Baba yake na Beyonce agusia uwezekano wa ziara na album mpya ya Destiny’s Child
Ikiwa ni takriban miaka 10 tangu itoke album mpya ya Destiny’s Child, baba yake na Beyonce, Mathew Knowles amesema huenda kundi hilo likaungana kwa mara nyingine. Akiongea na mtandao wa The Huffington Post, Knowles ambaye bado anasimamia kazi za kundi hilo alisema mashabiki watarajie kitu. “Nina matumaini makubwa kuwa wasichana hawa watarejea na album na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Oct
Destiny’s Child kurekodi album mpya, asema baba yake Beyoncé
10 years ago
Bongo513 Jan
Beyonce si mjamzito! Member wa zamani wa Destiny’s Child, Michelle Williams athibitisha
10 years ago
Bongo528 Aug
Baba yake Beyonce adai kuwa mwanae na Jay Z walisambaza tetesi za talaka kukuza mauzo ya tiketi ya ziara yao
10 years ago
Bongo512 Dec
Nyimbo 2 za Nicki Minaj zavuja siku chache kabla ya album yake kutoka, moja ni collabo yake na Beyonce (zisikilize)
10 years ago
Bongo513 Nov
Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’
9 years ago
Bongo505 Oct
Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’
9 years ago
Bongo524 Nov
Rihanna kuanza ziara ya album yake ‘Anti World Tour’ mwakani
![Riri](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Riri-300x194.jpg)
Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ huenda ikatoka Ijumaa hii (Nov.27), japokuwa Rihanna wala msemaji wake hawajathibitisha.
Inasemekana kuwa album hiyo ya nane itatoka exclusively kupitia mtandao wa Jay Z, Tidal mpaka Dec 4 ndio itaanza kupatikana kwenye platform zingine.
Riri pia ametangaza ziara yake ya kuitangaza album hiyo ‘Anti World Tour’ itakayoanza Feb 2016. Kwenye ziara hiyo atakuwa na Big sean, Travis scott na The Weekend.
#ANTIWorldTour starts Feb...
10 years ago
Bongo519 Nov
One the Incredible kuzindua album yake mpya, R.A.P