Timu 6 kukata utepe,CECAFA
Ratiba ya mechi ya mechi za ufunguzi katika michuano ya Kombe la Kagame CECAFA imekwisha kufahamika ambapo jumamosi hii APR ya Rwanda itakwana na Al Shandy ya Sudan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015, YANGA KUKATA UTEPE NA GOR MAHIA TOKA KENYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-vnRVayUBdbk/VZQORzcQ7tI/AAAAAAABBv0/m43evaQ10Ao/s640/CECAFA%2BChairman%2BLeodegar%2BTenga%2B%2528c%2529%2BSecretary%2Bgeneral%2BNicholas%2BmUSONYE%2B%2528L%2529%2Band%2Btff%2Bchairman%2BJamal%2BMalinzi%2Bat%2Bpress%2Bconference%2Bin%2BDAR%2Byesterday.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-24LjQU4Fr4Q/VZQORx9lf3I/AAAAAAABBvw/EmumPpttDaY/s640/CECAFA%2Bleaders%2BNicholas%2Bmusomnye%2B%2528l%2529%252C%2Bleodegar%2Btenga%2Band%2BJamal%2Bmalinzi%2Bat%2BCECAFA%2BPress%2Bconference%2Bin%2BDar%2Byesterday.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 May
Azam, Yanga kukata utepe Agosti 16
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Timu za ukanda wa Cecafa zang’ara
10 years ago
TheCitizen20 Aug
CECAFA: Azam FC eye Cecafa Cup semis
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!
Na Rabi Hume
Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.
Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.
Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sNbgOAmWtsM/XoXt9REL-pI/AAAAAAALl3E/-RfiThg5iwAtkKGhAyViyAt9OdMxUV2DwCLcBGAsYHQ/s72-c/c8615e86-743d-4ed6-9a32-b978c4262158.jpg)
Muungano wa Utepe mweupe waiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga
MRATIBU wa Shirika lisilo la kiserikali la Utepe Mweupe (White Ribbon), nchini Rose Mlay ameiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga katika vituo vya afya, zahanati na hospitali za mikoa ili akina mama wapate huduma nzuri pindi wanapojifungua.
Akizungumza na Michuzi Tv wa kuelekea Kampeni ya "Wanawake wanataka nini ,Sikiliza Chukua Hatua" iliyoandaliwa na Shirika hilo amesema katika uzazi kuna chabgamoto nyingi wakati wa kujifingua hivyo wanaiomba serikali...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/wananchi-wa-Namanyele-wilayani-Nkasi-wakichangia-damu-katika-siku-ya-uzinduzi-wa-siku-ya-Utepe-mweupe.-Uzinduzi-huu-ulifanyika-katika-viwanja-vya-sabasaba-wilayani-Nkasi.jpg)
MTANDAO WA UTEPE MWEUPE WAKEMEA TABIA YA UUZAJI DAMU HOSPITALINI
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania kuzindua ripoti ya Sauti za Wananchi LEO
Bi. Rose Mlay-Mratibu wa Taifa, Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania akifafanua jambo katika moja ya shughuli za Muungano huo wa Utepe Mweupe hapa nchini. Muungano huo asubuhi ya leo katika makao makuu ya ofisi zao, wanatarajia kuzindua rasmi ripoti ya sauti ya wananchi.
Soma hapa kwa taarifa zaidi:
UZINDUZI WA RIPOTI YA SAUTI ZA WANANCHI.pdf
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10