Sauti za Sifa kuzindua DVD yao leo
DVD ya ‘Pokea Sifa’ ya kwaya ya Sauti za Sifa, inatarajiwa kuzinduliwa leo katika ukumbi wa Kanisa la The Word of Reconciliation Ministries (WRM), uliopo Matembele ya Pili Kivule jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania kuzindua ripoti ya Sauti za Wananchi LEO
Bi. Rose Mlay-Mratibu wa Taifa, Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania akifafanua jambo katika moja ya shughuli za Muungano huo wa Utepe Mweupe hapa nchini. Muungano huo asubuhi ya leo katika makao makuu ya ofisi zao, wanatarajia kuzindua rasmi ripoti ya sauti ya wananchi.
Soma hapa kwa taarifa zaidi:
UZINDUZI WA RIPOTI YA SAUTI ZA WANANCHI.pdf
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Keisha: Atangaza Nia,Ataka Sauti Yao Isikike Bungeni
Msanii wa Bongo Fleva ambaye ameshawahi kuigiza kwenye filamu kadha ya kupinga mauwaji ya Albino, Keisha amefunguka kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa Instgram sababu na nia yake ya kuingia bungeni mwaka huu,na kwamba wao kama walemavu wa ngozi (Albino) lazima wawe na wawakilishi wa kutosha bungeni ili sauti zetu zisikike ili sheria itungwe na kutekelezwa pia.
Kesha ameandika;
Habari za asubuhi ndugu zangu rafiki zangu mashabiki zangu na media zote nchini.najua wengi mnajiuliza...
9 years ago
Bongo518 Nov
Picha: Sauti Sol watoa orodha ya nyimbo za album yao mpya ‘Live And Die In Afrika’
![Sauti-Sols-Album-Cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Sauti-Sols-Album-Cover-300x194.jpg)
Kundi maarufu la muziki Sauti Sol kutoka Kenya, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wao kwa single kama ‘Sura Yako’, ‘Nerea’ na ‘Isabella’, sasa wako tayari kuwapakulia album kamili yenye nyimbo 15.
Sauti Sol jana walitoa cover ya album hiyo mpya ‘Live And Die In Afrika’ na baadae kushare orodha ya nyimbo zinazokamilisha album hiyo ikiwa ni album yao ya tatu.
Kwa mujibu wa cover hiyo, ni nyimbo mbili tu kwenye album hiyo ambazo wameshirikisha wasanii wengine, ambazo ni ‘Nerea’...
9 years ago
Bongo523 Nov
Sauti Sol waeleza kwanini hawajawashirikisha wasanii wa nje ya Afrika kwenye album yao mpya
![bien](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/bien-300x194.jpg)
Sauti Sol wameachia album yao mpya ‘Live and Die in Afrika’ Ijumaa iliyopita (November 20). Katika kuhakikisha wanawaridhisha mashabiki wao, waliamua kutoa nafasi kwa mashabiki kupakua album hiyo bure kwenye website yao (www.sauti-sol.com), lakini ofa hiyo ilikuwa ni kwa saa 48 tu toka ilipotoka mpaka Jumapili Nov.22 saa 5:59 Usiku.
Baada ya hapo album hiyo itauzwa katika maeneo watakayotangaza.
Kwenye album hiyo ambayo ni ya tatu kutoka kwa kundi hilo, ni nyimbo mbili pekee kati ya 15 za...
10 years ago
MichuziFM ACADEMIA KUTUA ARUSHA KWA KISHINDO KUZINDUA ALBAMU YAO MPYA SEPTEMBER 5 VIWANJA VYA UKUMBI WA TRIPLE A
9 years ago
Bongo527 Nov
Video: Alikiba na Sauti Sol washoot video ya collabo yao
![12142150_1495334807428324_1398203255_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12142150_1495334807428324_1398203255_n-300x194.jpg)
Wimbo wa Sauti Sol waliomshirikisha Alikiba haupo kwenye album yao ‘Live and Die in Afrika’ lakini huenda video yake ikatoka mapema.
Kiba ameshare kipande kifupi cha video kikiwaonesha wakiwa kwenye chumba kinachoonekana kama sehemu ya kufanyia video.
“It’s Coming @sautisol #KujuaKaziRahaSana #KingKiba,” ameandika.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...
9 years ago
Bongo519 Nov
Exclusive: Sauti Sol waeleza kwanini hawajaweka collabo walizorekodi na Alikiba, Vanessa Mdee na Joh Makini kwenye album yao mpya
![Sauti-Sols-Album-Cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Sauti-Sols-Album-Cover1-300x194.jpg)
Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya wiki hii wametoa cover pamoja na orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yao mpya, ‘Live And Die In Afrika’ itakayozinduliwa kwa vyombo vya habari Ijumaa ya Novemba 20.
Baada ya mimi binafsi kuiona ‘tracklist’ ya album hiyo yenye nyimbo 15, nilipata maswali kuhusu kwanini hawajaweka nyimbo walizowashirikisha wasanii wa Tanzania kwenye album yao.
Katika mahojiano waliyofanya na kipindi cha Mseto cha Radio Citizen na Willy M.Tuva mwezi August, 2015,...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Chausta kuzindua kampeni leo
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...