Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hii ndio orodha kamili ya nyimbo za album mpya ya Chris Brown ‘Royalty’

Album mpya ya Chris Brown inatarajiwa kutoka tarehe 18 December na tayari watu wameanza kuweka pre-oder toka Ijumaa iliyopita.

Wakati watu wakisubiri kupata nakala zao za album hiyo pindi itakapotoka, kwa sasa Breezy ametoa orodha ya nyimbo 14 zitakazokuwemo kwenye album hiyo pamoja 4 za ‘delux bonus tracks’.

Hii ndio orodha kamili

1. “Back to Sleep”
2. “Fine by Me”
3. “Wrist” (Feat. Solo Lucci)
4. “Make Love”
5. “Liquor”
6. “Zero”
7. “Anyway”
8. “Picture Me Rollin’ ”
9. “Who’s Gonna...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Chris Brown abadili tarehe ya kuachia album yake ‘Royalty’ iliyokuwa itoke Ijumaa hii

Breezy2

Yale yaliyojitokeza kwenye album iliyopita ya Chris Brown, ‘X’ (kuahirisha tarehe ya kuachia) yameanza kujitokeza tena kwenye album yake mpya ‘Royalty’ ambayo hapo awali ilipagwa itoke Ijumaa hii November 27 lakini sasa imesogezwa mbele.

Breezy2

Chris Brown mwenyewe amethibitisha kuwa sasa album yake hiyo itatoka December 18 mwaka huu.

Hadi jana Nov 23. Breezy alikuwa akipromote tarehe 27 kuwa ndio angeachia ‘Royalty’, lakini taarifa za terehe mpya amezitoa kupitia mahojiano mapya aliyofanya na...

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown ali-direct video 8 za album yake mpya ‘Royalty’, zitazame zote

breezy

Chris Brown ni muimbaji wa R&B ambaye ameshatuonesha kipaji kingine cha kuongoza utengenezaji wa video za muziki. Hua anapenda ku-direct baadhi ya video zake.

breezy

Kwenye album yake iliyopita ‘X’ ali-direct video 6 ambazo baadhi ni ‘Fine China’, ‘Love More’, ‘Loyal’, ‘New Flame’.

Kwa mujibu wa Billboard, Breezy pia ame direct video nane (8) za album yake mpya ‘Royalty’ aliyoitoa mwishoni mwa mwaka jana. Video hizo ni, ‘Liquor’, ‘Zero’, ‘Fine By Me’, ‘Back To Sleep’, ‘Wrist’, ‘Anyway’, ‘Picture...

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown kuchangia dola 1 kwa kila nakala ya album yake ‘royalty’ kwa watoto

breezy-smile

Ikiwa zimebaki wiki mbili kuachia album yake mpya, Chris Brown amesema kuwa atachangia kwenye mfuko wa watoto kiasi cha dola moja kutoka kwenye mauzo ya kila nakala ya album yake, ikiwa ni sehemu ya kurudisha kwa jamii mwisho huu wa mwaka.

breezy-smile

Kupitia mitandao ya kijamii Breezy aliandika,

“The holidays are all about giving back, so this Christmas, from now until Christmas, if you order the album, pre-order the album, one dollar of every album sold will go to Childrens Miracle Network...

 

9 years ago

Bongo5

Beyoncé, Chris Brown, Jidenna watajwa kuwania Soul Train Awards 2015 (Orodha kamili)

Beyonce, Chris Brown, Jidenna, Nicki Minaj ni miongoni mwa wasanii waliotajwa kuwania tuzo za Soul Train Awards 2015. Wengine waliotajwa kuwania tuzo hizo ni The Weeknd anayeongoza kwa nominations tano, Big Sean, Tyrese, Rihanna na wengine. Soul Train Awards 2015 zitarekodiwa Nov.6 Las Vegas na kuoneshwa Nov.29 kupitia Centric na BET. Hii ni orodha kamili […]

 

9 years ago

Bongo5

August Alsina atoa orodha ya nyimbo za album yake mpya ‘This Thing Called Life’

august-this-thing-called-life

Muimbaji wa RnB, August Alsina ni miongoni mwa wasanii wa Marekani wanaoufunga mwaka kwa kuachia album zao mpya December hii.

august-this-thing-called-life

Album ya Alsina ‘This Thing Called Life’ yenye nyimbo 15 inatarajiwa kutoka wiki ijayo Dec.11. Miongoni mwa wasanii aliowashirikisha ni pamoja na Chris Brown, Lil Wayne, Jadakiss.

THIS THING CALLED LIFE TRACKLISTING

1. “This Thing Called Life”
2. “Job” feat. Anthony Hamilton and Jadakiss
3. “Why I Do It” feat. Lil Wayne
4. “Hollywood”
5. “Hip Hop”
6. “Change”
7....

 

9 years ago

Bongo5

Justin Bieber atoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Purpose’

Akiwa ameshatoa nyimbo mbili (What Do You Mean & Sorry) kutoka kwenye album yake mpya ‘Purpose’ ambayo itatoka mwezi Ujao, mshindi wa tuzo 5 za MTV EMA, Justin Bieber ametoa orodha ya nyimbo 19 zitakazokuwemo kwenye album hiyo. Wasanii aliowashirikisha kwenye baadhi ya nyimbo hizo ni pamoja na Nas, Big Sean, Travis Scott, Ariana Grande […]

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘Royalty’

Chris Brown tayari ameweka wazi tarehe ya kuachia album yake mpya aliyoipa jina la mwanaye ‘Royalty’ ambayo imepangwa kutoka rasmi November 27, 2015. Taarifa za album hiyo zimetolewa kupitia kipindi cha ‘Nessa and Camilo’. Nyimbo zilizoishasikika kutoka kwenye album hiyo ni ‘Liquor’ pamoja na ‘Zero’. Sina shaka ‘Royalty’ haitakumbwa na mikosi kama album yake iliyopita […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Sauti Sol watoa orodha ya nyimbo za album yao mpya ‘Live And Die In Afrika’

Sauti-Sols-Album-Cover

Kundi maarufu la muziki Sauti Sol kutoka Kenya, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wao kwa single kama ‘Sura Yako’, ‘Nerea’ na ‘Isabella’, sasa wako tayari kuwapakulia album kamili yenye nyimbo 15.

Sauti-Sols-Album-Cover

Sauti Sol jana walitoa cover ya album hiyo mpya ‘Live And Die In Afrika’ na baadae kushare orodha ya nyimbo zinazokamilisha album hiyo ikiwa ni album yao ya tatu.

Kwa mujibu wa cover hiyo, ni nyimbo mbili tu kwenye album hiyo ambazo wameshirikisha wasanii wengine, ambazo ni ‘Nerea’...

 

9 years ago

Bongo5

R.Kelly atoa orodha ya nyimbo na cover ya album yake mpya ambayo Wizkid pia kashirikishwa

r.kelly buffet

Mfalme wa Rnb duniani Robert Kelly maarufu kama R.Kelly yuko mbioni kuachia album yake mpya na ya 13 aliyoipa jina la ‘The Buffet’ kabla mwaka haujaisha.

r.kelly buffet

Album hiyo yenye jumla ya nyimbo 15 inatarajiwa kutoka December 11.

Hii ndio album ambayo Wizkid alizungumzia alipokuja Tanzania hivi karibuni, kuwa R.Kelly alimpigia simu na kumuomba amshirikishe kwenye wimbo utakaokuwemo kwenye album yake (Ingia hapa). Wimbo ambao kashirikishwa Wizkid unaitwa ‘I Just Want to Thank You’.

Wasanii wengine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani