One the Incredible kuzindua album yake mpya, R.A.P
Rapper One the Incredible anatarajia kufanya uzinduzi wa album yake mpya iitwayo R.A.P utakaofanyika viwanja vya posta, December 5. One ameiambia Bongo5 kuwa uzinduzi huo, utafunguliwa na kilinge ambacho kitaaza saa kumi jioni kabla ya kuanza kwa shughuli hiyo ya uzinduzi. Katika uzindizi huo kiingilio kitakuwa ni shilingi 10,000 bila album na 15,000 kwa backstage […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Nov
One The Incredible kuachia album yake mpya
![One Incredible](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/One-Incredible-300x194.jpg)
Rapper One The Incredible amesema yupo kwenye maandalizi ya kuachia album yake mpya ambayo bado hajaipa jina.
One ameiambia Bongo5 kuwa album hiyo ataifanya iwe bora ili kuhakikisha kuwa mashabiki wake wanapata kitu chenye ubora wa hali ya juu.
“Sasa nina nyimba 18 tayari nimesharekodi na bado ninaendelea kurekodi ndio nianze kupanga ipi itoke na ipi ibaki. Lakini najua na ninajipanga vizuri album iwe kali kila mwenye bahati ya kuwa nayo anufaike na kile nilichokifannya. Na mpaka sasa hivi...
10 years ago
Bongo513 Nov
Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’
9 years ago
Bongo505 Oct
Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’
9 years ago
Bongo508 Oct
Rihanna atangaza jina la album yake mpya
10 years ago
Bongo529 Nov
Ne-Yo kuachia album yake mpya ‘Non Fiction’ January, 2015
9 years ago
Bongo509 Oct
Iggy Azalea atangaza jina la album yake mpya
9 years ago
Bongo512 Nov
Runtown wa Nigeria amshirikisha Dj Khaled kwenye Album yake mpya
![runtown n dj khaled](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/runtown-n-dj-khaled-300x194.jpg)
Mwimbaji wa ‘Gallardo’, Runtown kutoka Nigeria ameingia kwenye orodha ya wasanii wa nchi hiyo waliofanikiwa kufanya kazi na masataa wa Marekani.
Runtown ambaye hivi karibuni alikuja nchini kwenye finali za Bongo Star Search, na ambaye ameshafanya kazi na baadhi ya wasanii wa Tanzania akiwemo Chege, amemshirikisha Dj maarufu wa Marekani, DJ Khaled ambaye pia ni producer kwenye album yake mpya ‘Ghetto University’ itakayotoka Nov.23.
Runtown ameshare cover pamoja na orodha ya nyimbo za album...
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya
9 years ago
Bongo510 Oct
Picha: Justin Bieber aonesha cover ya album yake mpya ‘Purpose’