Rihanna kuanza ziara ya album yake ‘Anti World Tour’ mwakani
Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ huenda ikatoka Ijumaa hii (Nov.27), japokuwa Rihanna wala msemaji wake hawajathibitisha.
Inasemekana kuwa album hiyo ya nane itatoka exclusively kupitia mtandao wa Jay Z, Tidal mpaka Dec 4 ndio itaanza kupatikana kwenye platform zingine.
Riri pia ametangaza ziara yake ya kuitangaza album hiyo ‘Anti World Tour’ itakayoanza Feb 2016. Kwenye ziara hiyo atakuwa na Big sean, Travis scott na The Weekend.
#ANTIWorldTour starts Feb...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo515 Oct
Album ya Rihanna ‘ANTI’ haitoki Nov.6 kama taarifa zilivyosambaa
9 years ago
Bongo508 Oct
Rihanna atangaza jina la album yake mpya
9 years ago
Bongo527 Oct
Davido abadili mawazo ya kuachia album yake ya mpya ‘Baddest’ hadi mwakani
9 years ago
Bongo518 Sep
Hemedy PHD aahidi kuachia album yake ya kwanza ‘VIRGO’ February mwakani
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya
9 years ago
Bongo530 Oct
Rihanna asaini dili nono la shilingi bilioni 54 na Samsung kudhamini album yake mpya
10 years ago
Bongo527 Jan
Kesi ya kumdunda Rihanna yamsababisha Chris Brown aahirishe ziara yake
9 years ago
Bongo522 Sep
Baba yake na Beyonce agusia uwezekano wa ziara na album mpya ya Destiny’s Child
9 years ago
MichuziCosota, CMEA kuanza kulipa mirahaba kwa wanamuziki kuanza Januari mwakani