Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BET HIP HOP AWARDS 2014 NOMINATIONS, DRAKE AONGOZA KWA KUA NOMINATED MARA 8 (ANGALIA LIST KAMILI)

 

BET HIP-HOP AWARDS NOMINEES

Best Hip-Hop Video
Drake – “Worst Behavior”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Iggy Azalea f/ Charli XCX – “Fancy”
J. Cole f/ TLC – “Crooked Smile”
Nicki Minaj – “Pills N Potions”
Wiz Khalifa – “We Dem Boyz”

Best Collabo, Duo or Group
Eminem f/ Rihanna – “The Monster”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Jay Z f/ Justin Timberlake – “Holy Grail”
ScHoolboy Q f/ BJ The Chicago Kid – “Studio”
YG f/ Jeezy & Rich Homie Quan – “My Hitta”

Best...

Jamtz.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Diddy aongoza ‘Forbes Hip-Hop Cash Kings 2015’, akifuatiwa na Jay Z na Drake (Orodha kamili)

Jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya wasanii wa Hip Hop wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka 2015. Sean “Diddy” Combs ndiye anayeongoza orodha ya mwaka huu (Kutoka nafasi ya pili aliyoshika mwaka jana) na kufanikiwa kumuengua Dr. Dre kwa kutengeneza $60 million. Fedha nyingi za Diddy zimetokana na miradi yake ya Ciroc vodka […]

 

11 years ago

Bongo5

Orodha wa washindi wa BET Hip Hop Awards 2014

Hawa ndio washindi wa tuzo za Hip Hop za BET mwaka huu. Album Of The Year – Drake – Nothing Was The Same Best Collab, Duo Or Group – YG f. Jeezy & Rich Homie Quan “My Hitta” Best Hip Hop Video – Drake – “Worst Behavior” Best Live Performer – Kanye West Best Mixtape […]

 

11 years ago

Bongo5

Dr Dre aongoza tena ‘ 2014 Hip Hop Cash Kings’, akifuatiwa na Jay Z, Diddy na Drake

Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya wasanii wa Hip Hop wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka huu, ‘The 2014 Hip-Hop Cash Kings’ na Dr Dre amekamata nafasi ya kwanza kwa mara nyingine. Dre Dre amepewa ufalme huo kwa kutengeneza $620 million kupitia biashara zake, na kumfanya arudi kwenye nafasi ya kwanza aliyoikamata mwaka […]

 

9 years ago

Michuzi

now you know...Wakazi (Tanzania) has been nominated for the 2016 Kora Awards as "Best Hip Hop Act"

Wakazi (Tanzania) has been nominated for the 2016 Kora Awards as "Best Hip Hop Act" alongside K.O (South Africa), Sarkodie (Ghana), Stanley Enow (Cameroon), Hamzaoui Med Amine (Tunisia) & Kiff No Beat (Cote D'voire). The Award Ceremony will take place in Windhoek, Namibia on March 20th 2016. Here is Wakazi's Ojuelegba Flip dubbed "Natokea Dar" which just like Wizkid's original, he gives tales of the neighborhood he is from in a realistic narrative. The bilingual emcee talks of his upbringing...

 

10 years ago

Africanjam.Com

LIST KAMILI YA WASHINDI "BET AWARDS 2015"

Wakali wa muziki kama Chris Brown, Nicki Minaj, na Rihanna na wengine walimiliki stage kwa kuperform. Janet Jackson pamoja na Smokey Robinson walikua baadhi ya watu waliopewa tuzo za heshima mwaka huu na BETTuzo za BET Awards 2015 zilichukua headlines kubwa siku ya jumapili tarehe 28 June 2015 Los Angeles Marekani ambapo mc alikua ni Anthony Anderson na Trace Ellis Rose.LIST KAMILI YA WASHINDI BET 2015Best International Act UK:FKA TwigsFuse ODGLethal BizzleLittle SimzMnekStormzy- Winner

Best...

 

10 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza

Rappers Kendrick Lamar na Big Sean ndio wameibuka na tuzo nyingi zaidi kwenye tuzo za BET Hip Hop Awards 2015 zilizorekodiwa weekend iliyopita na kuoneshwa usiku wa Oct.13. Kendrick Lamar na Big Sean kila mmoja ameshinda tuzo tatu wakifuatiwa kwa karibu na Drake aliyeshinda tuzo mbili. Hii ni orodha kamili ya washindi Best Hip Hop […]

 

11 years ago

Michuzi

Diamond achaguliwa (nominated) kugombea BET Awards 2014


Msanii maarufu na mtumbuizaji Hapa nchini Nassib Abdul, maarufu kama DIAMOND PLATNUMZ,  ni miongoni mwa wasanii waliochaguliwa kwenda katika Tuzo za B.E.T zinazoandaliwa na kituo cha Television cha watu weusi nchini Marekani 'Black Entertainment Television' (BET) Tuzo ambazo zinatambulika sana kimataifa.

Msanii huyu ambae amekuwa nominated kwenye category ya 'Best African Acts' akichuana na wasanii kama Davido (Nigeria), Mafikizolo (Afrika Kusini), Sarkodie (Ghana), na Tiwa Savage...

 

10 years ago

Bongo5

SA Hip Hop Awards: AKA ampiku Cassper Nyovest kwa kuondoka na nyingi!

Usiku wa jana rapper wa Levels, AKA alinyakua tuzo nne kwenye SA Hip Hop Awards. Mpinzani wake Cassper Nyovest alichukua tatu. Mpenzi wake na AKA, DJ Zinhle alitweet: “Congatulations to my winner.” Hii ni orodha nzima: Album of the Year • Cassper Nyovest- Tsholofelo Producer of the Year • Ganja Beatz Hustler of the Year […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani