Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Davido aeleza sababu iliyomfanya kuahirisha kuachia album mpya siku 2 kabla ya tarehe iliyokuwa imepangwa

davido ADavido ameweka wazi sababu iliyomfanya yeye na uongozi wake kuahirisha kutoa album yake mpya ‘The Baddest’ hadi mwakani. Staa huyo wa Nigeria amesema kuwa album hiyo iko tayari, lakini siku mbili kabla ya terehe ya kuitoa walipigiwa simu kutoka kwenye kampuni moja kubwa ambayo inataka kuhusika kwenye maswala ya usambazaji. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

G-Nako aeleza sababu za kusogeza kuachia video yake mpya ‘Original’ iliyokuwa itoke mwaka jana

Gnako

Weusi walipanga kuumaliza mwaka 2015 kwa kuachia nyimbo tatu, ambapo walifanikiwa kuachia ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA na nyingine ya Nikki Wa Pili ‘Baba Swalehe’.

Joh na G-Nako

Single ya G-Nako ‘Original’ ambayo ndio ingekamilisha ahadi yao ya nyimbo tatu haikufanikiwa kutoka mwaka uliopita kutokana na msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuvuruga mipango iliyokuwepo.

Video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini chini ya muongozaji Justin Campos wa Gorilla Films imekamilika toka...

 

9 years ago

Bongo5

Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’

Mwenyekiti wa label ya HKN records inayomsimamia Davido, Adewale Adeleke ambaye pia ni kaka yake ametangaza tarehe mpya ya kuachia album mpya ya star huyo wa Nigeria, ‘Baddest’ baada ya kushidwa kutoka mwezi September kama ilivyopangwa awali. Album hiyo ambayo imekuwa ikipangwa kuachiwa na kuahirishwa mara tatu, sasa itatoka Jumamosi ya October 10, 2015. Mastaa […]

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown abadili tarehe ya kuachia album yake ‘Royalty’ iliyokuwa itoke Ijumaa hii

Breezy2

Yale yaliyojitokeza kwenye album iliyopita ya Chris Brown, ‘X’ (kuahirisha tarehe ya kuachia) yameanza kujitokeza tena kwenye album yake mpya ‘Royalty’ ambayo hapo awali ilipagwa itoke Ijumaa hii November 27 lakini sasa imesogezwa mbele.

Breezy2

Chris Brown mwenyewe amethibitisha kuwa sasa album yake hiyo itatoka December 18 mwaka huu.

Hadi jana Nov 23. Breezy alikuwa akipromote tarehe 27 kuwa ndio angeachia ‘Royalty’, lakini taarifa za terehe mpya amezitoa kupitia mahojiano mapya aliyofanya na...

 

10 years ago

Bongo5

Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’

Baada ya rapper Tyga kuitupia lawama label yake ya Young Money (YMCMB) hivi karibuni kuwa inambania album yake kutoka, rapper huyo ametumia Twitter kutangaza tarehe ya kutoka album yake inayoitwa “The Gold Album” ambayo sasa itatoka mwezi ujao. Kupitia Twitter Tyga ameandika sasa album hiyo itatoka siku mbili kabla ya sikukuu ya Christmas Dec 23. […]

 

9 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah kuachia wimbo mpya mwezi ujao, pia aeleza sababu za kumtumia director Pablo kwenye video nyingi

Kala

Baada ya kipindi cha kampeni kupita Kala Jeremiah pia yuko kwenye foleni ya wasanii wanaotaka kutoa kazi mpya za kufungua mwaka.

Kala

Kala ameiambia Bongo5 kuwa tayari video ya kazi mpya imekamilika na anatarajia kuitoa hivi karibuni.

“Video ya wimbo mpya na nimeshoot na PABLO ila nisingependa kwanza kutaja jina la wimbo, lakini mwezi wa 12 lazima itoke”.

Video nne zilizopita za Kala (Nchi ya Ahadi, Usikate Tamaa, Simu Ya Mwisho, Wale Wale) zote zimeongozwa na Pablo, kuhusu kwanini ameamua...

 

9 years ago

Bongo5

Davido abadili mawazo ya kuachia album yake ya mpya ‘Baddest’ hadi mwakani

Staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido amebadili mawazo ya kuachia album yake mpya dakika za mwisho. Davido na Wizkid ni kama wanategeana kuachia album zao! Kwasababu kila mmoja amekua akisogeza tarehe mbele kila inapokaribia tarehe ambayo alitangaza. Davido aliahidi kuwa album yake mpya ‘Baddest’ ingetoka mwezi wa 10 baada ya kuahirisha mara kadhaa, na Wizkid […]

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘Royalty’

Chris Brown tayari ameweka wazi tarehe ya kuachia album yake mpya aliyoipa jina la mwanaye ‘Royalty’ ambayo imepangwa kutoka rasmi November 27, 2015. Taarifa za album hiyo zimetolewa kupitia kipindi cha ‘Nessa and Camilo’. Nyimbo zilizoishasikika kutoka kwenye album hiyo ni ‘Liquor’ pamoja na ‘Zero’. Sina shaka ‘Royalty’ haitakumbwa na mikosi kama album yake iliyopita […]

 

9 years ago

Bongo5

Agnes Masogange adai sababu iliyomfanya Tekno amkane ni ukaribu wake na Davido!

Mrembo Agnes Masogange ameendeleza episode nyingine ya drama yake na mwimbaji wa Nigeria, Tekno miles, iliyoibuka wiki hii baada ya mwimbaji huyo kukanusha kuwa hajawahi kuvunja naye amri ya sita! Katika muendelezo wa kutaka kuthibitisha kuwa alichokisema Tekno sio kweli, Agnes ameweka wazi sababu anayodai kuwa ndiyo iliyomfanya mwimbaji huyo wa ‘Duro’ amkane, kuwa ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Ruby aeleza mpango wake wa kuachia album

Hit-maker wa ‘Na Yule’ Ruby amesema anajipanga kuachia album yake mpya huku akiwa anajiamini kuwa atafanikiwa kuiuza licha ya kuwepo kwa changamoto ya masoko. Ruby ameambia E-newz ya EATV kuwa anaamini kuuzika ama kutokuuzika kwa album kunatokana na uzuri wa kazi na jinsi msanii anavyoitengeneza. “Album yangu inakuja soon,” alisema. Mimi naamini album inauza kutokana […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani