Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yang’ara, Yanga, Azam pabichi

Azam imeing’ang’ania Yanga kileleni mwa ligi baada ya kuilazimisha sare 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa, huku Simba ikivunja mwiko Mbeya kwa kuinyuka Mbeya City 1-0 kwenye Uwanja wa Sokoine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Azam yang’ara, Simba kwa KCC

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC imeanza vyema mashindano hayo baada ya kuichapa Spice Stars kwa mabao 2-0, wakati leo Simba wataonyeshana kazi na KCC kwenye Uwanja wa Amaan.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA: Yanga yang’ara, Azam yashikwa

>Baada ya miaka sita Yanga imepata ushindi  wa kwanza kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya  kwa kuichakaza Prisons mabao 3-0 wakati  Azam ikilazimishwa sare ya 0-0 na Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini, Pwani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yang'ara Kombe la Mapinduzi

Timu ya Yanga ya Tanzania Bara imezidi kung'ara katika michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, Simba zang’ara

Wakati mabingwa wa Kombe la Mapinduzi, Simba wameendeleza furaha ya mashabiki wao kwa kuilaza Ndanda ya Mtwara mabao 2-0, huku watani zao, Yanga wakibaniwa na Ruvu Shooting kwa sare tasa ya 0-0 na Azam kukaa kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki Yanga wang’ara kwa Simba

Wakati shindano la ‘Nani Mtani Jembe 2’ baina ya mashabiki wa Yanga, Simba likiendelea nchini kote, upande wa Yanga umeendelea kufanya vyema katika kampeni hiyo ya kuwania Sh80 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yang’ara Chalinze

MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa ubunge wa Chalinze, uliofanyika jana. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yang’ara mpango wa UN

TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yang’ara kuogelea

Muogeleaji  wa Tanzania, Ammaar Ghadiyali amefanikiwa kuingia hatua 16 bora ya  Michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya kuongoza kwenye mbizi za mita 50 hapo jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani