Chris Brown abadili tarehe ya kuachia album yake ‘Royalty’ iliyokuwa itoke Ijumaa hii
Yale yaliyojitokeza kwenye album iliyopita ya Chris Brown, ‘X’ (kuahirisha tarehe ya kuachia) yameanza kujitokeza tena kwenye album yake mpya ‘Royalty’ ambayo hapo awali ilipagwa itoke Ijumaa hii November 27 lakini sasa imesogezwa mbele.
Chris Brown mwenyewe amethibitisha kuwa sasa album yake hiyo itatoka December 18 mwaka huu.
Hadi jana Nov 23. Breezy alikuwa akipromote tarehe 27 kuwa ndio angeachia ‘Royalty’, lakini taarifa za terehe mpya amezitoa kupitia mahojiano mapya aliyofanya na...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Oct
Chris Brown atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘Royalty’
9 years ago
Bongo530 Nov
Hii ndio orodha kamili ya nyimbo za album mpya ya Chris Brown ‘Royalty’

Album mpya ya Chris Brown inatarajiwa kutoka tarehe 18 December na tayari watu wameanza kuweka pre-oder toka Ijumaa iliyopita.
Wakati watu wakisubiri kupata nakala zao za album hiyo pindi itakapotoka, kwa sasa Breezy ametoa orodha ya nyimbo 14 zitakazokuwemo kwenye album hiyo pamoja 4 za ‘delux bonus tracks’.
Hii ndio orodha kamili
1. “Back to Sleep”
2. “Fine by Me”
3. “Wrist” (Feat. Solo Lucci)
4. “Make Love”
5. “Liquor”
6. “Zero”
7. “Anyway”
8. “Picture Me Rollin’ ”
9. “Who’s Gonna...
9 years ago
Bongo506 Jan
Chris Brown ali-direct video 8 za album yake mpya ‘Royalty’, zitazame zote

Chris Brown ni muimbaji wa R&B ambaye ameshatuonesha kipaji kingine cha kuongoza utengenezaji wa video za muziki. Hua anapenda ku-direct baadhi ya video zake.
Kwenye album yake iliyopita ‘X’ ali-direct video 6 ambazo baadhi ni ‘Fine China’, ‘Love More’, ‘Loyal’, ‘New Flame’.
Kwa mujibu wa Billboard, Breezy pia ame direct video nane (8) za album yake mpya ‘Royalty’ aliyoitoa mwishoni mwa mwaka jana. Video hizo ni, ‘Liquor’, ‘Zero’, ‘Fine By Me’, ‘Back To Sleep’, ‘Wrist’, ‘Anyway’, ‘Picture...
9 years ago
Bongo501 Dec
Chris Brown kuchangia dola 1 kwa kila nakala ya album yake ‘royalty’ kwa watoto

Ikiwa zimebaki wiki mbili kuachia album yake mpya, Chris Brown amesema kuwa atachangia kwenye mfuko wa watoto kiasi cha dola moja kutoka kwenye mauzo ya kila nakala ya album yake, ikiwa ni sehemu ya kurudisha kwa jamii mwisho huu wa mwaka.
Kupitia mitandao ya kijamii Breezy aliandika,
“The holidays are all about giving back, so this Christmas, from now until Christmas, if you order the album, pre-order the album, one dollar of every album sold will go to Childrens Miracle Network...
9 years ago
Bongo506 Jan
G-Nako aeleza sababu za kusogeza kuachia video yake mpya ‘Original’ iliyokuwa itoke mwaka jana

Weusi walipanga kuumaliza mwaka 2015 kwa kuachia nyimbo tatu, ambapo walifanikiwa kuachia ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA na nyingine ya Nikki Wa Pili ‘Baba Swalehe’.
Single ya G-Nako ‘Original’ ambayo ndio ingekamilisha ahadi yao ya nyimbo tatu haikufanikiwa kutoka mwaka uliopita kutokana na msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuvuruga mipango iliyokuwepo.
Video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini chini ya muongozaji Justin Campos wa Gorilla Films imekamilika toka...
9 years ago
Bongo518 Dec
Chris Brown ampindua Adele kwenye nafasi ya kwanza iTunes baada ya kuachia ‘Royalty’

Album mpya ya Chris Brown, ‘Royalty’ imeingia sokoni kwa kishindo.
Masaa machache toka iachiwe Ijumaa (Dec 18) imefanikiwa kuiondoa ‘25’ ya Adele na kushika namba moja kwenye chati ya album zilizouza kwa haraka kwenye mtandao wa iTunes. ‘25’ ya Adele sasa imeshuka hadi nafasi ya pili kwenye chati hiyo.
‘Royalty’ ni album ya saba kutoka kwa Breezy, iliyofatia baada ya ‘X’ aliyoitoa mwaka mmoja uliopita.
ROYALTY TRACKLISTING
1. “Back to Sleep”
2. “Fine By Me”
3. “Wrist” feat. Solo Lucci
4....
10 years ago
Bongo502 Nov
Video: Davido aeleza sababu iliyomfanya kuahirisha kuachia album mpya siku 2 kabla ya tarehe iliyokuwa imepangwa

10 years ago
Bongo513 Nov
Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’
10 years ago
Bongo527 Oct
Davido abadili mawazo ya kuachia album yake ya mpya ‘Baddest’ hadi mwakani