Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hemedy PHD atoa orodha ya nyimbo 18 zitakazokuwepo kwenye album yake ya ‘Virgo’

Baada ya kuahidi kuachia album yake ya kwanza ‘Virgo’ mwezi February 2016, Hemedy PHD ameshare na mashabiki wake orodha ya majina ya nyimbo zitakazokuwepo katika album hiyo. Mwimbaji huyo ambaye pia ni mwigizaji anatarajia kuachia single mbili mpya kwa mpigo ‘MEMORIES’ na ‘SOME DAY’ siku chacahe zijazo. Hii ndio orodha ya nyimbo za album ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD aahidi kuachia album yake ya kwanza ‘VIRGO’ February mwakani

Hemedy PHD amesema kuwa anatarajia kuachia album yake ya kwanza ifikapo mwezi February mwakani 2016. Muimbaji huyo ambaye pia ni muigizaji wa filamu, amesema album yake hiyo ya muziki itaitwa ‘Virgo’ na itakuwa na jumla ya nyimbo 18. Hiki ndicho ameandika kupitia Instagram; “INSHALLAH FEBRUARY 2016 MY VERY FIRST MUSIC ALBUM WILL BE OUT!THE ALBUM […]

 

9 years ago

Bongo5

Justin Bieber atoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Purpose’

Akiwa ameshatoa nyimbo mbili (What Do You Mean & Sorry) kutoka kwenye album yake mpya ‘Purpose’ ambayo itatoka mwezi Ujao, mshindi wa tuzo 5 za MTV EMA, Justin Bieber ametoa orodha ya nyimbo 19 zitakazokuwemo kwenye album hiyo. Wasanii aliowashirikisha kwenye baadhi ya nyimbo hizo ni pamoja na Nas, Big Sean, Travis Scott, Ariana Grande […]

 

9 years ago

Bongo5

August Alsina atoa orodha ya nyimbo za album yake mpya ‘This Thing Called Life’

august-this-thing-called-life

Muimbaji wa RnB, August Alsina ni miongoni mwa wasanii wa Marekani wanaoufunga mwaka kwa kuachia album zao mpya December hii.

august-this-thing-called-life

Album ya Alsina ‘This Thing Called Life’ yenye nyimbo 15 inatarajiwa kutoka wiki ijayo Dec.11. Miongoni mwa wasanii aliowashirikisha ni pamoja na Chris Brown, Lil Wayne, Jadakiss.

THIS THING CALLED LIFE TRACKLISTING

1. “This Thing Called Life”
2. “Job” feat. Anthony Hamilton and Jadakiss
3. “Why I Do It” feat. Lil Wayne
4. “Hollywood”
5. “Hip Hop”
6. “Change”
7....

 

9 years ago

Bongo5

R.Kelly atoa orodha ya nyimbo na cover ya album yake mpya ambayo Wizkid pia kashirikishwa

r.kelly buffet

Mfalme wa Rnb duniani Robert Kelly maarufu kama R.Kelly yuko mbioni kuachia album yake mpya na ya 13 aliyoipa jina la ‘The Buffet’ kabla mwaka haujaisha.

r.kelly buffet

Album hiyo yenye jumla ya nyimbo 15 inatarajiwa kutoka December 11.

Hii ndio album ambayo Wizkid alizungumzia alipokuja Tanzania hivi karibuni, kuwa R.Kelly alimpigia simu na kumuomba amshirikishe kwenye wimbo utakaokuwemo kwenye album yake (Ingia hapa). Wimbo ambao kashirikishwa Wizkid unaitwa ‘I Just Want to Thank You’.

Wasanii wengine...

 

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj ataja nyimbo zitakazokuwepo kwenye ‘The Pinkprint’, upo aliomshirikisha Beyonce

Nicki Minaj ameweka wazi orodha ya nyimbo zitakazopatika kwenye album yake ijayo, ‘The Pinkprint’. Kwa mujibu wa orodha hiyo ambayo rapper huyo aliionesha kwenye Instagram jana, album hiyo inayosubiriwa kwa hamu ina nyimbo 19 zikiwemo alizowashirikisha Beyonce Knowles na Ariana Grande. Bey, aliyemshirikisha Minaj kwenye remix ya “Flawless”, atasikika kwenye wimbo wake ‘Feeling Myself’. Grande, […]

 

11 years ago

Bongo5

Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani

Jarida la muziki la Marekani, Billboard Magazine limeitaja album mpya na ya sita ya muimbaji wa Nigeria, 2face Idibia, ‘The ‘Ascension miongoni mwa album zilizouza zaidi wiki hii duniani. ‘The ‘Ascension ” imekamata nafasi ya 12 kwenye chart billboard. Mafanikio hayo yamepokelewa kwa furaha kubwa na mke wake Annie Macaulay-Idibia aliyetumia mtandao wa Instagram kuelezea […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Hemedy PHD Akerwa na Uadui Kwenye Sanaa

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Hemmed Suleiman  ‘Hemedy PHD’ambaye hivi karibuni atatamba  mtaani na filamu ya Fecebook Profile ameweka waz juu ya kukerwa na namna ushabiki  wa sanaa nchini unavyopelekwa kwenye uadui na sio ushindani  kam ilivyokuwa miaka michache iliyopita.

“Kiukweli kwenye sanaa tumeanza kwenda kwenye njia mbaya sana,aina hii ya ushabiki wa mtindo wa uadui itatupeleka pabaya sana..Mashabiki wa Ali Kiba , Wema sepetu na Diamond  wanapaswa kuliona mapema tatizo hili,”...

 

9 years ago

Bongo5

Hii ndio orodha kamili ya nyimbo za album mpya ya Chris Brown ‘Royalty’

Album mpya ya Chris Brown inatarajiwa kutoka tarehe 18 December na tayari watu wameanza kuweka pre-oder toka Ijumaa iliyopita.

Wakati watu wakisubiri kupata nakala zao za album hiyo pindi itakapotoka, kwa sasa Breezy ametoa orodha ya nyimbo 14 zitakazokuwemo kwenye album hiyo pamoja 4 za ‘delux bonus tracks’.

Hii ndio orodha kamili

1. “Back to Sleep”
2. “Fine by Me”
3. “Wrist” (Feat. Solo Lucci)
4. “Make Love”
5. “Liquor”
6. “Zero”
7. “Anyway”
8. “Picture Me Rollin’ ”
9. “Who’s Gonna...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Sauti Sol watoa orodha ya nyimbo za album yao mpya ‘Live And Die In Afrika’

Sauti-Sols-Album-Cover

Kundi maarufu la muziki Sauti Sol kutoka Kenya, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wao kwa single kama ‘Sura Yako’, ‘Nerea’ na ‘Isabella’, sasa wako tayari kuwapakulia album kamili yenye nyimbo 15.

Sauti-Sols-Album-Cover

Sauti Sol jana walitoa cover ya album hiyo mpya ‘Live And Die In Afrika’ na baadae kushare orodha ya nyimbo zinazokamilisha album hiyo ikiwa ni album yao ya tatu.

Kwa mujibu wa cover hiyo, ni nyimbo mbili tu kwenye album hiyo ambazo wameshirikisha wasanii wengine, ambazo ni ‘Nerea’...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani