Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Orodha wa washindi wa BET Hip Hop Awards 2014

Hawa ndio washindi wa tuzo za Hip Hop za BET mwaka huu. Album Of The Year – Drake – Nothing Was The Same Best Collab, Duo Or Group – YG f. Jeezy & Rich Homie Quan “My Hitta” Best Hip Hop Video – Drake – “Worst Behavior” Best Live Performer – Kanye West Best Mixtape […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza

Rappers Kendrick Lamar na Big Sean ndio wameibuka na tuzo nyingi zaidi kwenye tuzo za BET Hip Hop Awards 2015 zilizorekodiwa weekend iliyopita na kuoneshwa usiku wa Oct.13. Kendrick Lamar na Big Sean kila mmoja ameshinda tuzo tatu wakifuatiwa kwa karibu na Drake aliyeshinda tuzo mbili. Hii ni orodha kamili ya washindi Best Hip Hop […]

 

11 years ago

Jamtz.Com

BET HIP HOP AWARDS 2014 NOMINATIONS, DRAKE AONGOZA KWA KUA NOMINATED MARA 8 (ANGALIA LIST KAMILI)

 

BET HIP-HOP AWARDS NOMINEES

Best Hip-Hop Video
Drake – “Worst Behavior”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Iggy Azalea f/ Charli XCX – “Fancy”
J. Cole f/ TLC – “Crooked Smile”
Nicki Minaj – “Pills N Potions”
Wiz Khalifa – “We Dem Boyz”

Best Collabo, Duo or Group
Eminem f/ Rihanna – “The Monster”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Jay Z f/ Justin Timberlake – “Holy Grail”
ScHoolboy Q f/ BJ The Chicago Kid – “Studio”
YG f/ Jeezy & Rich Homie Quan – “My Hitta”

Best...

 

9 years ago

Michuzi

now you know...Wakazi (Tanzania) has been nominated for the 2016 Kora Awards as "Best Hip Hop Act"

Wakazi (Tanzania) has been nominated for the 2016 Kora Awards as "Best Hip Hop Act" alongside K.O (South Africa), Sarkodie (Ghana), Stanley Enow (Cameroon), Hamzaoui Med Amine (Tunisia) & Kiff No Beat (Cote D'voire). The Award Ceremony will take place in Windhoek, Namibia on March 20th 2016. Here is Wakazi's Ojuelegba Flip dubbed "Natokea Dar" which just like Wizkid's original, he gives tales of the neighborhood he is from in a realistic narrative. The bilingual emcee talks of his upbringing...

 

10 years ago

Bongo5

Diddy aongoza ‘Forbes Hip-Hop Cash Kings 2015’, akifuatiwa na Jay Z na Drake (Orodha kamili)

Jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya wasanii wa Hip Hop wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka 2015. Sean “Diddy” Combs ndiye anayeongoza orodha ya mwaka huu (Kutoka nafasi ya pili aliyoshika mwaka jana) na kufanikiwa kumuengua Dr. Dre kwa kutengeneza $60 million. Fedha nyingi za Diddy zimetokana na miradi yake ya Ciroc vodka […]

 

10 years ago

Bongo5

SA Hip Hop Awards: AKA ampiku Cassper Nyovest kwa kuondoka na nyingi!

Usiku wa jana rapper wa Levels, AKA alinyakua tuzo nne kwenye SA Hip Hop Awards. Mpinzani wake Cassper Nyovest alichukua tatu. Mpenzi wake na AKA, DJ Zinhle alitweet: “Congatulations to my winner.” Hii ni orodha nzima: Album of the Year • Cassper Nyovest- Tsholofelo Producer of the Year • Ganja Beatz Hustler of the Year […]

 

10 years ago

Vijimambo

SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP

Kilimanjaro Studio sasa inakuletea kipindi cha muziki wa kizazi kipya kila siku ya Jumamosi saa 4 asubuhi kwa saa za Amerika ya mashariki Mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi ni Buheti AbdulrahmanKipindi hiki kitakuwezesha kujua mambo yaliyojiri kila wiki kuhusiana na muziki na wanamuziki wa Bongo Flava na nafasi pekee ya kuweza kuburudika na muziki wa Bongo Flava huku ukipata historia ya wanamuziki hao.Ni kila Jumamosi ndani ya Kilimanjaro Studio kupitia www.vijimamboradio.com, au...

 

10 years ago

Africanjam.Com

LIST KAMILI YA WASHINDI "BET AWARDS 2015"

Wakali wa muziki kama Chris Brown, Nicki Minaj, na Rihanna na wengine walimiliki stage kwa kuperform. Janet Jackson pamoja na Smokey Robinson walikua baadhi ya watu waliopewa tuzo za heshima mwaka huu na BETTuzo za BET Awards 2015 zilichukua headlines kubwa siku ya jumapili tarehe 28 June 2015 Los Angeles Marekani ambapo mc alikua ni Anthony Anderson na Trace Ellis Rose.LIST KAMILI YA WASHINDI BET 2015Best International Act UK:FKA TwigsFuse ODGLethal BizzleLittle SimzMnekStormzy- Winner

Best...

 

9 years ago

Bongo5

Nomination ya Kora Awards yataka kumtoa machozi Wakazi aliyetajwa kuwania ‘Best Hip Hop Act’

wakazi2

Rapa Webiro Wassira maarufu kama Wakazi ni miongoni mwa wasanii watano wa Tanzania waliochaguliwa kuwania tuzo za Kora 2016 zitakazotolewa mwakani nchini Namibia.

wakazi2

Wakazi anawania kipengele cha ‘Best Hip Hop Act’ akichuana na wakali wengine wa Afrika akiwemo K.O wa Afrika Kusini na Sarkodie wa Ghana.

Baada ya nomination za Kora kutangazwa jana Dec 3, Wakazi alieleza furaha yake na mshituko alioupata baada ya kupokea taarifa ya kuchaguliwa kuwania tuzo hizo za kimataifa.

Katika ujumbe...

 

9 years ago

Bongo5

American Music Awards 2015: Orodha kamili ya washindi

amas

Tuzo za za Muziki za Marekani ‘American Music Awards 2015’(AMAs) zimetolewa usiku wa Jumapili (Nov 22) kwenye ukumbi wa Microsoft Theater jijini Los Angeles.

amas

Jennifer Lopez ndiye alikuwa mc wa shughuli hiyo.

Ifuatayo ni orodha ya washindi:

ARTIST OF THE YEAR
• Luke Bryan
• Ariana Grande
• Maroon 5
• Nicki Minaj
• One Direction — WINNER
• Ed Sheeran
• Sam Smith
• Taylor Swift
• Meghan Trainor
• The Weeknd

NEW ARTIST OF THE YEAR PRESENTED BY KOHL’S
• Fetty Wap
• Sam Hunt — WINNER
• Tove...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani