R.Kelly atoa orodha ya nyimbo na cover ya album yake mpya ambayo Wizkid pia kashirikishwa
Mfalme wa Rnb duniani Robert Kelly maarufu kama R.Kelly yuko mbioni kuachia album yake mpya na ya 13 aliyoipa jina la ‘The Buffet’ kabla mwaka haujaisha.
Album hiyo yenye jumla ya nyimbo 15 inatarajiwa kutoka December 11.
Hii ndio album ambayo Wizkid alizungumzia alipokuja Tanzania hivi karibuni, kuwa R.Kelly alimpigia simu na kumuomba amshirikishe kwenye wimbo utakaokuwemo kwenye album yake (Ingia hapa). Wimbo ambao kashirikishwa Wizkid unaitwa ‘I Just Want to Thank You’.
Wasanii wengine...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Dec
August Alsina atoa orodha ya nyimbo za album yake mpya ‘This Thing Called Life’
![august-this-thing-called-life](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/august-this-thing-called-life-300x194.jpg)
Muimbaji wa RnB, August Alsina ni miongoni mwa wasanii wa Marekani wanaoufunga mwaka kwa kuachia album zao mpya December hii.
Album ya Alsina ‘This Thing Called Life’ yenye nyimbo 15 inatarajiwa kutoka wiki ijayo Dec.11. Miongoni mwa wasanii aliowashirikisha ni pamoja na Chris Brown, Lil Wayne, Jadakiss.
THIS THING CALLED LIFE TRACKLISTING
1. “This Thing Called Life”
2. “Job” feat. Anthony Hamilton and Jadakiss
3. “Why I Do It” feat. Lil Wayne
4. “Hollywood”
5. “Hip Hop”
6. “Change”
7....
9 years ago
Bongo529 Oct
Justin Bieber atoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Purpose’
9 years ago
Bongo521 Sep
Hemedy PHD atoa orodha ya nyimbo 18 zitakazokuwepo kwenye album yake ya ‘Virgo’
9 years ago
Bongo531 Oct
Wizkid asema R.Kelly alimpigia simu kumwomba kufanya naye collabo kwaajili ya album yake
![wizkidayo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/wizkidayo-94x94.png)
9 years ago
Bongo530 Nov
Hii ndio orodha kamili ya nyimbo za album mpya ya Chris Brown ‘Royalty’
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/breezy-royalty-300x194.jpg)
Album mpya ya Chris Brown inatarajiwa kutoka tarehe 18 December na tayari watu wameanza kuweka pre-oder toka Ijumaa iliyopita.
Wakati watu wakisubiri kupata nakala zao za album hiyo pindi itakapotoka, kwa sasa Breezy ametoa orodha ya nyimbo 14 zitakazokuwemo kwenye album hiyo pamoja 4 za ‘delux bonus tracks’.
Hii ndio orodha kamili
1. “Back to Sleep”
2. “Fine by Me”
3. “Wrist” (Feat. Solo Lucci)
4. “Make Love”
5. “Liquor”
6. “Zero”
7. “Anyway”
8. “Picture Me Rollin’ ”
9. “Who’s Gonna...
9 years ago
Bongo518 Nov
Picha: Sauti Sol watoa orodha ya nyimbo za album yao mpya ‘Live And Die In Afrika’
![Sauti-Sols-Album-Cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Sauti-Sols-Album-Cover-300x194.jpg)
Kundi maarufu la muziki Sauti Sol kutoka Kenya, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wao kwa single kama ‘Sura Yako’, ‘Nerea’ na ‘Isabella’, sasa wako tayari kuwapakulia album kamili yenye nyimbo 15.
Sauti Sol jana walitoa cover ya album hiyo mpya ‘Live And Die In Afrika’ na baadae kushare orodha ya nyimbo zinazokamilisha album hiyo ikiwa ni album yao ya tatu.
Kwa mujibu wa cover hiyo, ni nyimbo mbili tu kwenye album hiyo ambazo wameshirikisha wasanii wengine, ambazo ni ‘Nerea’...
9 years ago
Bongo510 Oct
Picha: Justin Bieber aonesha cover ya album yake mpya ‘Purpose’
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya
11 years ago
Bongo503 Aug
Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani