Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hip Hop Star Now MP in Tanzania


The Star
Hip Hop Star Now MP in Tanzania
AllAfrica.com
Tanzanian Hip Hop singer Joseph Haule popularly known as Professor Jay has won a parliamentary seat in the Tanzanian elections. The star clinched the Mikumi Constituency seat on an Opposition Chadema (Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo) ticket.
Professor Jay wins parliamentary seatThe Star

all 3

AllAfrica.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JITOKEZE 2015 & HIP HOP AND RAP STAR SEARCH (LIVE EDITION)

Joined by the Legendary Music Entertainment and Promotions company's Hip Hop & Rap Star search (Live Edition)
Guest Judges: DJ JD, DJ K.U And DJ One BPerformances by: Nash Emcee, Raf MC, Witness Kibonge and Motra the Future
DATE: 13/06/2015 (Saturday)VENUE: MICHUNGWANI PR.SCHOOL MIKOCHENITIME: 12:00 Noon - 8:00 Pm

 

9 years ago

Vijimambo

SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP

Kilimanjaro Studio sasa inakuletea kipindi cha muziki wa kizazi kipya kila siku ya Jumamosi saa 4 asubuhi kwa saa za Amerika ya mashariki Mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi ni Buheti AbdulrahmanKipindi hiki kitakuwezesha kujua mambo yaliyojiri kila wiki kuhusiana na muziki na wanamuziki wa Bongo Flava na nafasi pekee ya kuweza kuburudika na muziki wa Bongo Flava huku ukipata historia ya wanamuziki hao.Ni kila Jumamosi ndani ya Kilimanjaro Studio kupitia www.vijimamboradio.com, au...

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele aitaja sababu inayoipoteza hip hop ya Tanzania

Afande Sele amesema mpaka sasa hali inaonyesha kuwa muziki wa Hip Hop hauna nafasi tena nchini. Afande ameiambia Bongo5 kuwa waimbaji wengi wa muziki huo wameufanya upoteze mwelekeo. “Leo hii Singeli au muziki wa kuimba unaonekana unapendwa kuliko Hip Hop,” amesema Afande. “Unakuta wasanii wetu wengine wanaimba kama 50 Cent, Wiz Khalifa, watu wanashindwa kuimba […]

 

9 years ago

Michuzi

now you know...Wakazi (Tanzania) has been nominated for the 2016 Kora Awards as "Best Hip Hop Act"

Wakazi (Tanzania) has been nominated for the 2016 Kora Awards as "Best Hip Hop Act" alongside K.O (South Africa), Sarkodie (Ghana), Stanley Enow (Cameroon), Hamzaoui Med Amine (Tunisia) & Kiff No Beat (Cote D'voire). The Award Ceremony will take place in Windhoek, Namibia on March 20th 2016. Here is Wakazi's Ojuelegba Flip dubbed "Natokea Dar" which just like Wizkid's original, he gives tales of the neighborhood he is from in a realistic narrative. The bilingual emcee talks of his upbringing...

 

9 years ago

Dewji Blog

Domokaya afunguka kuhusu tuzo za mziki kwa wasanii wa Hip hop Tanzania!

Mandojo. Na Mwandishi Wetu. MANDOJO na DOMOKAYA ni wasanii walioweza kutengeneza namna tofauti ya uwasilishwaji wa mziki wa TANZANIA (BONGO FLAVOUR) kwa matumizi ya ‘Guitor’ mbali na falsafa iliyopatikana katika kazi sambamba na ustadi ulioonekana kati yao hawa jamaa ambao walishawahi kufanya kazi mbalimbali zilizofanya vizuri ikiwemo ‘Nikupe’, ‘Wanoknok’ na ‘Dingi’.   Wakati huu watu hawa kila mmoja anaishi nyumbani kwake kutokana na namna mfumo wa maisha ya binadamu ulivyojengwa. Hasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vichwa vinavyoibeba Hip Hop

MUZIKI wa Tanzania hususan wa kizazi kipya ‘Bongofleva’ unazidi kupasua anga kila kukicha kutokana na sababu kadha wa kadha, hivyo kukubalika kwa wengi. Awali wakati vijana wa miaka 90 walipoanza...

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Mtanzania

Chemical: Hip hop si ya wanaume tu

CHEMICALNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Claudia Lubao ‘Chemical’, amewataka wasanii wa kike wafanye vitu vinavyoonekana vigumu kufanywa na wanawake ili wadhihirishie umma sera ya haki sawa kwa wote.

Chemical alisema mabinti wengi wanahofu ya kufanya aina hiyo ya muziki kwa sababu inaeleweka kuwa muziki ni kwa ajili ya wanaume pekee kitu ambacho si sahihi.

“Kikubwa ni kuthubutu na kufanya kile tunachokipenda bila kujali kitapokelewa kwa mtazamo gani kama mimi nafurahi kuwa...

 

10 years ago

GPL

NICKI MINAJ MALKIA WA HIP HOP

Malkia wa hip hop, Nicki Minaj. Na Hans Mloli
UNAPOTAJA majina ya wasanii wakali wa Hip Hop kimataifa jina la Nicki Minaj lazima litakuwemo kwenye 5 bora, ubora wa kazi zake pamoja na vituko vyake vimemfanya awe bora kila kukicha. Weka mbali vituko na mavazi yake ya kimitego, Nick Minaji ambaye jina lake halisi ni Onika Maraj ameonyesha uwezo mkubwa akiwa chini ya usimamizi wa Lebo ya Young Money Entertainment na ndiye malkia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani