Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rolling Stone kupigwa Dar mwaka huu

TIMU 27 zinatarajiwa kushiriki michuano ya vijana ya Rolling Stone itakayoshirikisha timu za ukanda wa Maziwa Makuu, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Julai 4 jijini Dar es Salaam. Akizungumza Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rolling Stone waitaja ‘To Pimp a Butterfly’ ya Kendrick Lamar kama album bora mwaka 2015

kendrick-i-hat

Jarida la Rolling Stone limetoa orodha ya album bora 50 za mwaka huu.

kendrick-i-hat

To Pimp a Butterfly ya Kendrick Lamar imekamata nafasi ya kwanza.

ROLLING STONE BEST ALBUMS OF 2015

1. Kendrick Lamar – To Pimp a Butterfly
2. Adele – 25
3. Drake – If You’re Reading This It’s Too Late
4. D’Angelo and the Vanguard – Black Messiah
5. The Weeknd – Beauty Behind the Madness
6. Courtney Barnett – Sometimes I Sit and Think, and Sometimes I Just Sit
7. Jason Isbell – Something More Than Free
8. Various Artists...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga zapeta Rolling Stone Dar

Timu za vijana za Simba, Yanga na Mtibwa Sugar zimetinga hatua ya 16 bora ya michuano ya vijana walio na umri chini ya miaka 15 na 20 ya Rolling Stone inayoendelea kwenye viwanja vitatu tofauti jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

USAILI ROLLING STONE WAFANYIKA

   Baadhi ya wachezaji wakiwa kwenye foleni wakisubiri usaili huo.     Usaili ukiwa unaendelea.   …

 

10 years ago

GPL

BANZA STONE: UGONJWA HUU UTANIUA!

Issa Mnally na Gladness Mallya/ Ijumaa Wikienda
Maskini! Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ yu mgonjwa tena, safari hii ameibuka na kueleza maradhi ambayo yanamsumbua akisema: ‘Ugonjwa huu utaniua.” Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Awali Ijumaa Wikienda lilipokea taarifa juu ya kuumwa kwa Banza ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA BAISKELI KUFANYIKA JIJINI DAR JUNI 14 MWAKA HUU.

 Mkuu wa mashindano ya Baiskeli na Barozi wa Umoja wa Ulaya Filiberto Sebregondi akizungumza na waandishi wa habari leo (hawapo pichani)katika ukumbi wa mikutano wa Ubalozi wa Ulaya jijini Dar es Salaam leo. kushoto ni Mratibu wa Msafara wa Mkuu wa Operesheni ya umoja wa Ulaya, Eric Beaume.Naibu Mhamasishaji Mkuu wa Mfuko wa Fedha za Umoja wa Ulaya, Godlove Stephen akizungumza na waandishi wa habari hawapo hewani kuhusiana na mashindano ya baiskeli yatakayofanyika Juni 14 mwaka huu...

 

9 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA CP DAY KUFANYIKA OKTOBA 7 MWAKA HUU JIJINI DAR

Makamu  Mwenyekiti wa Chama cha Wazazi Watoto wenye Ulemavu wa mtindio wa Ubongo na akili na Viungo Tanzania (CHAWAUMAVITA) Hillar Said  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya Maadhimisho ya mwaka  huu maadhimisho hayo yatakayofanyika Oktoba 7 mwaka huu katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jjijini Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadicki, kulia ni Katibu (CHAWAUMAVITA) Mwanahamisi Hussen
Mwenyekiti  huyo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani