Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania kuzindua ripoti ya Sauti za Wananchi LEO
Bi. Rose Mlay-Mratibu wa Taifa, Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania akifafanua jambo katika moja ya shughuli za Muungano huo wa Utepe Mweupe hapa nchini. Muungano huo asubuhi ya leo katika makao makuu ya ofisi zao, wanatarajia kuzindua rasmi ripoti ya sauti ya wananchi.
Soma hapa kwa taarifa zaidi:
UZINDUZI WA RIPOTI YA SAUTI ZA WANANCHI.pdf
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sNbgOAmWtsM/XoXt9REL-pI/AAAAAAALl3E/-RfiThg5iwAtkKGhAyViyAt9OdMxUV2DwCLcBGAsYHQ/s72-c/c8615e86-743d-4ed6-9a32-b978c4262158.jpg)
Muungano wa Utepe mweupe waiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga
MRATIBU wa Shirika lisilo la kiserikali la Utepe Mweupe (White Ribbon), nchini Rose Mlay ameiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga katika vituo vya afya, zahanati na hospitali za mikoa ili akina mama wapate huduma nzuri pindi wanapojifungua.
Akizungumza na Michuzi Tv wa kuelekea Kampeni ya "Wanawake wanataka nini ,Sikiliza Chukua Hatua" iliyoandaliwa na Shirika hilo amesema katika uzazi kuna chabgamoto nyingi wakati wa kujifingua hivyo wanaiomba serikali...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/Wajumbe-wa-Mkutano-kati-ya-Utepe-Mweupe-na-PM-wakiwa-katika-picha-ya-pamoja-na-Waziri-Mkuu-Mh-Mizengo-Pinda.jpg?width=613)
MUUNGANO WA UTEPE MWEUPE WAKUTANA WAZIRI MKUU PINDA, KUJADILI NAMNA YA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/wananchi-wa-Namanyele-wilayani-Nkasi-wakichangia-damu-katika-siku-ya-uzinduzi-wa-siku-ya-Utepe-mweupe.-Uzinduzi-huu-ulifanyika-katika-viwanja-vya-sabasaba-wilayani-Nkasi.jpg)
MTANDAO WA UTEPE MWEUPE WAKEMEA TABIA YA UUZAJI DAMU HOSPITALINI
9 years ago
Michuzi24 Sep
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Wanaume wa Tanzania na uzazi salama
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Sauti za Sifa kuzindua DVD yao leo
DVD ya ‘Pokea Sifa’ ya kwaya ya Sauti za Sifa, inatarajiwa kuzinduliwa leo katika ukumbi wa Kanisa la The Word of Reconciliation Ministries (WRM), uliopo Matembele ya Pili Kivule jijini...