Rihanna atangaza jina la album yake mpya
Hatimaye Rihanna ametangaza jina album yake ya nane. Album hiyo inaitwa Anti. Muimbaji huyo pamoja na kutaja jina la album yake, alizindua pia artwork yake usiku wa Jumatano jijini Los Angeles mbele ya umati wa watu. Cover hiyo ni picha yake akiwa mtoto kwenye siku yake ya kwanza kwenye daycare. Ameshirikiana na mchoraji aitwaye Roy […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya
9 years ago
Bongo509 Oct
Iggy Azalea atangaza jina la album yake mpya
10 years ago
Bongo513 Nov
Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’
9 years ago
Bongo503 Oct
Justin Bieber atangaza jina la album mpya na tarehe ya kutoka
9 years ago
Bongo505 Oct
Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’
9 years ago
Bongo530 Oct
Rihanna asaini dili nono la shilingi bilioni 54 na Samsung kudhamini album yake mpya
10 years ago
Bongo523 Aug
New Song: Chris Brown aachia single mpya inayobeba jina la album yake ‘X’
9 years ago
Bongo515 Oct
Chris Brown atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘Royalty’
9 years ago
Bongo524 Nov
Rihanna kuanza ziara ya album yake ‘Anti World Tour’ mwakani
![Riri](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Riri-300x194.jpg)
Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ huenda ikatoka Ijumaa hii (Nov.27), japokuwa Rihanna wala msemaji wake hawajathibitisha.
Inasemekana kuwa album hiyo ya nane itatoka exclusively kupitia mtandao wa Jay Z, Tidal mpaka Dec 4 ndio itaanza kupatikana kwenye platform zingine.
Riri pia ametangaza ziara yake ya kuitangaza album hiyo ‘Anti World Tour’ itakayoanza Feb 2016. Kwenye ziara hiyo atakuwa na Big sean, Travis scott na The Weekend.
#ANTIWorldTour starts Feb...