Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza

Rappers Kendrick Lamar na Big Sean ndio wameibuka na tuzo nyingi zaidi kwenye tuzo za BET Hip Hop Awards 2015 zilizorekodiwa weekend iliyopita na kuoneshwa usiku wa Oct.13. Kendrick Lamar na Big Sean kila mmoja ameshinda tuzo tatu wakifuatiwa kwa karibu na Drake aliyeshinda tuzo mbili. Hii ni orodha kamili ya washindi Best Hip Hop […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Orodha wa washindi wa BET Hip Hop Awards 2014

Hawa ndio washindi wa tuzo za Hip Hop za BET mwaka huu. Album Of The Year – Drake – Nothing Was The Same Best Collab, Duo Or Group – YG f. Jeezy & Rich Homie Quan “My Hitta” Best Hip Hop Video – Drake – “Worst Behavior” Best Live Performer – Kanye West Best Mixtape […]

 

10 years ago

Jamtz.Com

BET HIP HOP AWARDS 2014 NOMINATIONS, DRAKE AONGOZA KWA KUA NOMINATED MARA 8 (ANGALIA LIST KAMILI)

 

BET HIP-HOP AWARDS NOMINEES

Best Hip-Hop Video
Drake – “Worst Behavior”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Iggy Azalea f/ Charli XCX – “Fancy”
J. Cole f/ TLC – “Crooked Smile”
Nicki Minaj – “Pills N Potions”
Wiz Khalifa – “We Dem Boyz”

Best Collabo, Duo or Group
Eminem f/ Rihanna – “The Monster”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Jay Z f/ Justin Timberlake – “Holy Grail”
ScHoolboy Q f/ BJ The Chicago Kid – “Studio”
YG f/ Jeezy & Rich Homie Quan – “My Hitta”

Best...

 

9 years ago

Bongo5

Diddy aongoza ‘Forbes Hip-Hop Cash Kings 2015’, akifuatiwa na Jay Z na Drake (Orodha kamili)

Jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya wasanii wa Hip Hop wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka 2015. Sean “Diddy” Combs ndiye anayeongoza orodha ya mwaka huu (Kutoka nafasi ya pili aliyoshika mwaka jana) na kufanikiwa kumuengua Dr. Dre kwa kutengeneza $60 million. Fedha nyingi za Diddy zimetokana na miradi yake ya Ciroc vodka […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

LIST KAMILI YA WASHINDI "BET AWARDS 2015"

Wakali wa muziki kama Chris Brown, Nicki Minaj, na Rihanna na wengine walimiliki stage kwa kuperform. Janet Jackson pamoja na Smokey Robinson walikua baadhi ya watu waliopewa tuzo za heshima mwaka huu na BETTuzo za BET Awards 2015 zilichukua headlines kubwa siku ya jumapili tarehe 28 June 2015 Los Angeles Marekani ambapo mc alikua ni Anthony Anderson na Trace Ellis Rose.LIST KAMILI YA WASHINDI BET 2015Best International Act UK:FKA TwigsFuse ODGLethal BizzleLittle SimzMnekStormzy- Winner

Best...

 

9 years ago

Mtanzania

Wana Hip Hop wamvulia kofia Kendrick

kendrick-lamarsUKITAKA kuzungumzia muziki wa Hip Hop nchini Marekani kwa sasa, hawezi kumuacha nyota wa muziki huo Kendrick Lamar ambaye anaonekana kufanya vizuri na kuwapoteza wakongwe.

Siyo kazi nyepesi kuingia kwenye muziki wa Hip Hop na kukubalika haraka, ni lazima kichwa kifanye kazi ili kuweza kuandaa mistari itakayowafanya mashabiki wengi wakuelewe.

Haikuwa kazi kubwa kwa Kendrick kuwashawishi mashabiki duniani kutokana na aina ya muziki wake ambapo mashabiki wengi walianza kusema kuwa 2 Pac...

 

9 years ago

Bongo5

American Music Awards 2015: Orodha kamili ya washindi

amas

Tuzo za za Muziki za Marekani ‘American Music Awards 2015’(AMAs) zimetolewa usiku wa Jumapili (Nov 22) kwenye ukumbi wa Microsoft Theater jijini Los Angeles.

amas

Jennifer Lopez ndiye alikuwa mc wa shughuli hiyo.

Ifuatayo ni orodha ya washindi:

ARTIST OF THE YEAR
• Luke Bryan
• Ariana Grande
• Maroon 5
• Nicki Minaj
• One Direction — WINNER
• Ed Sheeran
• Sam Smith
• Taylor Swift
• Meghan Trainor
• The Weeknd

NEW ARTIST OF THE YEAR PRESENTED BY KOHL’S
• Fetty Wap
• Sam Hunt — WINNER
• Tove...

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa MTV Video Music Awards 2015

Tuzo za MTV Video Music Awards 2015 zimetolewa Jumapili Agosti 30, 2015 huko Los Angeles, Marekani. Muimbaji Taylor Swift aliyekuwa anawania vipengele 10 ameongoza kwa kushinda tuzo 4 za ‘Video of the year’ , Best Female Video’ ambayo kawashinda Nicki Minaj na Beyonce. Zingine alizoshinda ni ‘Best Pop Video’ pamoja na ‘Best Collaboration’. Hii ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Washindi wa tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (Orodha kamili)

Orodha kamili ya washindi wa tuzo za Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA) zilizotolewa Sept 6 New York, Marekani tayari imetolewa. Katika tuzo hizo msanii wa Uganda, Eddy Kenzo ndiye ameshinda kipengele cha ‘African Artist of The Year’ cha wasanii wasiotoka Nigeria ambacho Diamond pia alikuwa nominee. Hii ni orodha kamili ya washindi. Album of the […]

 

9 years ago

Bongo5

Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza

kendrick lamar

Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.

kendrick lamar

Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.

Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.

Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani