WIZARA YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI WAKEMEA TABIA YA KUADHIBU WANYAMA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lyo8brbdheM/VoJNzj16esI/AAAAAAAIPIA/jWVrFn64ics/s72-c/IMG_9633.jpg)
Mkurugenzi wa Huduma za mifungo Tanzania katika wizara ya Kilimo, mifugo na Uvuvi, Dkt. Abdu Hayghaimo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na kusikitishwa kwao kama wizara kutokana na wanyama kuadhibiwa bila hatia yoyote kwenye migogoro kati ya wakulima na wafugaji hapa nchini. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano wa wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi, Judith Mliwa.
Daktari wa Mifugo wa kurugenzi ya huduma za mifugo wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi, Dkt....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi22 Jun
UTEUZI WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI
Dodoma, Juni 22, 2020
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina (Mb) kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Veterinari Na. 16 ya Mwaka 2003 amewateua Wajumbe wa Baraza la Veterinari Tanzania kama ifuatavyo: -Dkt. Bhakilana Augustine Mafwere Mwakilishi Chama cha Wafanyabiashara wa Dawa za Wanyama
Prof. Amandus Pachifius Muhairwa Mwakilishi,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vwxCd3th08I/Xsiv3pzEX-I/AAAAAAALrWA/nfnGenGZydk39LgESCklAswzHFdSWPOAQCLcBGAsYHQ/s72-c/3edacdae-f39f-438e-a187-6d250de650a0.jpg)
Mawaziri wa SADC wa Kilimo,Mifugo, Uvuvi kufanya tathimini ya majanga.
Na Chalila Kibuda,Michuzi TV
Mawaziri wa Sekta wa Kilimo,Mifugo,Uvuvi pamoja wa nchi zilizo Kusini Mwa Jangwa la Sahara (SADC) zimekubaliana kufanya tathimini ya miezi mitatu madhara yaliyotokana na majanga mbalimbali ikiwemo na ugonjwa wa Virusi vya Corona ili kuweza kusaidia Sekta hiyo kuimarika.
Akizungumza katika Mkutano huo Mwenyekiti wa Sekta ya Kilimo, Mifugo,Uvuvi na Usalama wa Chakula ambaye ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhanga Mpina amesema kuwa Mkutano huo wameazimia kufanya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UdvsYd6VC6Y/VN0JQdyjIOI/AAAAAAAHDXg/J0AeFPazZcw/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
DKT. SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI ZANZIBAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UdvsYd6VC6Y/VN0JQdyjIOI/AAAAAAAHDXg/J0AeFPazZcw/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vRQFaUj3KxA/VN0JQRvkKfI/AAAAAAAHDXc/akurb3BAmws/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/wananchi-wa-Namanyele-wilayani-Nkasi-wakichangia-damu-katika-siku-ya-uzinduzi-wa-siku-ya-Utepe-mweupe.-Uzinduzi-huu-ulifanyika-katika-viwanja-vya-sabasaba-wilayani-Nkasi.jpg)
MTANDAO WA UTEPE MWEUPE WAKEMEA TABIA YA UUZAJI DAMU HOSPITALINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4iZoE-CdSSc/XrVyeH0gm9I/AAAAAAALpgw/9aZjv07PQOEOfua72k9an_L5cJm4ve_ZACLcBGAsYHQ/s72-c/Prof.-Amandus-Muhairwa.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DOVeELA2DQk/XtXyEOonLTI/AAAAAAALsSM/fUqIHcJ0nMgbj-b0_KMJewdZBOVuneiDwCLcBGAsYHQ/s72-c/b4f2827c-6163-4196-ae53-0b8bb7352538.jpg)
UKATILI WA KISHENZI WA BINADAMU USIFANANISHWE NA TABIA ZA WANYAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DOVeELA2DQk/XtXyEOonLTI/AAAAAAALsSM/fUqIHcJ0nMgbj-b0_KMJewdZBOVuneiDwCLcBGAsYHQ/s400/b4f2827c-6163-4196-ae53-0b8bb7352538.jpg)
Charles James, Michuzi TV
WIKI Moja sasa imepita toka Askari wa Zimamoto na Uokoaji, Denis Minja alipomuokoa mtoto ambaye alikua ametupwa kwenye shimo la Choo cha Shule ya Msingi Murgwanza wilayani Ngara, Kagera.
Nikukumbushe mtoto huyo alikua na umri wa mwaka mmoja na miezi sita na inasadikika alitupwa na Mama yake katika shimo hilo lenye urefu wa futi 30.
Fikiria Binadamu aliezaliwa bila kutupwa na wazazi wake yeye anakuja kumtupa mtoto mdogo kiasi hiko kwenye shimo la choo. Lengo lake bila...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s59l1-GJpB4/VC6JwZTMD8I/AAAAAAAGnhU/KtaycwfZvPw/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Mwakilishi wa IFAD amtembelea Waziri Mifugo na Uvuvi ofisini kwake leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-s59l1-GJpB4/VC6JwZTMD8I/AAAAAAAGnhU/KtaycwfZvPw/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WRFpIS6kamo/VLYPdaDy7YI/AAAAAAAG9PI/BQ2tN2YPrwo/s72-c/Untitled1.png)
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi afanya ziara katika Wilaya ya Momba na Mkoa wa Rukwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-WRFpIS6kamo/VLYPdaDy7YI/AAAAAAAG9PI/BQ2tN2YPrwo/s1600/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-clbeuTZwjIY/VLYPdcRyaeI/AAAAAAAG9PA/ht8-rdmhku8/s1600/Untitled2.png)