Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rihanna asaini dili nono la shilingi bilioni 54 na Samsung kudhamini album yake mpya

Rihanna akiwa anajiandaa kutoa album yake mpya, amesaini dili nono la dola milioni 25 (sawa na shilingi bilioni 54) na kampuni ya Samsung kwaajili ya kudhamini album hiyo pamoja na ziara. Jay Z pamoja na meneja wa Rihanna, Jay Brown walisaidia katika kufunga dili hiyo. Mapema mwezi huu Jay Z alionekana akitoka kwenye ofisi za […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rihanna atangaza jina la album yake mpya

Hatimaye Rihanna ametangaza jina album yake ya nane. Album hiyo inaitwa Anti. Muimbaji huyo pamoja na kutaja jina la album yake, alizindua pia artwork yake usiku wa Jumatano jijini Los Angeles mbele ya umati wa watu. Cover hiyo ni picha yake akiwa mtoto kwenye siku yake ya kwanza kwenye daycare. Ameshirikiana na mchoraji aitwaye Roy […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya

Habari njema kwa mashabiki wa Rihanna ni kuwa ‘the wait is almost over’, kwani album ya nane ya mwimbaji huyo mrembo inakaribia kutoka. Jioni ya Jumatano Oct.7 Rihanna ambaye hajatoa album nyingine toka mwaka 2012 alipotoa ‘Unapologetic’, alifanya sherehe fupi ya utambulisho wa album cover pamoja na jina la album yake ya 8 huko Los […]

 

10 years ago

Bongo5

Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’

Baada ya rapper Tyga kuitupia lawama label yake ya Young Money (YMCMB) hivi karibuni kuwa inambania album yake kutoka, rapper huyo ametumia Twitter kutangaza tarehe ya kutoka album yake inayoitwa “The Gold Album” ambayo sasa itatoka mwezi ujao. Kupitia Twitter Tyga ameandika sasa album hiyo itatoka siku mbili kabla ya sikukuu ya Christmas Dec 23. […]

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna kuanza ziara ya album yake ‘Anti World Tour’ mwakani

Riri

Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ huenda ikatoka Ijumaa hii (Nov.27), japokuwa Rihanna wala msemaji wake hawajathibitisha.

Riri

Inasemekana kuwa album hiyo ya nane itatoka exclusively kupitia mtandao wa Jay Z, Tidal mpaka Dec 4 ndio itaanza kupatikana kwenye platform zingine.

Riri pia ametangaza ziara yake ya kuitangaza album hiyo ‘Anti World Tour’ itakayoanza Feb 2016. Kwenye ziara hiyo atakuwa na Big sean, Travis scott na The Weekend.

#ANTIWorldTour starts Feb...

 

9 years ago

Bongo5

Album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ itapatikana exclusive kwa wiki moja kwenye Tidal

rihanna-anti-mama-gallery-2015-billboard-650

Kuna tetesi kuwa album mpya na ya nane ya Rihanna, ANTI itatoka Ijumaa hii na kupatikana kwenye mtandao wa Tidal peke yake kwa kipindi cha wiki moja kabla ya kuwekwa kwingine.

rihanna-anti-mama-gallery-2015-billboard-650

Billboard wamedai kuwa hatua hiyo itaathiri mauzo ya wiki ya album hiyo. Rihanna ni miongoni mwa mastaa wenye hisa kwenye mtandao wa Tidal.

Hata hivyo kazi nyingi zilizowekwa kwenye mtandao huo zimeonesha kutokuwa na mapokezi makubwa kama zinazowekwa kwenye Spotify na YouTube.

Mfano mzuri ni wimbo wake ‘American...

 

9 years ago

Bongo5

Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’

Mwenyekiti wa label ya HKN records inayomsimamia Davido, Adewale Adeleke ambaye pia ni kaka yake ametangaza tarehe mpya ya kuachia album mpya ya star huyo wa Nigeria, ‘Baddest’ baada ya kushidwa kutoka mwezi September kama ilivyopangwa awali. Album hiyo ambayo imekuwa ikipangwa kuachiwa na kuahirishwa mara tatu, sasa itatoka Jumamosi ya October 10, 2015. Mastaa […]

 

10 years ago

Bongo5

Mohammed Dewji achukua mkopo wa shilingi bilioni 434 kukuza himaya yake!!

Mfanyabiashara na mwanasiasa maarufu nchini, Mohammed ‘Mo’ Dewji amechukua mkopo wa dola milioni 260 (zaidi ya shilingi bilioni 434) kutoka kwa benki mbalimbali kuimarisha kampuni yake ya METL. Wiki mbili zilizopita, kampuni yake ya Star Oils Limited ambayo ni sehemu ya METL Group ilipokea mkopo wa dola milioni 60 kutoka kwa benki ya NBC, Barclays […]

 

9 years ago

Bongo5

One The Incredible kuachia album yake mpya

One Incredible

Rapper One The Incredible amesema yupo kwenye maandalizi ya kuachia album yake mpya ambayo bado hajaipa jina.

One Incredible

One ameiambia Bongo5 kuwa album hiyo ataifanya iwe bora ili kuhakikisha kuwa mashabiki wake wanapata kitu chenye ubora wa hali ya juu.

“Sasa nina nyimba 18 tayari nimesharekodi na bado ninaendelea kurekodi ndio nianze kupanga ipi itoke na ipi ibaki. Lakini najua na ninajipanga vizuri album iwe kali kila mwenye bahati ya kuwa nayo anufaike na kile nilichokifannya. Na mpaka sasa hivi...

 

10 years ago

Bongo5

One the Incredible kuzindua album yake mpya, R.A.P

Rapper One the Incredible anatarajia kufanya uzinduzi wa album yake mpya iitwayo R.A.P utakaofanyika viwanja vya posta, December 5. One ameiambia Bongo5 kuwa uzinduzi huo, utafunguliwa na kilinge ambacho kitaaza saa kumi jioni kabla ya kuanza kwa shughuli hiyo ya uzinduzi. Katika uzindizi huo kiingilio kitakuwa ni shilingi 10,000 bila album na 15,000 kwa backstage […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani