Simba, Yanga zapeta Rolling Stone Dar
Timu za vijana za Simba, Yanga na Mtibwa Sugar zimetinga hatua ya 16 bora ya michuano ya vijana walio na umri chini ya miaka 15 na 20 ya Rolling Stone inayoendelea kwenye viwanja vitatu tofauti jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Rolling Stone kupigwa Dar mwaka huu
TIMU 27 zinatarajiwa kushiriki michuano ya vijana ya Rolling Stone itakayoshirikisha timu za ukanda wa Maziwa Makuu, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Julai 4 jijini Dar es Salaam. Akizungumza Dar es...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Yanga,Simba,Azam zapeta
11 years ago
GPLUSAILI ROLLING STONE WAFANYIKA
9 years ago
Bongo502 Dec
Rolling Stone waitaja ‘To Pimp a Butterfly’ ya Kendrick Lamar kama album bora mwaka 2015
![kendrick-i-hat](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kendrick-i-hat-300x194.jpg)
Jarida la Rolling Stone limetoa orodha ya album bora 50 za mwaka huu.
To Pimp a Butterfly ya Kendrick Lamar imekamata nafasi ya kwanza.
ROLLING STONE BEST ALBUMS OF 2015
1. Kendrick Lamar – To Pimp a Butterfly
2. Adele – 25
3. Drake – If You’re Reading This It’s Too Late
4. D’Angelo and the Vanguard – Black Messiah
5. The Weeknd – Beauty Behind the Madness
6. Courtney Barnett – Sometimes I Sit and Think, and Sometimes I Just Sit
7. Jason Isbell – Something More Than Free
8. Various Artists...
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Azam, City zapeta, Simba mh!
10 years ago
GPLSIMBA, YANGA WATOKA SARE TAIFA, DAR
11 years ago
TheCitizen03 Apr
Dar’s Sisyphean curse of rolling boulder up a hill
10 years ago
Vijimambo31 Dec
KOSHA MPYA WA SIMBA ATUA DAR NA KISASI NA YANGA
![](http://api.ning.com/files/f3Cpy2Teci1WjwDd9a--FKFpDorjT6NSWldK*7fl67saZdWrW68eCw4FSeY9J*0jvg8JkEdJM9eMMucDxp35-aRauAIkucOe/1331248128GoranKopunovic.jpg?width=650)
Na Omary Mdose Wa GPL.KOCHA mpya wa Simba, Goran Kopunovic anaratajia kutua nchini leo saa 1:30 asubuhi akitokea nchini Hungary tayari kuingia mkataba na klabu hiyo na moja kwa moja kwenda Zanzibar.Kopunovic anatua nchini akiwa na ‘hasira’ au ‘kisasi’ kwa watani wa jadi wa Simba, Yanga kwa kuwa waliwahi ‘kumtema’.Miaka mitatu iliyopita, Yanga ilifanya mazungumzo na Kopunovic raia wa Serbia ili atue nchini kuinoa. Lakini wakati akiajiandaa kuja nchini,...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...