Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Beyonce si mjamzito! Member wa zamani wa Destiny’s Child, Michelle Williams athibitisha

Baada ya Beyonce kupost picha mpya hivi karibuni ambayo imefanya watu wahisi labda anatoa taarifa kuwa anatarajia kupata mtoto wa pili kwa njia hiyo, member wa zamani wa kundi lao la Destiny’s Child, Michelle Williams amethibitisha kuwa Queen Bey si mjamzito. Kupitia kipindi cha ‘The View’, Michelle amesema: Michelle Williams “You know, when she was […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito

Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa,  mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.

Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika

 “Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...

 

9 years ago

Bongo5

Baba yake na Beyonce agusia uwezekano wa ziara na album mpya ya Destiny’s Child

Ikiwa ni takriban miaka 10 tangu itoke album mpya ya Destiny’s Child, baba yake na Beyonce, Mathew Knowles amesema huenda kundi hilo likaungana kwa mara nyingine. Akiongea na mtandao wa The Huffington Post, Knowles ambaye bado anasimamia kazi za kundi hilo alisema mashabiki watarajie kitu. “Nina matumaini makubwa kuwa wasichana hawa watarejea na album na […]

 

10 years ago

GPL

JUSTIN TIMBERLAKE ATHIBITISHA MKEWE KUWA MJAMZITO

BAADA ya kuwepo minong'ono ya hapa na pale kuwa mwigizaji Jessica Biel ana ujauzito wa mtoto wa kwanza wa mwanamuziki Justin Timberlake, huku mastaa hao wakikaa kimya, hatimaye staa Justin ameweka bayana kuwa mkewe huyo ni mjamzito. Timberlake ameweka wazi hayo kwa kutupia picha katika mtandao wa Instagram jana ikiwa ni siku yake ya kuzaliwa akimbusu tumbo mkewe Jessica mwenye mimba na kuandika hivi: 'Namshukuru kila mtu...

 

9 years ago

Bongo5

Destiny’s Child kurekodi album mpya, asema baba yake Beyoncé

Mathew Knowles amedai kuwa kundi la Destiny’s Child linaloongozwa na mwanae, Beyoncé – litarekodi album yake mpya na Michelle Williams tayari amethibitisha. Baba yake Beyoncé aliyelisimamia kundi hilo amedai kuwa mipango inaendelea kwa wasichana hao, Michelle, mwanae na Kelly Rowland, kuingia studio na kurekodi album mpya. Mathew aliliambia jarida la Heat kuwa alipokea email kutoka […]

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Wendy Williams Heads to YouTube During Quarantine for 'The Wendy Williams Show'

Wendy Williams Heads to YouTube During Quarantine for 'The Wendy Williams Show'  Showbiz Cheat SheetWendy Williams Asks Dr. Oz About Whether It's Safe to Have Sex Amid Coronavirus Outbreak  PEOPLEView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''

Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na polisi zanaelezea jinsi Thomas Thabane alivyohusika na mauaji hayo.

 

11 years ago

TheCitizen

Kikwete to CA: Our destiny in your hands

>President Jakaya Kikwete yesterday rejected the idea of a three-tier government that has been proposed in  the draft constitution presented on Tuesday by Judge Joseph Warioba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani