MTANDAO WA UTEPE MWEUPE WAKEMEA TABIA YA UUZAJI DAMU HOSPITALINI
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/wananchi-wa-Namanyele-wilayani-Nkasi-wakichangia-damu-katika-siku-ya-uzinduzi-wa-siku-ya-Utepe-mweupe.-Uzinduzi-huu-ulifanyika-katika-viwanja-vya-sabasaba-wilayani-Nkasi.jpg)
Baadhi ya wananchi wa Namanyere wilayani Nkasi wakichangia damu katika siku ya uzinduzi wa siku ya Utepe mweupe. Mmoja wa wananchi akichangia damu huku akisaidiwa na daktari.…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sNbgOAmWtsM/XoXt9REL-pI/AAAAAAALl3E/-RfiThg5iwAtkKGhAyViyAt9OdMxUV2DwCLcBGAsYHQ/s72-c/c8615e86-743d-4ed6-9a32-b978c4262158.jpg)
Muungano wa Utepe mweupe waiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga
MRATIBU wa Shirika lisilo la kiserikali la Utepe Mweupe (White Ribbon), nchini Rose Mlay ameiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga katika vituo vya afya, zahanati na hospitali za mikoa ili akina mama wapate huduma nzuri pindi wanapojifungua.
Akizungumza na Michuzi Tv wa kuelekea Kampeni ya "Wanawake wanataka nini ,Sikiliza Chukua Hatua" iliyoandaliwa na Shirika hilo amesema katika uzazi kuna chabgamoto nyingi wakati wa kujifingua hivyo wanaiomba serikali...
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania kuzindua ripoti ya Sauti za Wananchi LEO
Bi. Rose Mlay-Mratibu wa Taifa, Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania akifafanua jambo katika moja ya shughuli za Muungano huo wa Utepe Mweupe hapa nchini. Muungano huo asubuhi ya leo katika makao makuu ya ofisi zao, wanatarajia kuzindua rasmi ripoti ya sauti ya wananchi.
Soma hapa kwa taarifa zaidi:
UZINDUZI WA RIPOTI YA SAUTI ZA WANANCHI.pdf
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/Wajumbe-wa-Mkutano-kati-ya-Utepe-Mweupe-na-PM-wakiwa-katika-picha-ya-pamoja-na-Waziri-Mkuu-Mh-Mizengo-Pinda.jpg?width=613)
MUUNGANO WA UTEPE MWEUPE WAKUTANA WAZIRI MKUU PINDA, KUJADILI NAMNA YA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Lyo8brbdheM/VoJNzj16esI/AAAAAAAIPIA/jWVrFn64ics/s72-c/IMG_9633.jpg)
WIZARA YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI WAKEMEA TABIA YA KUADHIBU WANYAMA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lyo8brbdheM/VoJNzj16esI/AAAAAAAIPIA/jWVrFn64ics/s640/IMG_9633.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IycCh-ujHl8/VoJN001AanI/AAAAAAAIPIQ/bOMZ-UVoTQ0/s640/IMG_9681.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Uuzaji damu wamkera Mama Salma Kikwete
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BwbbMTIxMRw/VRQtQPIoWaI/AAAAAAAHNe0/CdTgecdprKc/s72-c/DSC_0704.jpg)
KAYMU YAFUNGUA KITUO UUZAJI WA BIDHAA KWA NJIA YA MTANDAO
Kampuni ya Kaymu imefungua tawi lake Kariakoo kwa ajili ya wafanyabiashara na wanunuzi kwa njia ya mtandao pamoja na uhifadhi wa bidhaa kabla hazijasafirishwa kwenda maeneo husika, hali ambayo itasaidia kuwapunguzia usumbufu wauzaji waliokubaliana na kampuni hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Meneja wa Kaymu Tanzania, Erfaan Mojgani amesema kufungua huduma kwa njia ya mtandao ni kurahisisha uendeshaji biashara pamoja na kuondoa...