Picha: Sauti Sol watoa orodha ya nyimbo za album yao mpya ‘Live And Die In Afrika’
Kundi maarufu la muziki Sauti Sol kutoka Kenya, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wao kwa single kama ‘Sura Yako’, ‘Nerea’ na ‘Isabella’, sasa wako tayari kuwapakulia album kamili yenye nyimbo 15.
Sauti Sol jana walitoa cover ya album hiyo mpya ‘Live And Die In Afrika’ na baadae kushare orodha ya nyimbo zinazokamilisha album hiyo ikiwa ni album yao ya tatu.
Kwa mujibu wa cover hiyo, ni nyimbo mbili tu kwenye album hiyo ambazo wameshirikisha wasanii wengine, ambazo ni ‘Nerea’...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Nov
Sauti Sol release third album ‘Live And Die In Afrika’ in unique style
![Sauti-Sols-Album-Cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Sauti-Sols-Album-Cover-300x194.jpg)
Kenyan award-winning group Sauti Sol release their anticipated third album: Live and Die in Afrika in unique style.
Following an exclusive Nairobi Listening Party & Press Conference, the album is available for fans in different forms and avenues. Sauti Sol are gifting their fans worldwide with free downloads of the new album for 48 hours via www.sauti-sol.com.
“You don’t have to wait any longer. The free album giveaway is our little gift to all our fans in advance of the physical copies...
9 years ago
Bongo517 Nov
Photo: Sauti Sol has finally revealed the cover for their ‘Live And Die In Afrika’ Album
![sautiii](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/sautiii-300x194.jpg)
Sauti Sol has finally uncovered the album cover for their upcoming third studio album ‘Live And Die In Afrika’.
The cover has an African touch to it, it sees Polycarp Otieno and Bien-Aimé Baraza siting down on an African throne chair with Willis Chimano and Savara Mudigi standing up next to them in African attire; Willis Chimano wearing a fitted,Italian khaki suit with boots with an African fur coat over his shoulders with Savara Mudigi -as always- showing his ripped body with just an ankara...
9 years ago
Bongo523 Nov
Sauti Sol waeleza kwanini hawajawashirikisha wasanii wa nje ya Afrika kwenye album yao mpya
![bien](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/bien-300x194.jpg)
Sauti Sol wameachia album yao mpya ‘Live and Die in Afrika’ Ijumaa iliyopita (November 20). Katika kuhakikisha wanawaridhisha mashabiki wao, waliamua kutoa nafasi kwa mashabiki kupakua album hiyo bure kwenye website yao (www.sauti-sol.com), lakini ofa hiyo ilikuwa ni kwa saa 48 tu toka ilipotoka mpaka Jumapili Nov.22 saa 5:59 Usiku.
Baada ya hapo album hiyo itauzwa katika maeneo watakayotangaza.
Kwenye album hiyo ambayo ni ya tatu kutoka kwa kundi hilo, ni nyimbo mbili pekee kati ya 15 za...
9 years ago
Bongo519 Nov
Exclusive: Sauti Sol waeleza kwanini hawajaweka collabo walizorekodi na Alikiba, Vanessa Mdee na Joh Makini kwenye album yao mpya
![Sauti-Sols-Album-Cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Sauti-Sols-Album-Cover1-300x194.jpg)
Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya wiki hii wametoa cover pamoja na orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yao mpya, ‘Live And Die In Afrika’ itakayozinduliwa kwa vyombo vya habari Ijumaa ya Novemba 20.
Baada ya mimi binafsi kuiona ‘tracklist’ ya album hiyo yenye nyimbo 15, nilipata maswali kuhusu kwanini hawajaweka nyimbo walizowashirikisha wasanii wa Tanzania kwenye album yao.
Katika mahojiano waliyofanya na kipindi cha Mseto cha Radio Citizen na Willy M.Tuva mwezi August, 2015,...
9 years ago
Bongo521 Nov
New Video: Sauti Sol – Live And Die In Afrika
![sautiii](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/sautiii-300x194.jpg)
Kundi la Sauti Sol limeachia album yao mpya pamoja iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu, lakini sambamba na kuachia album pia wametoa na vdeo mpya ya wimbo unaobeba jina la album hiyo ‘Live And Die In Afrika’.
http://bit.ly/1I2dZOM
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo530 Nov
Hii ndio orodha kamili ya nyimbo za album mpya ya Chris Brown ‘Royalty’
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/breezy-royalty-300x194.jpg)
Album mpya ya Chris Brown inatarajiwa kutoka tarehe 18 December na tayari watu wameanza kuweka pre-oder toka Ijumaa iliyopita.
Wakati watu wakisubiri kupata nakala zao za album hiyo pindi itakapotoka, kwa sasa Breezy ametoa orodha ya nyimbo 14 zitakazokuwemo kwenye album hiyo pamoja 4 za ‘delux bonus tracks’.
Hii ndio orodha kamili
1. “Back to Sleep”
2. “Fine by Me”
3. “Wrist” (Feat. Solo Lucci)
4. “Make Love”
5. “Liquor”
6. “Zero”
7. “Anyway”
8. “Picture Me Rollin’ ”
9. “Who’s Gonna...
9 years ago
Bongo529 Oct
Justin Bieber atoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Purpose’
9 years ago
Bongo504 Dec
August Alsina atoa orodha ya nyimbo za album yake mpya ‘This Thing Called Life’
![august-this-thing-called-life](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/august-this-thing-called-life-300x194.jpg)
Muimbaji wa RnB, August Alsina ni miongoni mwa wasanii wa Marekani wanaoufunga mwaka kwa kuachia album zao mpya December hii.
Album ya Alsina ‘This Thing Called Life’ yenye nyimbo 15 inatarajiwa kutoka wiki ijayo Dec.11. Miongoni mwa wasanii aliowashirikisha ni pamoja na Chris Brown, Lil Wayne, Jadakiss.
THIS THING CALLED LIFE TRACKLISTING
1. “This Thing Called Life”
2. “Job” feat. Anthony Hamilton and Jadakiss
3. “Why I Do It” feat. Lil Wayne
4. “Hollywood”
5. “Hip Hop”
6. “Change”
7....
9 years ago
Bongo513 Nov
R.Kelly atoa orodha ya nyimbo na cover ya album yake mpya ambayo Wizkid pia kashirikishwa
![r.kelly buffet](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/r.kelly-buffet-300x194.jpg)
Mfalme wa Rnb duniani Robert Kelly maarufu kama R.Kelly yuko mbioni kuachia album yake mpya na ya 13 aliyoipa jina la ‘The Buffet’ kabla mwaka haujaisha.
Album hiyo yenye jumla ya nyimbo 15 inatarajiwa kutoka December 11.
Hii ndio album ambayo Wizkid alizungumzia alipokuja Tanzania hivi karibuni, kuwa R.Kelly alimpigia simu na kumuomba amshirikishe kwenye wimbo utakaokuwemo kwenye album yake (Ingia hapa). Wimbo ambao kashirikishwa Wizkid unaitwa ‘I Just Want to Thank You’.
Wasanii wengine...