Rolling Stone waitaja ‘To Pimp a Butterfly’ ya Kendrick Lamar kama album bora mwaka 2015
Jarida la Rolling Stone limetoa orodha ya album bora 50 za mwaka huu.
To Pimp a Butterfly ya Kendrick Lamar imekamata nafasi ya kwanza.
ROLLING STONE BEST ALBUMS OF 2015
1. Kendrick Lamar – To Pimp a Butterfly
2. Adele – 25
3. Drake – If You’re Reading This It’s Too Late
4. D’Angelo and the Vanguard – Black Messiah
5. The Weeknd – Beauty Behind the Madness
6. Courtney Barnett – Sometimes I Sit and Think, and Sometimes I Just Sit
7. Jason Isbell – Something More Than Free
8. Various Artists...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Rolling Stone kupigwa Dar mwaka huu
TIMU 27 zinatarajiwa kushiriki michuano ya vijana ya Rolling Stone itakayoshirikisha timu za ukanda wa Maziwa Makuu, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Julai 4 jijini Dar es Salaam. Akizungumza Dar es...
9 years ago
Bongo515 Oct
Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza
5 years ago
Bongo514 Feb
Video: Kendrick Lamar – DNA
Rapper Kendrick Lamar ameachia video ya wimbo wake ‘DNA’. Video hiyo imeongozwa na Nabil & the little homies.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!Share on Whatsapp
9 years ago
Bongo529 Oct
Video: Kendrick Lamar — These Walls
10 years ago
Bongo510 Feb
New Music: Kendrick Lamar — The Blacker The Berry
10 years ago
GPL23 May
11 years ago
GPLUSAILI ROLLING STONE WAFANYIKA
9 years ago
Bongo508 Dec
Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza
![kendrick lamar](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kendrick-lamar-300x194.jpg)
Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.
Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.
Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.
Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...
9 years ago
Bongo530 Nov
Music: J. Cole and Kendrick Lamar Drop Black Friday Gift
![cole-kendrick](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/cole-kendrick-300x194.jpg)
J. Cole and Kendrick Lamar have been teasing a joint project, but nothing has materialized. However, today they gave us hope with a pair of tracks for Black Friday. Each tweeted a link to a song from the other. Kendrick raps over Cole’s “A Tale of 2 Citiez” off 2014 Forest Hills Drive, while Cole goes in over Kendrick’s “Alright” off To Pimp a Butterfly.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...