Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI LUHAGA MPINA AFANYA UTEUZI



Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi afanya ziara katika Wilaya ya Momba na Mkoa wa Rukwa

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (wa tano kushoto) akipewa maelezo alipoenda kukagua eneo linalotegemewa kujengwa soko la kimaifa la samaki eneo la Tunduma katika Wilaya ya Momba. (Picha na Mwakipesile). Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (kati), akipewa maelezo alipotembelea kiwanda cha kusindika nyama cha SAAFI kilichopo Sumbawanga. Kulia kwake ni Mhe. Chrisant Mzindakaya mmiliki wa kiwanda cha SAAFI. Kiwanda hicho kina uwezo wa...

 

5 years ago

Michuzi

UTEUZI WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MIFUGO NA UVUVI


Dodoma, Juni 22, 2020

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina (Mb) kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Veterinari Na. 16 ya Mwaka 2003 amewateua Wajumbe wa Baraza la Veterinari Tanzania kama ifuatavyo: -Dkt. Bhakilana Augustine Mafwere Mwakilishi Chama cha Wafanyabiashara wa Dawa                                                                  za  Wanyama
Prof. Amandus Pachifius Muhairwa Mwakilishi,...

 

10 years ago

Mwananchi

Luhaga Mpina: Nitaongeza Pato la Taifa mara tatu

>Idadi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaoshiriki mbio za kuingia Ikulu imezidi kuongezeka, baada ya Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kueleza kuwa atachukua fomu za kuwania urais mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MPINA ASHTUKIA UPIGAJI WA BILIONI 2.6 UJENZI MAABARA YA UVUVI, AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA NDANI YA SIKU 7


Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata maelezo ya namna ya shughuli yaujenziwa mradi wa jengo la Maabara ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania(TAFIRI) Kituo cha Dar es Salaam kutoka kwa Mkandarasi wa Kampuni yaPetra Constuction co. Limited, NicholausMlayi alipotembelea mradi huo Kunduchi Dar es Salaam.
Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata ufafanuzi kutoka kwa Mshauri Mwelekezi wa Kampuni ya Y&P Architect inayosimamia Mradi wa Ujenzi wa Maabara ya
Taasisi ya Utafiti wa...

 

9 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wawakaribisha rasmi Mh. Makamba na Mh. Luhaga Mpina leo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu Wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba akisalimiana na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais mara baada ya kuwasili Ofisini hapo. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu Wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. Luhaga Mpina akisalimiana na baadhi ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakati ya mapokezi ya kuwapokea. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu Wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu Wa Rais- Mazingira na...

 

10 years ago

Michuzi

Mwakilishi wa IFAD amtembelea Waziri Mifugo na Uvuvi ofisini kwake leo

Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb), Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi (katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Shirika la Kimatifa la IFAD (International Fund for Agricultural Development) Ndugu Francisco Pichon (wa pili kushoto) alipomtembelea Ofisini kwake Dodoma. Mwakilishi wa IFAD alikuwa akielezea maendeleo katika utekelezaji wa mradi wa kuchimba visima virefu vya maji kwa binadamu na mifugo unaofadhiliwa na IFAD katika Wilaya za Bahi, Chamwino, Kiteto na Kondoa....

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda katika tete-a-tete na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

PG4A8336

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa  Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani, bungeni mjini Dodoma May 7, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani