Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’
Mwenyekiti wa label ya HKN records inayomsimamia Davido, Adewale Adeleke ambaye pia ni kaka yake ametangaza tarehe mpya ya kuachia album mpya ya star huyo wa Nigeria, ‘Baddest’ baada ya kushidwa kutoka mwezi September kama ilivyopangwa awali. Album hiyo ambayo imekuwa ikipangwa kuachiwa na kuahirishwa mara tatu, sasa itatoka Jumamosi ya October 10, 2015. Mastaa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo527 Oct
Davido abadili mawazo ya kuachia album yake ya mpya ‘Baddest’ hadi mwakani
10 years ago
Bongo513 Nov
Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’
10 years ago
Bongo515 Oct
Chris Brown atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘Royalty’
10 years ago
Bongo502 Nov
Video: Davido aeleza sababu iliyomfanya kuahirisha kuachia album mpya siku 2 kabla ya tarehe iliyokuwa imepangwa

10 years ago
Bongo503 Oct
Justin Bieber atangaza jina la album mpya na tarehe ya kutoka
9 years ago
Bongo509 Nov
One The Incredible kuachia album yake mpya

Rapper One The Incredible amesema yupo kwenye maandalizi ya kuachia album yake mpya ambayo bado hajaipa jina.
One ameiambia Bongo5 kuwa album hiyo ataifanya iwe bora ili kuhakikisha kuwa mashabiki wake wanapata kitu chenye ubora wa hali ya juu.
“Sasa nina nyimba 18 tayari nimesharekodi na bado ninaendelea kurekodi ndio nianze kupanga ipi itoke na ipi ibaki. Lakini najua na ninajipanga vizuri album iwe kali kila mwenye bahati ya kuwa nayo anufaike na kile nilichokifannya. Na mpaka sasa hivi...
10 years ago
Bongo529 Nov
Ne-Yo kuachia album yake mpya ‘Non Fiction’ January, 2015
10 years ago
Bongo508 Oct
Rihanna atangaza jina la album yake mpya
10 years ago
Bongo509 Oct
Iggy Azalea atangaza jina la album yake mpya