha Simba, Yanga, Azam vitani leo
>Miamba ya soka nchini, Yanga na Simba baada ya kushindwa kutambiana wiki iliyopita leo itasaka ushindi wa ugenini dhidi ya Stand United na Prisons huku mabingwa watetezi Azam wakiwa nyumbani kuwavaa JKT Ruvu.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s72-c/MMGL0780.jpg)
YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s1600/MMGL0780.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w8qZvZaS9us/VUpReV155nI/AAAAAAAHVwM/cByfPFyn_2g/s1600/IMG_9943.jpg)
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iY0FeOWICQU/VUpReAtC49I/AAAAAAAHVwE/kH01q9iQUHo/s1600/IMG_9925.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJjw3GPHyVIC*ApGRxMIPqGBPvVFg6HZIKwYacdMPf9cHBjst0Yaupl6tk3zcRQSwR-qceH0bF4lDTt-I0aE*j4/azam.jpg?width=650)
Azam bingwa Ligi Kuu Bara
Mshambuliaji wa Azam Fc, Gaudence Mwaikimba akishangilia bao huku akifuatwa na mwenzake, Kipre Tchetche(kulia), nyuma yao ni mwenzao, Himid Mao katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, jana. Azam bingwa ligi kuu Na Martha Mboma, Mbeya
ILIKUWA kama vita lakini hatimaye mechi imefanyika, matokeo yamepatikana na rekodi imewekwa kwenye… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TgHj0KqUN*uQ4sPidTibq0cPgCtn-JjlCOabedDIwUj2Y0WWfRSJsOV1ENykIphkLeGdzdUKlevANbxfq3tdcb2qqEQKQp5O/potrait_preview_whitespace_reduced.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara
TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AZAM FC BINGWA LIGI KUU BARA 2013/2014
Ni baada ya kuilaza Mbeya City bao 2-1 katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya hivi punde na kufikisha jumla ya pointi 59 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine yoyote!
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lJyj-NLN1cA/U1MXCYsAf9I/AAAAAAAFb3E/03I6pk8kfzA/s72-c/2.jpg)
mabingwa wapya wa ligi kuu ya bara Azam FC watawazwa rasmi
![](http://3.bp.blogspot.com/-lJyj-NLN1cA/U1MXCYsAf9I/AAAAAAAFb3E/03I6pk8kfzA/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dA1Cl4zqow4/U1MXCuIN3aI/AAAAAAAFb3I/kgvKYrm5IzA/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Ql6mnGWlAc/U1MX9uGnZqI/AAAAAAAFb3U/4VUcHdYpdP0/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zIG3ZkQ_vJ4/U1MX9283qPI/AAAAAAAFb3Y/8H0R1EVXb_Q/s1600/unnamed+(23).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania