Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKATILI WA KISHENZI WA BINADAMU USIFANANISHWE NA TABIA ZA WANYAMA


Charles James, Michuzi TV

WIKI Moja sasa imepita toka Askari wa Zimamoto na Uokoaji, Denis Minja alipomuokoa mtoto ambaye alikua ametupwa kwenye shimo la Choo cha Shule ya Msingi Murgwanza wilayani Ngara, Kagera.

Nikukumbushe mtoto huyo alikua na umri wa mwaka mmoja na miezi sita na inasadikika alitupwa na Mama yake katika shimo hilo lenye urefu wa futi 30.

Fikiria Binadamu aliezaliwa bila kutupwa na wazazi wake yeye anakuja kumtupa mtoto mdogo kiasi hiko kwenye shimo la choo. Lengo lake bila...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI WAKEMEA TABIA YA KUADHIBU WANYAMA.

Mkurugenzi wa Huduma za mifungo Tanzania katika wizara ya Kilimo, mifugo na Uvuvi, Dkt. Abdu Hayghaimo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na kusikitishwa kwao kama wizara kutokana na wanyama kuadhibiwa bila hatia yoyote kwenye migogoro kati ya wakulima na wafugaji hapa nchini. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano wa wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi, Judith Mliwa.Daktari wa Mifugo wa kurugenzi ya huduma za mifugo wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi, Dkt....

 

10 years ago

GPL

MAPAMBANO YA UKATILI YANAITAJI NGUVU ZA PAMOJA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU

Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizungumza. Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi akizungumza katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia…

 

10 years ago

Dewji Blog

Mapambano ya ukatili yanahitaji nguvu za pamoja — Tume ya Haki za Binadamu

IMG_03481

Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizungumza.

Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi.  Mary Massay akizindua eneo la kula kiapo kwa washiriki kupinga ukatili.

Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizindua eneo la kula kiapo kwa washiriki kupinga ukatili.

Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi.  Mary Massay akizungumza.

Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tume ya Haki za Binadamu na DIGNITY wafanya semina juu elimu kuhusu haki za binadamu!!

DSC_1095

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akielezea mambo mbalimbali katika semina hiyo. kulia kwake ni afisa kutoka DIGNITY, Bi. Brenda Van Den Bergh. (Picha zote na Mpiga picha wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora).

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Tume ya haki za binadamu na utawala bora ikishirikiana na Taasisi ya haki za binadamu kutoka Denmark (DIGNITY) wamefanya semina inayohusu haki za binadamu   kwa kutoa elimu kwa asasi mbalimbali kuhusu...

 

9 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mariado na walimu iliyopo Usa River ,wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha wakiwa katika picha ya pamoja waliposhiriki maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu barani Afrika katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu iliyofanyika Oktoba 21 na kudai haki za wenye ulemavu wa ngozi(Ualibino) kulindwa kama wananchi wengine
Mwanafunzi Kelvin wa shule ya Mariado akiimba wimbo Umoja wa Afrika(AU)ambao ni maalumu wakati wa shughuli za umoja huo zinapofanyika.
Kamishna wa Tume...

 

10 years ago

BBC

Wanyama 'could be out for weeks'

Southampton and Kenya midfielder Victor Wanyama is set to be sidelined for up to five weeks with a hamstring injury.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanyama walio tofauti

Wanyama walio tofauti

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanyama kuikosa safari na Southmptom

Mkenya Victor Wanyama ameikosa safari ya Ubeligiji na kikosi cha wachezaji 27 wa Southampton katika ziara ya preseason tour.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hoteli ya wanyama yafunguliwa Singapore

Hoteli moja ya kifahari ya wanyama wa kufugwa nyumbani imefunguliwa nchini Singapore.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani