Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rihanna kuanza ziara ya album yake ‘Anti World Tour’ mwakani

Riri

Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ huenda ikatoka Ijumaa hii (Nov.27), japokuwa Rihanna wala msemaji wake hawajathibitisha.

Riri

Inasemekana kuwa album hiyo ya nane itatoka exclusively kupitia mtandao wa Jay Z, Tidal mpaka Dec 4 ndio itaanza kupatikana kwenye platform zingine.

Riri pia ametangaza ziara yake ya kuitangaza album hiyo ‘Anti World Tour’ itakayoanza Feb 2016. Kwenye ziara hiyo atakuwa na Big sean, Travis scott na The Weekend.

#ANTIWorldTour starts Feb...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Album ya Rihanna ‘ANTI’ haitoki Nov.6 kama taarifa zilivyosambaa

Taarifa iliyoripotiwa na baadhi ya mitandao kuwa album mpya ya Rihanna iliyopewa jina la ‘ANTI’ itatoka November 6, 2015 imekanushwa na chanzo cha karibu na mwimbaji huyo. Chanzo hicho kimeiambia Billboard kuwa tarehe hiyo sio sahihi baada ya kutaka kuthibitisha taarifa iliyotolewa na HITS Daily Double kuwa album hiyo itatoka mwezi ujao. Riri alitambulisha jina […]

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna atangaza jina la album yake mpya

Hatimaye Rihanna ametangaza jina album yake ya nane. Album hiyo inaitwa Anti. Muimbaji huyo pamoja na kutaja jina la album yake, alizindua pia artwork yake usiku wa Jumatano jijini Los Angeles mbele ya umati wa watu. Cover hiyo ni picha yake akiwa mtoto kwenye siku yake ya kwanza kwenye daycare. Ameshirikiana na mchoraji aitwaye Roy […]

 

9 years ago

Bongo5

Davido abadili mawazo ya kuachia album yake ya mpya ‘Baddest’ hadi mwakani

Staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido amebadili mawazo ya kuachia album yake mpya dakika za mwisho. Davido na Wizkid ni kama wanategeana kuachia album zao! Kwasababu kila mmoja amekua akisogeza tarehe mbele kila inapokaribia tarehe ambayo alitangaza. Davido aliahidi kuwa album yake mpya ‘Baddest’ ingetoka mwezi wa 10 baada ya kuahirisha mara kadhaa, na Wizkid […]

 

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD aahidi kuachia album yake ya kwanza ‘VIRGO’ February mwakani

Hemedy PHD amesema kuwa anatarajia kuachia album yake ya kwanza ifikapo mwezi February mwakani 2016. Muimbaji huyo ambaye pia ni muigizaji wa filamu, amesema album yake hiyo ya muziki itaitwa ‘Virgo’ na itakuwa na jumla ya nyimbo 18. Hiki ndicho ameandika kupitia Instagram; “INSHALLAH FEBRUARY 2016 MY VERY FIRST MUSIC ALBUM WILL BE OUT!THE ALBUM […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya

Habari njema kwa mashabiki wa Rihanna ni kuwa ‘the wait is almost over’, kwani album ya nane ya mwimbaji huyo mrembo inakaribia kutoka. Jioni ya Jumatano Oct.7 Rihanna ambaye hajatoa album nyingine toka mwaka 2012 alipotoa ‘Unapologetic’, alifanya sherehe fupi ya utambulisho wa album cover pamoja na jina la album yake ya 8 huko Los […]

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna asaini dili nono la shilingi bilioni 54 na Samsung kudhamini album yake mpya

Rihanna akiwa anajiandaa kutoa album yake mpya, amesaini dili nono la dola milioni 25 (sawa na shilingi bilioni 54) na kampuni ya Samsung kwaajili ya kudhamini album hiyo pamoja na ziara. Jay Z pamoja na meneja wa Rihanna, Jay Brown walisaidia katika kufunga dili hiyo. Mapema mwezi huu Jay Z alionekana akitoka kwenye ofisi za […]

 

10 years ago

Bongo5

Kesi ya kumdunda Rihanna yamsababisha Chris Brown aahirishe ziara yake

Pamoja na kupita miaka sita tangu Chris Brown ashtakiwe kwa kosa la kumpiga Rihanna, bado kesi hiyo imeendelea kumgharimu muimbaji huyo wa ‘Loyal’ Chris amelazimika kuahirisha ziara yake ya muziki iliyopewa jina ‘Between The Sheets’ iliyokuwa ianze Jumanne hii ili kumalizia saa 100 zilizosalia kwenye adhabu aliyopewa ya kufanya kazi za kijamii kwa saa 1,000. […]

 

9 years ago

Bongo5

Baba yake na Beyonce agusia uwezekano wa ziara na album mpya ya Destiny’s Child

Ikiwa ni takriban miaka 10 tangu itoke album mpya ya Destiny’s Child, baba yake na Beyonce, Mathew Knowles amesema huenda kundi hilo likaungana kwa mara nyingine. Akiongea na mtandao wa The Huffington Post, Knowles ambaye bado anasimamia kazi za kundi hilo alisema mashabiki watarajie kitu. “Nina matumaini makubwa kuwa wasichana hawa watarejea na album na […]

 

9 years ago

Michuzi

Cosota, CMEA kuanza kulipa mirahaba kwa wanamuziki kuanza Januari mwakani

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Hakimiliki Tanzania (Cosota) Doreen Sinare akielezea umuhimu wa wanamuziki kujisajili kwao kupitia Kampuni iliyopewa jukumu la kuendesha zoezi usajili, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) ilikuweza kupata haki zao kutokana  na kazi zao.  Mkuu wa Uendeshaji wa kampuni ya CMEA, Abdi Zagar akielezea jinsi ya mfumo wa kisasa wa ukusanyaji taarifa za wanamuziki kwenye vituo vya televisheni na redio kwa ajili ya kutumiwa na Cosota ili kufanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani