Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu 6 kukata utepe,CECAFA

Ratiba ya mechi ya mechi za ufunguzi katika michuano ya Kombe la Kagame CECAFA imekwisha kufahamika ambapo jumamosi hii APR ya Rwanda itakwana na Al Shandy ya Sudan.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

CECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015, YANGA KUKATA UTEPE NA GOR MAHIA TOKA KENYA


Rais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es salaam.
Akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi za TFF zilizopo Karume, Tenga ameishukuru serikali ya Tanzania na TFF kwa kukubali kuwa wenyeji wa michuano hiyo mikubwa, vyombo vya habari na wapenzi wa mpira wa miguu nchini kwa sapoti yao na kuipokea kwa mikono...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam, Yanga kukata utepe Agosti 16

>Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC watafungua pazia la ligi msimu ujao 2014/2015 kwa kuivaa Yanga kati ya Agosti 16 na 17 katika mchezo wa Ngao ya Jamii.

 

11 years ago

Mwananchi

Timu za ukanda wa Cecafa zang’ara

Yanga imeweka rekodi ya kufunga mabao saba na kuziongoza klabu za Ukanda wa Afrika Mashariki kuanza kwa kishindo michuano ya Ligi ya Mabingwa  na Kombe la Shirikisho Afrika.

 

10 years ago

TheCitizen

CECAFA: Azam FC eye Cecafa Cup semis

>Azam FC head coach Joseph Omog is earning fame as one of the best strategists and planners of the game.

 

9 years ago

Dewji Blog

Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!

cecafa__logo

Na Rabi Hume

Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.

Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.

Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;

 

5 years ago

Michuzi

Muungano wa Utepe mweupe waiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga

 Na Chalila Kibuda,Michuzi TV

MRATIBU  wa Shirika lisilo la kiserikali la Utepe Mweupe (White Ribbon), nchini  Rose Mlay ameiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga katika vituo vya afya, zahanati na hospitali za mikoa ili akina mama wapate huduma nzuri pindi wanapojifungua.

Akizungumza na Michuzi Tv  wa kuelekea Kampeni ya "Wanawake wanataka nini ,Sikiliza Chukua Hatua" iliyoandaliwa na Shirika hilo amesema katika uzazi kuna chabgamoto nyingi wakati wa kujifingua hivyo wanaiomba serikali...

 

11 years ago

GPL

MTANDAO WA UTEPE MWEUPE WAKEMEA TABIA YA UUZAJI DAMU HOSPITALINI‏

Baadhi ya wananchi wa Namanyere wilayani Nkasi wakichangia damu katika siku ya uzinduzi wa siku ya Utepe mweupe. Mmoja wa wananchi akichangia damu huku akisaidiwa na daktari.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania kuzindua ripoti ya Sauti za Wananchi LEO

MlayBi. Rose Mlay-Mratibu wa Taifa, Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania akifafanua jambo katika moja ya shughuli za Muungano huo wa Utepe Mweupe hapa nchini.  Muungano huo asubuhi ya leo katika makao makuu ya ofisi zao,  wanatarajia kuzindua rasmi ripoti ya sauti ya wananchi.

Soma hapa kwa taarifa zaidi:

UZINDUZI WA RIPOTI YA SAUTI ZA WANANCHI.pdf 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani