Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba, Yanga zapeta Rolling Stone Dar

Timu za vijana za Simba, Yanga na Mtibwa Sugar zimetinga hatua ya 16 bora ya michuano ya vijana walio na umri chini ya miaka 15 na 20 ya Rolling Stone inayoendelea kwenye viwanja vitatu tofauti jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Rolling Stone kupigwa Dar mwaka huu

TIMU 27 zinatarajiwa kushiriki michuano ya vijana ya Rolling Stone itakayoshirikisha timu za ukanda wa Maziwa Makuu, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Julai 4 jijini Dar es Salaam. Akizungumza Dar es...

 

9 years ago

BBCSwahili

Yanga,Simba,Azam zapeta

Vigogo wa soka nchi Tanzania Yanga, Simba pamoja na Azam FC wamendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya ligu kuu

 

11 years ago

GPL

USAILI ROLLING STONE WAFANYIKA

   Baadhi ya wachezaji wakiwa kwenye foleni wakisubiri usaili huo.     Usaili ukiwa unaendelea.   …

 

9 years ago

Bongo5

Rolling Stone waitaja ‘To Pimp a Butterfly’ ya Kendrick Lamar kama album bora mwaka 2015

kendrick-i-hat

Jarida la Rolling Stone limetoa orodha ya album bora 50 za mwaka huu.

kendrick-i-hat

To Pimp a Butterfly ya Kendrick Lamar imekamata nafasi ya kwanza.

ROLLING STONE BEST ALBUMS OF 2015

1. Kendrick Lamar – To Pimp a Butterfly
2. Adele – 25
3. Drake – If You’re Reading This It’s Too Late
4. D’Angelo and the Vanguard – Black Messiah
5. The Weeknd – Beauty Behind the Madness
6. Courtney Barnett – Sometimes I Sit and Think, and Sometimes I Just Sit
7. Jason Isbell – Something More Than Free
8. Various Artists...

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, City zapeta, Simba mh!

Dar es Salaam. Azam na, Mtibwa zimeendelea kung’ara katika  Ligi Kuu Tanzania Bara, wakati Simba ikisuasua baada ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 na Polisi Morogoro jana.Azam imepanda kileleni mwa ligi baada ya kuichapa Ruvu

 

10 years ago

GPL

SIMBA, YANGA WATOKA SARE TAIFA, DAR

Kikosi cha timu ya Simba kilichoanza leo dhidi ya Yanga SC katika Uwanja wa Taifa Dar. Kikosi cha timu ya Yanga kilichonza dhidi ya Simba.…

 

11 years ago

TheCitizen

Dar’s Sisyphean curse of rolling boulder up a hill

As Mother Nature, Father Time and the Sisters of Fate would have it, Tanzania is among the world’s most richly-endowed with natural resources and comparative advantages.

 

10 years ago

Vijimambo

KOSHA MPYA WA SIMBA ATUA DAR NA KISASI NA YANGA

Kocha mpya wa Simba, Goran Kopunovic.
Na Omary Mdose Wa GPL.KOCHA mpya wa Simba, Goran Kopunovic anaratajia kutua nchini leo saa 1:30 asubuhi akitokea nchini Hungary tayari kuingia mkataba na klabu hiyo na moja kwa moja kwenda Zanzibar.Kopunovic anatua nchini akiwa na ‘hasira’ au ‘kisasi’ kwa watani wa jadi wa Simba, Yanga kwa kuwa waliwahi ‘kumtema’.Miaka mitatu iliyopita, Yanga ilifanya mazungumzo na Kopunovic raia wa Serbia ili atue nchini kuinoa. Lakini wakati akiajiandaa kuja nchini,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani