Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Album ya Rihanna ‘ANTI’ haitoki Nov.6 kama taarifa zilivyosambaa

Taarifa iliyoripotiwa na baadhi ya mitandao kuwa album mpya ya Rihanna iliyopewa jina la ‘ANTI’ itatoka November 6, 2015 imekanushwa na chanzo cha karibu na mwimbaji huyo. Chanzo hicho kimeiambia Billboard kuwa tarehe hiyo sio sahihi baada ya kutaka kuthibitisha taarifa iliyotolewa na HITS Daily Double kuwa album hiyo itatoka mwezi ujao. Riri alitambulisha jina […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rihanna kuanza ziara ya album yake ‘Anti World Tour’ mwakani

Riri

Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ huenda ikatoka Ijumaa hii (Nov.27), japokuwa Rihanna wala msemaji wake hawajathibitisha.

Riri

Inasemekana kuwa album hiyo ya nane itatoka exclusively kupitia mtandao wa Jay Z, Tidal mpaka Dec 4 ndio itaanza kupatikana kwenye platform zingine.

Riri pia ametangaza ziara yake ya kuitangaza album hiyo ‘Anti World Tour’ itakayoanza Feb 2016. Kwenye ziara hiyo atakuwa na Big sean, Travis scott na The Weekend.

#ANTIWorldTour starts Feb...

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna atangaza jina la album yake mpya

Hatimaye Rihanna ametangaza jina album yake ya nane. Album hiyo inaitwa Anti. Muimbaji huyo pamoja na kutaja jina la album yake, alizindua pia artwork yake usiku wa Jumatano jijini Los Angeles mbele ya umati wa watu. Cover hiyo ni picha yake akiwa mtoto kwenye siku yake ya kwanza kwenye daycare. Ameshirikiana na mchoraji aitwaye Roy […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya

Habari njema kwa mashabiki wa Rihanna ni kuwa ‘the wait is almost over’, kwani album ya nane ya mwimbaji huyo mrembo inakaribia kutoka. Jioni ya Jumatano Oct.7 Rihanna ambaye hajatoa album nyingine toka mwaka 2012 alipotoa ‘Unapologetic’, alifanya sherehe fupi ya utambulisho wa album cover pamoja na jina la album yake ya 8 huko Los […]

 

9 years ago

Bongo5

Album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ itapatikana exclusive kwa wiki moja kwenye Tidal

rihanna-anti-mama-gallery-2015-billboard-650

Kuna tetesi kuwa album mpya na ya nane ya Rihanna, ANTI itatoka Ijumaa hii na kupatikana kwenye mtandao wa Tidal peke yake kwa kipindi cha wiki moja kabla ya kuwekwa kwingine.

rihanna-anti-mama-gallery-2015-billboard-650

Billboard wamedai kuwa hatua hiyo itaathiri mauzo ya wiki ya album hiyo. Rihanna ni miongoni mwa mastaa wenye hisa kwenye mtandao wa Tidal.

Hata hivyo kazi nyingi zilizowekwa kwenye mtandao huo zimeonesha kutokuwa na mapokezi makubwa kama zinazowekwa kwenye Spotify na YouTube.

Mfano mzuri ni wimbo wake ‘American...

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna asaini dili nono la shilingi bilioni 54 na Samsung kudhamini album yake mpya

Rihanna akiwa anajiandaa kutoa album yake mpya, amesaini dili nono la dola milioni 25 (sawa na shilingi bilioni 54) na kampuni ya Samsung kwaajili ya kudhamini album hiyo pamoja na ziara. Jay Z pamoja na meneja wa Rihanna, Jay Brown walisaidia katika kufunga dili hiyo. Mapema mwezi huu Jay Z alionekana akitoka kwenye ofisi za […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha/Video: Hakuna cha ustaa, muone Rihanna akikaguliwa airport kama raia wa kawaida

Unaweza kudhani mtu maarufu kama Rihanna hupita kwenye uwanja wa ndege bila kufanyiwa ukaguzi kama watu wengi, lakini sivyo. MailOnline imepata picha ya muimbaji huyo akipita kwenye kaunta za ukaguzi alipokuwa akisafiri kutoka Miami. Kama kawaida alitakiwa kuvua vidani vya thamani alivyokuwa amevaa pamoja na viatu vyake.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUMZ LIVE NDANI YA WASHINGTON DMV / SHEREHE ZA UHURU DEC6 / NUNUA TICKET KABLA YA NOV 10 KWA $ 75 TU BAADA YA NOV 10 BEI ITAKUWA $ 100.

   
                                                  3 COURSE DINNER  &  LIVE SHOW
                                                                 FREE PARKING
                            TICKET  ZINAUZWA ONLINE TU.....BOFYA  HAPO CHINI
                                   WWW.DIAMONDUSATOUR.COM


                                 ...

 

9 years ago

Bongo5

Rolling Stone waitaja ‘To Pimp a Butterfly’ ya Kendrick Lamar kama album bora mwaka 2015

kendrick-i-hat

Jarida la Rolling Stone limetoa orodha ya album bora 50 za mwaka huu.

kendrick-i-hat

To Pimp a Butterfly ya Kendrick Lamar imekamata nafasi ya kwanza.

ROLLING STONE BEST ALBUMS OF 2015

1. Kendrick Lamar – To Pimp a Butterfly
2. Adele – 25
3. Drake – If You’re Reading This It’s Too Late
4. D’Angelo and the Vanguard – Black Messiah
5. The Weeknd – Beauty Behind the Madness
6. Courtney Barnett – Sometimes I Sit and Think, and Sometimes I Just Sit
7. Jason Isbell – Something More Than Free
8. Various Artists...

 

9 years ago

Bongo5

Nagharamia ya Christian Bella na Alikiba haitoki bila video

Christian Bella amesema wimbo aliofanya na Alikiba ‘Nagharamia’ utachelewa kuachiwa kwakuwa walikubaliana kuanza na video. Bella amesema wameamua kuonjesha tu wimbo huo ili kuwatoa hofu mashabiki wanaoisubiria kazi hiyo kuwathibitisha kuwa ni kweli wameshaurekodi. “Tulikubaliana kushoot video ndio tutoe kazi,” amesema Belle. “Kwahiyo hatujapata nafasi ya kushoot video. Labda tutaondoka Jumatatu kwenda kushoot video tumejipanga […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani