Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wana Hip Hop wamvulia kofia Kendrick

kendrick-lamarsUKITAKA kuzungumzia muziki wa Hip Hop nchini Marekani kwa sasa, hawezi kumuacha nyota wa muziki huo Kendrick Lamar ambaye anaonekana kufanya vizuri na kuwapoteza wakongwe.

Siyo kazi nyepesi kuingia kwenye muziki wa Hip Hop na kukubalika haraka, ni lazima kichwa kifanye kazi ili kuweza kuandaa mistari itakayowafanya mashabiki wengi wakuelewe.

Haikuwa kazi kubwa kwa Kendrick kuwashawishi mashabiki duniani kutokana na aina ya muziki wake ambapo mashabiki wengi walianza kusema kuwa 2 Pac...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza

Rappers Kendrick Lamar na Big Sean ndio wameibuka na tuzo nyingi zaidi kwenye tuzo za BET Hip Hop Awards 2015 zilizorekodiwa weekend iliyopita na kuoneshwa usiku wa Oct.13. Kendrick Lamar na Big Sean kila mmoja ameshinda tuzo tatu wakifuatiwa kwa karibu na Drake aliyeshinda tuzo mbili. Hii ni orodha kamili ya washindi Best Hip Hop […]

 

10 years ago

Bongo5

Mameneja tusimamieni wana Hip Hop pia — Chiku Keto

Rapper Chiku Keto amesema haelewi sababu za mameneja wengi sasa hivi kutokuwa tayari kuwasimamia baadhi ya wasanii wanaofanya Hip Hop. Rapper huyo wa kike amesema ukimya wake mwaka 2014 ulitokana na harakati zake za kutafuta menejimenti au mtu yoyote ajitokeze kusimamia kazi zake. “Kilichokuwa kinanikwamisha nilikuwa nasikilizia kama labda inaweza ikatokea mtu ambaye anaweza kunisimamia […]

 

9 years ago

Vijimambo

SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP

Kilimanjaro Studio sasa inakuletea kipindi cha muziki wa kizazi kipya kila siku ya Jumamosi saa 4 asubuhi kwa saa za Amerika ya mashariki Mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi ni Buheti AbdulrahmanKipindi hiki kitakuwezesha kujua mambo yaliyojiri kila wiki kuhusiana na muziki na wanamuziki wa Bongo Flava na nafasi pekee ya kuweza kuburudika na muziki wa Bongo Flava huku ukipata historia ya wanamuziki hao.Ni kila Jumamosi ndani ya Kilimanjaro Studio kupitia www.vijimamboradio.com, au...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vichwa vinavyoibeba Hip Hop

MUZIKI wa Tanzania hususan wa kizazi kipya ‘Bongofleva’ unazidi kupasua anga kila kukicha kutokana na sababu kadha wa kadha, hivyo kukubalika kwa wengi. Awali wakati vijana wa miaka 90 walipoanza...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Hip Hop Star Now MP in Tanzania


The Star
Hip Hop Star Now MP in Tanzania
AllAfrica.com
Tanzanian Hip Hop singer Joseph Haule popularly known as Professor Jay has won a parliamentary seat in the Tanzanian elections. The star clinched the Mikumi Constituency seat on an Opposition Chadema (Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo) ticket.
Professor Jay wins parliamentary seatThe Star

all 3

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Mtanzania

Chemical: Hip hop si ya wanaume tu

CHEMICALNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Claudia Lubao ‘Chemical’, amewataka wasanii wa kike wafanye vitu vinavyoonekana vigumu kufanywa na wanawake ili wadhihirishie umma sera ya haki sawa kwa wote.

Chemical alisema mabinti wengi wanahofu ya kufanya aina hiyo ya muziki kwa sababu inaeleweka kuwa muziki ni kwa ajili ya wanaume pekee kitu ambacho si sahihi.

“Kikubwa ni kuthubutu na kufanya kile tunachokipenda bila kujali kitapokelewa kwa mtazamo gani kama mimi nafurahi kuwa...

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Nigeria's 'hip-hop poet'

One of the shining faces of Nigerian art is Inua Ellams who describes himself as a "word and graphic" artist, influenced by both classic literature and hip-hop.

 

11 years ago

BBCSwahili

Muziki wa Hip Hop miaka 40 baadaye

Mchipuko, wasanii na historia ya miaka arobaini ya muziki wa Hip Hop. Nini kimebadilika?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani