Album ya Rihanna ‘ANTI’ haitoki Nov.6 kama taarifa zilivyosambaa
Taarifa iliyoripotiwa na baadhi ya mitandao kuwa album mpya ya Rihanna iliyopewa jina la ‘ANTI’ itatoka November 6, 2015 imekanushwa na chanzo cha karibu na mwimbaji huyo. Chanzo hicho kimeiambia Billboard kuwa tarehe hiyo sio sahihi baada ya kutaka kuthibitisha taarifa iliyotolewa na HITS Daily Double kuwa album hiyo itatoka mwezi ujao. Riri alitambulisha jina […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo524 Nov
Rihanna kuanza ziara ya album yake ‘Anti World Tour’ mwakani
![Riri](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Riri-300x194.jpg)
Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ huenda ikatoka Ijumaa hii (Nov.27), japokuwa Rihanna wala msemaji wake hawajathibitisha.
Inasemekana kuwa album hiyo ya nane itatoka exclusively kupitia mtandao wa Jay Z, Tidal mpaka Dec 4 ndio itaanza kupatikana kwenye platform zingine.
Riri pia ametangaza ziara yake ya kuitangaza album hiyo ‘Anti World Tour’ itakayoanza Feb 2016. Kwenye ziara hiyo atakuwa na Big sean, Travis scott na The Weekend.
#ANTIWorldTour starts Feb...
9 years ago
Bongo508 Oct
Rihanna atangaza jina la album yake mpya
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya
9 years ago
Bongo526 Nov
Album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ itapatikana exclusive kwa wiki moja kwenye Tidal
![rihanna-anti-mama-gallery-2015-billboard-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/rihanna-anti-mama-gallery-2015-billboard-650-300x194.jpg)
Kuna tetesi kuwa album mpya na ya nane ya Rihanna, ANTI itatoka Ijumaa hii na kupatikana kwenye mtandao wa Tidal peke yake kwa kipindi cha wiki moja kabla ya kuwekwa kwingine.
Billboard wamedai kuwa hatua hiyo itaathiri mauzo ya wiki ya album hiyo. Rihanna ni miongoni mwa mastaa wenye hisa kwenye mtandao wa Tidal.
Hata hivyo kazi nyingi zilizowekwa kwenye mtandao huo zimeonesha kutokuwa na mapokezi makubwa kama zinazowekwa kwenye Spotify na YouTube.
Mfano mzuri ni wimbo wake ‘American...
9 years ago
Bongo530 Oct
Rihanna asaini dili nono la shilingi bilioni 54 na Samsung kudhamini album yake mpya
10 years ago
Bongo511 Oct
Picha/Video: Hakuna cha ustaa, muone Rihanna akikaguliwa airport kama raia wa kawaida
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s72-c/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ LIVE NDANI YA WASHINGTON DMV / SHEREHE ZA UHURU DEC6 / NUNUA TICKET KABLA YA NOV 10 KWA $ 75 TU BAADA YA NOV 10 BEI ITAKUWA $ 100.
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s1600/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
FREE PARKING
TICKET ZINAUZWA ONLINE TU.....BOFYA HAPO CHINI
WWW.DIAMONDUSATOUR.COM
![](http://2.bp.blogspot.com/-fcjrwLiwp3U/VFiU9rt2UbI/AAAAAAAARY8/1chS-AoD5kY/s1600/FullSizeRender.jpg)
...
9 years ago
Bongo502 Dec
Rolling Stone waitaja ‘To Pimp a Butterfly’ ya Kendrick Lamar kama album bora mwaka 2015
![kendrick-i-hat](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kendrick-i-hat-300x194.jpg)
Jarida la Rolling Stone limetoa orodha ya album bora 50 za mwaka huu.
To Pimp a Butterfly ya Kendrick Lamar imekamata nafasi ya kwanza.
ROLLING STONE BEST ALBUMS OF 2015
1. Kendrick Lamar – To Pimp a Butterfly
2. Adele – 25
3. Drake – If You’re Reading This It’s Too Late
4. D’Angelo and the Vanguard – Black Messiah
5. The Weeknd – Beauty Behind the Madness
6. Courtney Barnett – Sometimes I Sit and Think, and Sometimes I Just Sit
7. Jason Isbell – Something More Than Free
8. Various Artists...
9 years ago
Bongo514 Oct
Nagharamia ya Christian Bella na Alikiba haitoki bila video