Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’

Mwenyekiti wa label ya HKN records inayomsimamia Davido, Adewale Adeleke ambaye pia ni kaka yake ametangaza tarehe mpya ya kuachia album mpya ya star huyo wa Nigeria, ‘Baddest’ baada ya kushidwa kutoka mwezi September kama ilivyopangwa awali. Album hiyo ambayo imekuwa ikipangwa kuachiwa na kuahirishwa mara tatu, sasa itatoka Jumamosi ya October 10, 2015. Mastaa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Davido abadili mawazo ya kuachia album yake ya mpya ‘Baddest’ hadi mwakani

Staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido amebadili mawazo ya kuachia album yake mpya dakika za mwisho. Davido na Wizkid ni kama wanategeana kuachia album zao! Kwasababu kila mmoja amekua akisogeza tarehe mbele kila inapokaribia tarehe ambayo alitangaza. Davido aliahidi kuwa album yake mpya ‘Baddest’ ingetoka mwezi wa 10 baada ya kuahirisha mara kadhaa, na Wizkid […]

 

10 years ago

Bongo5

Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’

Baada ya rapper Tyga kuitupia lawama label yake ya Young Money (YMCMB) hivi karibuni kuwa inambania album yake kutoka, rapper huyo ametumia Twitter kutangaza tarehe ya kutoka album yake inayoitwa “The Gold Album” ambayo sasa itatoka mwezi ujao. Kupitia Twitter Tyga ameandika sasa album hiyo itatoka siku mbili kabla ya sikukuu ya Christmas Dec 23. […]

 

10 years ago

Bongo5

Chris Brown atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘Royalty’

Chris Brown tayari ameweka wazi tarehe ya kuachia album yake mpya aliyoipa jina la mwanaye ‘Royalty’ ambayo imepangwa kutoka rasmi November 27, 2015. Taarifa za album hiyo zimetolewa kupitia kipindi cha ‘Nessa and Camilo’. Nyimbo zilizoishasikika kutoka kwenye album hiyo ni ‘Liquor’ pamoja na ‘Zero’. Sina shaka ‘Royalty’ haitakumbwa na mikosi kama album yake iliyopita […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Davido aeleza sababu iliyomfanya kuahirisha kuachia album mpya siku 2 kabla ya tarehe iliyokuwa imepangwa

davido ADavido ameweka wazi sababu iliyomfanya yeye na uongozi wake kuahirisha kutoa album yake mpya ‘The Baddest’ hadi mwakani. Staa huyo wa Nigeria amesema kuwa album hiyo iko tayari, lakini siku mbili kabla ya terehe ya kuitoa walipigiwa simu kutoka kwenye kampuni moja kubwa ambayo inataka kuhusika kwenye maswala ya usambazaji. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! […]

 

10 years ago

Bongo5

Justin Bieber atangaza jina la album mpya na tarehe ya kutoka

Mwezi mmoja baada ya kuachia ‘What Do You Mean?’ ikiwa ni single ya kwanza kutoka kwenye album yake mpya, Justin Bieber ametangaza jina la album hiyo. Kupitia Twitter Bieber amepost picha yenye jina ‘Purpose’ pamoja na hashtag ya tarehe ya kuachia album hiyo Nov.13. #6weeks #nov13 pic.twitter.com/zspENFhV5S — Justin Bieber (@justinbieber) October 2, 2015 Katika […]

 

9 years ago

Bongo5

One The Incredible kuachia album yake mpya

One Incredible

Rapper One The Incredible amesema yupo kwenye maandalizi ya kuachia album yake mpya ambayo bado hajaipa jina.

One Incredible

One ameiambia Bongo5 kuwa album hiyo ataifanya iwe bora ili kuhakikisha kuwa mashabiki wake wanapata kitu chenye ubora wa hali ya juu.

“Sasa nina nyimba 18 tayari nimesharekodi na bado ninaendelea kurekodi ndio nianze kupanga ipi itoke na ipi ibaki. Lakini najua na ninajipanga vizuri album iwe kali kila mwenye bahati ya kuwa nayo anufaike na kile nilichokifannya. Na mpaka sasa hivi...

 

10 years ago

Bongo5

Ne-Yo kuachia album yake mpya ‘Non Fiction’ January, 2015

Mwimbaji wa R&B na mwandishi wa hit songs nyingi za mastaa wakubwa, Ne-yo ameitaja tarehe ya kuachia album yake mpya aliyoipa jina la ‘Non Fiction’. Baada ya kuahirisha mara kadhaa sasa album ya sita ya Ne-Yo inatarajiwa kutoka January 27, 2015 ikiwa ni takriban miaka mitatu toka atoe album yake ya mwisho ‘R.E.D’ mwaka 2012. […]

 

10 years ago

Bongo5

Rihanna atangaza jina la album yake mpya

Hatimaye Rihanna ametangaza jina album yake ya nane. Album hiyo inaitwa Anti. Muimbaji huyo pamoja na kutaja jina la album yake, alizindua pia artwork yake usiku wa Jumatano jijini Los Angeles mbele ya umati wa watu. Cover hiyo ni picha yake akiwa mtoto kwenye siku yake ya kwanza kwenye daycare. Ameshirikiana na mchoraji aitwaye Roy […]

 

10 years ago

Bongo5

Iggy Azalea atangaza jina la album yake mpya

Hit maker wa ‘Fancy’, Iggy Azalea yuko kwenye foleni ya wasanii wanaotarajia kuachia album zao mpya hivi karibuni, na tayari ametangaza album yake itaitwa ‘Digital Distortion’. Rapper huyo wa Australia ametoa taarifa kuhusu album yake Oct.6 kupitia Twitter alipokuwa akijibu maswali ya mashabiki wake. Pia alisema kuwa single ya kwanza ya kwenye album hiyo itatoka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani