Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vichwa vinavyoibeba Hip Hop

MUZIKI wa Tanzania hususan wa kizazi kipya ‘Bongofleva’ unazidi kupasua anga kila kukicha kutokana na sababu kadha wa kadha, hivyo kukubalika kwa wengi. Awali wakati vijana wa miaka 90 walipoanza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP

Kilimanjaro Studio sasa inakuletea kipindi cha muziki wa kizazi kipya kila siku ya Jumamosi saa 4 asubuhi kwa saa za Amerika ya mashariki Mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi ni Buheti AbdulrahmanKipindi hiki kitakuwezesha kujua mambo yaliyojiri kila wiki kuhusiana na muziki na wanamuziki wa Bongo Flava na nafasi pekee ya kuweza kuburudika na muziki wa Bongo Flava huku ukipata historia ya wanamuziki hao.Ni kila Jumamosi ndani ya Kilimanjaro Studio kupitia www.vijimamboradio.com, au...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Hip Hop Star Now MP in Tanzania


The Star
Hip Hop Star Now MP in Tanzania
AllAfrica.com
Tanzanian Hip Hop singer Joseph Haule popularly known as Professor Jay has won a parliamentary seat in the Tanzanian elections. The star clinched the Mikumi Constituency seat on an Opposition Chadema (Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo) ticket.
Professor Jay wins parliamentary seatThe Star

all 3

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Mtanzania

Chemical: Hip hop si ya wanaume tu

CHEMICALNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Claudia Lubao ‘Chemical’, amewataka wasanii wa kike wafanye vitu vinavyoonekana vigumu kufanywa na wanawake ili wadhihirishie umma sera ya haki sawa kwa wote.

Chemical alisema mabinti wengi wanahofu ya kufanya aina hiyo ya muziki kwa sababu inaeleweka kuwa muziki ni kwa ajili ya wanaume pekee kitu ambacho si sahihi.

“Kikubwa ni kuthubutu na kufanya kile tunachokipenda bila kujali kitapokelewa kwa mtazamo gani kama mimi nafurahi kuwa...

 

10 years ago

Bongo5

Iggy Azalea: Nimeibadilisha Hip Hop

Rapper mwenye asili ya nchini Australia, Iggy Azalea, amesema anaamini hadi sasa amefanikiwa kuleta mabadiliko kadhaa kwenye muziki wa hip hop. “Kama nikiwa na career iliyodumu kwa kipindi kifupi, walau naweza kusema nimesababisha tofauti,” anasema rapper wa Australia, Iggy Azalea kwenye mahojiano na jarida la GQ. “Huwezi kujua ni kwa muda gani utakuwa kwenye neema […]

 

10 years ago

GPL

NICKI MINAJ MALKIA WA HIP HOP

Malkia wa hip hop, Nicki Minaj. Na Hans Mloli
UNAPOTAJA majina ya wasanii wakali wa Hip Hop kimataifa jina la Nicki Minaj lazima litakuwemo kwenye 5 bora, ubora wa kazi zake pamoja na vituko vyake vimemfanya awe bora kila kukicha. Weka mbali vituko na mavazi yake ya kimitego, Nick Minaji ambaye jina lake halisi ni Onika Maraj ameonyesha uwezo mkubwa akiwa chini ya usimamizi wa Lebo ya Young Money Entertainment na ndiye malkia...

 

11 years ago

BBCSwahili

Muziki wa Hip Hop miaka 40 baadaye

Mchipuko, wasanii na historia ya miaka arobaini ya muziki wa Hip Hop. Nini kimebadilika?

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Nigeria's 'hip-hop poet'

One of the shining faces of Nigerian art is Inua Ellams who describes himself as a "word and graphic" artist, influenced by both classic literature and hip-hop.

 

9 years ago

GPL

SARKODIE MFALME WA HIP HOP AFRIKA

Mkali wa Hip Hop Ghana, Sarkodie. Boniphace Ngumije UWEZO ndiyo kigezo kikubwa kilichompa heshima Sarkodie kwenye medani ya muziki wa Hip Hop Afrika ambapo tofauti na kujinyakulia tuzo 42 na kuingia katika kinyang’anyiro mara 52, amekuwa akiandikwa katika chati mbalimbali za burudani zikiwemo MTV, The Guardian, BET na E-TV ya Ghana kuwa miongoni mwa wasanii watano wakali wenye heshima ya muda wote barani Afrika. Katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani