Nomination ya Kora Awards yataka kumtoa machozi Wakazi aliyetajwa kuwania ‘Best Hip Hop Act’
Rapa Webiro Wassira maarufu kama Wakazi ni miongoni mwa wasanii watano wa Tanzania waliochaguliwa kuwania tuzo za Kora 2016 zitakazotolewa mwakani nchini Namibia.
Wakazi anawania kipengele cha ‘Best Hip Hop Act’ akichuana na wakali wengine wa Afrika akiwemo K.O wa Afrika Kusini na Sarkodie wa Ghana.
Baada ya nomination za Kora kutangazwa jana Dec 3, Wakazi alieleza furaha yake na mshituko alioupata baada ya kupokea taarifa ya kuchaguliwa kuwania tuzo hizo za kimataifa.
Katika ujumbe...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Eh6RTjHzGpU/VnxCBdYC8gI/AAAAAAAIOXE/FbvU5bwUO_M/s72-c/088d6df7-7213-44f6-a563-aa7441d38fa0.jpg)
now you know...Wakazi (Tanzania) has been nominated for the 2016 Kora Awards as "Best Hip Hop Act"
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eh6RTjHzGpU/VnxCBdYC8gI/AAAAAAAIOXE/FbvU5bwUO_M/s640/088d6df7-7213-44f6-a563-aa7441d38fa0.jpg)
10 years ago
Bongo514 Oct
Orodha wa washindi wa BET Hip Hop Awards 2014
10 years ago
Bongo518 Dec
SA Hip Hop Awards: AKA ampiku Cassper Nyovest kwa kuondoka na nyingi!
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s72-c/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP
![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0B_Dy7O2VNE/VfpRVpp2OSI/AAAAAAAD7rw/II801JgrByg/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Bongo515 Oct
Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza
9 years ago
Bongo504 Dec
Diamond, Vanessa, Wakazi, Mpoto na Yamoto watajwa kuwania tuzo za Kora 2016, zawadi kubwa ni sh. Bilioni 2
![kora2016](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kora2016-300x194.jpg)
Hatimaye majina ya wanaowania tuzo za Kora 2016 yametangazwa rasmi leo Dec.3 , ambapo Tanzania inawakilishwa na wasanii watano.
Diamond Platnumz ametajwa kuwania kipengele cha Best Male- East Africa, huku Vanessa Mdee akiwania Best Female-East Africa. Wakazi anawania kipengele cha Best Hip Hop, na Yamoto Band wametajwa kuwania kipengele cha Most Promising Male Artist Of Africa, bila kumsahau Mrisho Mpoto anayewania Best Traditional Male Artist Of Africa.
Mbali na tuzo yenyewe zawadi kubwa...
10 years ago
Jamtz.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-mk72x39QpoY/VAm9-GtNpXI/AAAAAAAABHk/wetbOmEVPv8/s72-c/betsfw.jpg)
BET HIP HOP AWARDS 2014 NOMINATIONS, DRAKE AONGOZA KWA KUA NOMINATED MARA 8 (ANGALIA LIST KAMILI)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mk72x39QpoY/VAm9-GtNpXI/AAAAAAAABHk/wetbOmEVPv8/s1600/betsfw.jpg)
BET HIP-HOP AWARDS NOMINEES
Best Hip-Hop Video
Drake – “Worst Behavior”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Iggy Azalea f/ Charli XCX – “Fancy”
J. Cole f/ TLC – “Crooked Smile”
Nicki Minaj – “Pills N Potions”
Wiz Khalifa – “We Dem Boyz”
Best Collabo, Duo or Group
Eminem f/ Rihanna – “The Monster”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Jay Z f/ Justin Timberlake – “Holy Grail”
ScHoolboy Q f/ BJ The Chicago Kid – “Studio”
YG f/ Jeezy & Rich Homie Quan – “My Hitta”
Best...
10 years ago
Bongo506 Dec
Beyonce awa mwanamke aliyetajwa kuwania tuzo za Grammy mara nyingi zaidi
9 years ago
AllAfrica.Com29 Oct
Hip Hop Star Now MP in Tanzania
The Star
AllAfrica.com
Tanzanian Hip Hop singer Joseph Haule popularly known as Professor Jay has won a parliamentary seat in the Tanzanian elections. The star clinched the Mikumi Constituency seat on an Opposition Chadema (Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo) ticket.
Professor Jay wins parliamentary seatThe Star
all 3