Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu za ukanda wa Cecafa zang’ara

Yanga imeweka rekodi ya kufunga mabao saba na kuziongoza klabu za Ukanda wa Afrika Mashariki kuanza kwa kishindo michuano ya Ligi ya Mabingwa  na Kombe la Shirikisho Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Azam, Simba zang’ara

Wakati mabingwa wa Kombe la Mapinduzi, Simba wameendeleza furaha ya mashabiki wao kwa kuilaza Ndanda ya Mtwara mabao 2-0, huku watani zao, Yanga wakibaniwa na Ruvu Shooting kwa sare tasa ya 0-0 na Azam kukaa kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Arusha, HYAC zang’ara Bagamoyo Marathon

WANARIADHA Ismail Juma na Jackline Sakilu wametwaa taji la mbio za kihistoria za Bagamayo Half Marathon 2014 zilizofanyika mjini Bagamoyo mwishoni mwa wiki. Juma kutoka Arusha alishinda kwa wanaume kilomita...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya,Ethiopia zang'ara London marathon

Eliud Kipchoge mwanariadha kutoka Kenya ameibuka kuwa bingwa wa mbio za London Marathon mwaka huu muda mchache uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Manchester City zang’ara Ligi Kuu England

 Chelsea imeendelea kujiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu England ikiwa na pointi 32 bila mpinzani baada ya kuilaza West Brom kwa mabao 2-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu 6 kukata utepe,CECAFA

Ratiba ya mechi ya mechi za ufunguzi katika michuano ya Kombe la Kagame CECAFA imekwisha kufahamika ambapo jumamosi hii APR ya Rwanda itakwana na Al Shandy ya Sudan.

 

11 years ago

Michuzi

HAWA NDIO WACHEZAJI 32 WANAOTARAJIWA KUNG’ARA ZAIDI NA KUONGOZA TIMU ZAO WAKATI WA FIFA WORLD CUP 2014


Fainali za Kombe la Dunia ni uwanja mpana. Ni mahali ambapo vipaji na vipaji vya wanasoka duniani huonekana. Madalali wa kuvumbua na kununua wachezaji [scouts] hufurika kwenye mashindano kama haya wakijua wazi kabisa kwamba pale ndipo watakapoona “lulu” kwa ajili ya vilabu vyao. Kwa maana hiyo kuna kila aina ya harakati za kimichezo na kuonyesha na kuonyeshana vipaji. Hii sio kumaanisha kwamba wachezaji wote mahiri hapa duniani walicheza katika fainali za Kombe la Dunia.La. 
Wapo...

 

10 years ago

TheCitizen

CECAFA: Azam FC eye Cecafa Cup semis

>Azam FC head coach Joseph Omog is earning fame as one of the best strategists and planners of the game.

 

9 years ago

Dewji Blog

Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!

cecafa__logo

Na Rabi Hume

Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.

Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.

Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;

 

9 years ago

BBCSwahili

Man United, City zang'aa Ulaya

Timu za Jiji la Manchester, Man United na Man City zimefanyikiwa kupata ushindi wake wa kwanza

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani